Tule mishikaki, ndizi, viazi,kachumbari na matunda

Tule mishikaki, ndizi, viazi,kachumbari na matunda

Leo nikaona vyema kuandaa chakula hiki chepesi sana kupika
Kwanza nilianza kumenya viazi kama unavyo ona

View attachment 3211497
Niliacha vichuje maji vizuri baada ya kuosha then nika menya ndizi na kuweka kwenye maji ili zisiwe nyeusi

View attachment 3211501


Kabla ya hapo nili andaa nyama yangu mda kidogo nikaweka tangawizi,cumvi,limao na sosi
View attachment 3211517
Baada ya hapo nikaanda kachumbari yangu ya nyanya,kitunguu,karoti na hoho
View attachment 3211522

Baada ya hapo matunda niliandaa tango na papai tu

View attachment 3211527
Hivyo tu na chakula kikawa kizuri karibu sana KATAA NDOA KILA KITU KINAWEZEKANA
Kwa hiyo bro chipsi, ndizi na mishkaki...so jina unaitaje sasa?

Mwachiluwi Bro 😄
 
Napenda kula msosi niliouandaa ila shida ni kutumia muda mrefu kupika.
Nahangaika masaa kibao kwa msosi ninaokula mlo mmoja tu, aisee mama ntilie wanatuokoa sana.

Hapo mkuu umetumia muda gani hadi unakula huo msosi??
 
Napenda kula msosi niliouandaa ila shida ni kutumia muda mrefu kupika.
Nahangaika masaa kibao kwa msosi ninaokula mlo mmoja tu, aisee mama ntilie wanatuokoa sana.

Hapo mkuu umetumia muda gani hadi unakula huo msosi??
Nilianza saa kumi nika maliza saa moja
 
Back
Top Bottom