Tule chapati na kitimoto roast

Angesukumia ata kwenye jaba, enzi zangu kabla sijao nilitest kupika chapati magetoni na masela tulisukumia kwenye mfuniko wa jaba na chupa ya Pepsi aloo machapati yalikuwa mazito afu mbichi tuliarisha mno
Asa na meza ya chakula hapa why nitumie jaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…