Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Umekuwa senior bachela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ni kazi anaishi wapi kazini?Ile ni kazi mkuu
Utani wa ngumi uhuMwachiluwi
Tumekubali unajua kupika. Sasa ndo utunze Chapati kwenye Wallet
Umekuwa senior bachela
Umenikumbusha miaka fulani huko mwanza, dada jirani kila saa mbili anakuja kuuliza umepika nini korido yote inanukia....ana kibakuli anataka mboga tu 😂Mkuu,
Umeishi life langu la muda mrefu sana.
Kipindi nakaa kotaz.
Nilikuwa nikipika wanawake wote floor za juu wanashuka.
Utasikia tuoweee.
Wanawake wahuni sana.
Nna soft copy zake ngoja nikuforwadie tu utaprint mwenyewe😀 joke piaMkuu kama uko karibu na stationery naomba unitolee photocopy chapati 2.
Joke kidogo😀
Kwa mapishi haya motomoto utakumbuka kuoa kweli kijana? Kataa ndoa. Ndoa ni utapeli.Hello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
Wajinga sana hawa.Umenikumbusha miaka fulani huko mwanza, dada jirani kila saa mbili anakuja kuuliza umepika nini korido yote inanukia....ana kibakuli anataka mboga tu 😂
iphone ipi mkuuHapna kabisa hii hapa
Jamani haya ngoja nikupmAisee mimi hata ka pm 1 hola🙄 ,hongera sana mkuu
Una hadi kibao cha Chapati wewe Kuoa itakuwa ni hadithi za Alfu ulela ww na Nyeto Dam dam.Hello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
Hatimaye nimeamka na kapm ka mzabzab 🥰Jamani haya ngoja nikupm
Amekwambia HajaoaBoss umeolewa au bado?
Wanakujaza ili wale bure 😹Mkuu,
Umeishi life langu la muda mrefu sana.
Kipindi nakaa kotaz.
Nilikuwa nikipika wanawake wote floor za juu wanashuka.
Utasikia tuoweee.
Wanawake wahuni sana.
Kafa paka, kazikwa nyau 😹😹Angesukumia ata kwenye jaba, enzi zangu kabla sijao nilitest kupika chapati magetoni na masela tulisukumia kwenye mfuniko wa jaba na chupa ya Pepsi aloo machapati yalikuwa mazito afu mbichi tuliarisha mno
Duli unafanya nini kwenye uzi wa pork?Acha njaa.
Kuona Manguruwe mitamaa inakumwagika.