Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante af kuna story nimeweka umepitiaUko vizuri chef
Kwa hiyo bro chipsi, ndizi na mishkaki...so jina unaitaje sasa?Leo nikaona vyema kuandaa chakula hiki chepesi sana kupika
Kwanza nilianza kumenya viazi kama unavyo ona
View attachment 3211497
Niliacha vichuje maji vizuri baada ya kuosha then nika menya ndizi na kuweka kwenye maji ili zisiwe nyeusi
View attachment 3211501
Kabla ya hapo nili andaa nyama yangu mda kidogo nikaweka tangawizi,cumvi,limao na sosi
View attachment 3211517
Baada ya hapo nikaanda kachumbari yangu ya nyanya,kitunguu,karoti na hoho
View attachment 3211522
Baada ya hapo matunda niliandaa tango na papai tu
View attachment 3211527
Hivyo tu na chakula kikawa kizuri karibu sana KATAA NDOA KILA KITU KINAWEZEKANA
Nimechoka sana 😂 nahitaj kutuliza akiliHujachoka 😜😉
Nimekosa jina embu tulipe jina au niite MwachiluwiKwa hiyo bro chipsi, ndizi na mishkaki...so jina unaitaje sasa?
Mwachiluwi Bro 😄
Bado ngoja niipitieAsante af kuna story nimeweka umepitia
Maana si mchezo ujueNimechoka sana 😂 nahitaj kutuliza akili
Sawa karibuBado ngoja niipitie
Yah nikujitoa tuMaana si mchezo ujue
Hongera sanaYah nikujitoa tu
Nilianza saa kumi nika maliza saa mojaNapenda kula msosi niliouandaa ila shida ni kutumia muda mrefu kupika.
Nahangaika masaa kibao kwa msosi ninaokula mlo mmoja tu, aisee mama ntilie wanatuokoa sana.
Hapo mkuu umetumia muda gani hadi unakula huo msosi??
Asante sana kuna story nyingi nashindwa zileta hapa watanipiga banHongera sana
Njia nyingine ni ipi ili tuzipate 😜Asante sana kuna story nyingi nashindwa zileta hapa watanipiga ban
Ndichipsi Shkaki au 🤣🤣🤣🤣Nimekosa jina embu tulipe jina au niite Mwachiluwi
Unapenda stori wewe 😄 😄 😄Njia nyingine ni ipi ili tuzipate 😜