Tule chapati na kitimoto roast

Tule chapati na kitimoto roast

nafungua pm kwajil ako,uje unipe mafunzo ya kusukuma chapat tu hata iwe round,kila nkijarib inatokea raman ya kijijin kwetu.
😂😂Umenikumbusha mbali
Nilikuwa siwez kusukuma round japo zinakuwa laini kuondoa utata nikiweka kwenye sahani nazikunja mara nne watu wasione like duara la pembeni nne😀😀😀
 
😂😂Umenikumbusha mbali
Nilikuwa siwez kusukuma round japo zinakuwa laini kuondoa utata nikiweka kwenye sahani nazikunja mara nne watu wasione like duara la pembeni nne😀😀😀
Mi hadi kesho sijui kuandaa chapat za kusukuma aseee🤣🤣🤣🙌🏾zaid ya za kumimina tu
 
Nilitaka kuuliza jambo kwa mleta mada nikaghairi.
Ila Acha tu nikuulize...wewe ni wakiume au wa like...sorry lakin
 
Hello

Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa

Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo

Nikaanza na chapati

View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto


View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783

Kweli wewe ni mlafi, Yani umechoka lakini umepika kitimoto na chapati mpaka zimetokea?
 
Back
Top Bottom