Tule mishikaki, ndizi, viazi,kachumbari na matunda

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Leo nikaona vyema kuandaa chakula hiki chepesi sana kupika
Kwanza nilianza kumenya viazi kama unavyo ona


Niliacha vichuje maji vizuri baada ya kuosha then nika menya ndizi na kuweka kwenye maji ili zisiwe nyeusi




Kabla ya hapo nili andaa nyama yangu mda kidogo nikaweka tangawizi,cumvi,limao na sosi

Baada ya hapo nikaanda kachumbari yangu ya nyanya,kitunguu,karoti na hoho


Baada ya hapo matunda niliandaa tango na papai tu


Hivyo tu na chakula kikawa kizuri karibu sana KATAA NDOA KILA KITU KINAWEZEKANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…