Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Tena mumewe mzuri kwekiSura yake na roho yake vinaendana hakika MUNGU hakosei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena mumewe mzuri kwekiSura yake na roho yake vinaendana hakika MUNGU hakosei
Tena mumewe mzuri kweliSura yake na roho yake vinaendana hakika MUNGU hakosei
Sura yake na roho yake vinaendana hakika MUNGU hakosei
Kwamba ukitaka kujua muundo wa papuchi basi angalia lips? Basi sawa wakuu.
Hakuna chama Wala mgombea mwenye hati miliki na Jimbo lolote Tanzania Hilo ulijue
Nenda wewe YEHODAYA ukiwa unatokea au Iringa au Songea ukagombee Busokelo ndiyo utajua kuwa Ukabila makao yake makuu ni Rungwe na Kyela.Hakuna chama Wala mgombea mwenye hati miliki na Jimbo lolote Tanzania Hilo ulijue
Labda akagombee uremboAmeyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.
"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson
View attachment 1185297
ASIJARIBU KWA SUGU ATASUGULIWA ABAKI AMETULIA.
Kashanogewa
Kwa alivyo sidhani kama kutakuwa na mtu wa kumsaidia huyoAsisubutu.Wizi ,kubebana marufuku 2020.
Wabunge watukutu mnamsumbua masikini dada wa watu 'kaanza kupiga bati' kichwani.
VitiSho vya kipuuzi sana hivi kutamkwa
Ni haki yake Kikatiba
Hapana chezea MunguSura yake na roho yake vinaendana hakika MUNGU hakosei
Polepole katika hili anasemaje?Au ule mkwara wake uko biased?
ni haki yake Tulia kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea hakuna wa kujitunisha vimisuli kwa mkwara mbuzi kuwa mimi ndio nina hati miliki
Aende Kongwa.
Mbeya mjini tayari tunaye mbunge wetu wa kudumu mh sana SuguTulia ruksa kugombea hata mbeya mjini sababu jimbo litakuwa wazi na hakuna mwenye hati miliki nalo
Vipi kuna mwenye hatimiliki na uraisi,