secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
ILa mbuzi katoliki ni mtamu jama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunataka kushindana na wazee bhna mnatuchukulia mali zetu kisa kitambiNdio maana vijana wadogo mnaota vitambi😁
Na nina mpango wakufugaKwann unapost kitimoto hujui tunakaribia kuingia kwenye mfungo wa Ramadhani 🤣😹
SanaILa mbuzi katoliki ni mtamu jama.
Mimi sijui kama umekosea, wewe ndiye unayejua lengo la Post yako.Ahahah so nimekosea kuandika
kwa nini usianze muda huu ni wazo lakiniMgahawani hapana siendagi
Unaelewa maana ya lost?Hello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
Enzi za ujana nilikuwa mtumiaji wa betel L... huko masomoni.Sawa kabisa inapendeza iwe ivyo
Safi sana mwamba!Hello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
Naona mmeamua kumpuuzia Dr janabi kabisa.Tunataka kushindana na wazee bhna mnatuchukulia mali zetu kisa kitambi
🤮🤮🤮🤮Hello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
Naona mmeamua kumpuuzia Dr janabi kabisa.