Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah so nimekosea kuandika"kitimoto lost"! Kimepotelea wapi? Sasa tutakulaje kama kimepotea!
Sijawahi kutumiaDuh pole umeacha au sio
SIWEZI angaika nazo ni mwendo wa ugali dagaa na pili pili nyingi😂😂😂 duh pole ila ukizidi kufanya mazoezi siku ita nyooka
Kwanini mkuu🙄Hii ni hatua mbaya sana kwenye maisha 🤣🤣
wakiume kumbe ndio naona avatarAcha zako basi
Sawa kabisa inapendeza iwe ivyoSijawahi kutumia
😂😂 ila ni vizuri piaSIWEZI angaika nazo ni mwendo wa ugali dagaa na pili pili nyingi
Huyu akipigwa vizuri atasema alikoficha na khanga 😹😹😹Una hadi kisukumio cha chapati duh
kwanini usingeenda mgahani ndugu alafu huo muda ukautumia hata kuweka bustani sawa au mambo ya ujenzi wowote tuh kama ubunifu ukaachana na chapatiNimerudi mapema saa kumi af nilikuwa na njaa nimemaliza matunda naona njaa bado wali nimechoka ndio saa 12 nikapata ili wazo nikaanza kuandaa up now nakula
Ahaha acha zako basHuyu akipigwa vizuri atasema alikoficha na khanga 😹😹😹
Kwanini mkuu🙄
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.Hello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
Mgahawani hapana siendagikwanini usingeenda mgahani ndugu alafu huo muda ukautumia hata kuweka bustani sawa au mambo ya ujenzi wowote tuh kama ubunifu
Kabisa naoa mkwe wangu Mama MwanaMkuu utaoa kweli 😀
Hapana mwakani tu hapo naoa 😂Wewe kuoa mpaka lije winchi.🤣
Kwann unapost kitimoto hujui tunakaribia kuingia kwenye mfungo wa Ramadhani 🤣😹Ahaha acha zako bas
Hao washahiba mkuuKwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.