Tulia Ackson alipokuwa anazunguka na majeneza ili kuizika CHADEMA Mbeya, hawa viongozi wa dini ya Kikristo walikuwa wapi?

Tulia Ackson alipokuwa anazunguka na majeneza ili kuizika CHADEMA Mbeya, hawa viongozi wa dini ya Kikristo walikuwa wapi?

Acha ujinga, we unaona alochokifamya ni sahihi, kwann achezee Iman za Watu. Tena wakristo wastaarabu angekumbana na waislam angechezea kichapa palepale, angejua hajui
Kwahiyo waikiristo ni wastaarabu na waislamu ni tufahamishe tafadhali
 
Tatizo la viongozi wa dini siyo jeneza Bali msalaba, lakini msalaba huo sidhani kama Kuna mtu ana hatimiliki nao. Msalaba ni alama tu, Haina maana kuwa ukiutetea kwa nguvu sana ndo unaonekana mkristo mahiri. Kuna wanamuziku wametuma misalaba na kuvaa misalaba huku maudhui ya nyimbo zao zikiwa zinatukuza ngono.

Kuna waigizaju wametuma msalaba na jeneza kwenye filamu zao. Wakristo tuachane na ushupavu usio na maana ukristo ni matendo mema siyo alama.

Viongozi wa dini ni zao la watanzania, ambao kwa asili ni waoga na wanafiki Kuna maovu na madhila mengi wananchi wanafanyiwa na vyombo vya serikali na hawasemi chochote. Wao ndo wa kwanza kujikusanya kwenye mwavuli wa kamati za amani. Na amani yenyewe ni pale serikali inapobanwa.
 
Tatizo la viongozi wa dini siyo jeneza Bali msalaba, lakini msalaba huo sidhani kama Kuna mtu ana hatimiliki nao. Msalaba ni alama tu, Haina maana kuwa ukiutetea kwa nguvu sana ndo unaonekana mkristo mahiri. Kuna wanamuziku wametuma misalaba na kuvaa misalaba huku maudhui ya nyimbo zao zikiwa zinatukuza ngono.

Kuna waigizaju wametuma msalaba na jeneza kwenye filamu zao. Wakristo tuachane na ushupavu usio na maana ukristo ni matendo mema siyo alama.

Viongozi wa dini ni zao la watanzania, ambao kwa asili ni waoga na wanafiki Kuna maovu na madhila mengi wananchi wanafanyiwa na vyombo vya serikali na hawasemi chochote. Wao ndo wa kwanza kujikusanya kwenye mwavuli wa kamati za amani. Na amani yenyewe ni pale serikali inapobanwa.
Kuna waigizaji wametuma msalaba na jeneza kwenye filamu zao. Wakristo tuachane na ushupavu usio na maana ukristo ni matendo mema siyo alama.

Viongozi wa dini ni zao la watanzania, ambao kwa asili ni waoga na wanafiki Kuna maovu na madhila mengi wananchi wanafanyiwa na vyombo vya serikali na hawasemi chochote. Wao ndo wa kwanza kujikusanya kwenye mwavuli wa kamati za amani. Na amani yenyewe ni pale serikali inapobanwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukio la mashabiki wa Simba la kuingia na jeneza uwanjani limewakera wanaoitwa Maaskofu na viongozi wa dini na tumeshuhudia matamko kadhaa kutoka kwa Askofu wa Kikatoliki Kilaini na mzee wa mkono wa baunsa Gwajima. Sijaelewa kilichowatoa mafichoni, kama ni ushabiki wao kwa Yanga au ni kwa sababu ya jeneza au labda nifahamishwe kama watu hawa wameingia nchini Tanzania Wiki iliyopita, vinginevyo nitawashangaa.

Tulia Ackson katika harakati zake za kuusaka ubunge wa Mbeya Mjini, baada ya kutumwa na Magufuli alibeba majeneza na misalaba ya kila rangi kama Ishara ya kuizika CHADEMA. Alitembea Mbeya yote bila kificho chochote, mbona Kilaini na Gwajima walinyamaza?

Wakati huyu Tulia akifanya yote haya alikuwa Naibu wa Spika wa Bunge la Tanzania (sasa hivi ni spika kamili). Ni mtu aliyekuwa anajitambua, mbona hawa wacha Mungu hawakuwahi kukemea? Iweje leo mtu msela kama Tundaman akifanya aliyoyafanya Tulia wao wanapambana naye, kulikoni?​

Kipindi hicho walikuwa wakinwogopa yule alietangulia kwa kuumba
 
Gwaji Boy ni mchumia tumbo tu nani asiyemjua - mwizi wa Kura yule mchana mchana pale Kawe afu anapanda madhabahuni - hii si ni kejeli kubwa kuliko hata ile ya Tunda Man. Atuache wana Msimbazi - kwa raha zetu.
 
Kuna waigizaji wametuma msalaba na jeneza kwenye filamu zao. Wakristo tuachane na ushupavu usio na maana ukristo ni matendo mema siyo alama.

Viongozi wa dini ni zao la watanzania, ambao kwa asili ni waoga na wanafiki Kuna maovu na madhila mengi wananchi wanafanyiwa na vyombo vya serikali na hawasemi chochote. Wao ndo wa kwanza kujikusanya kwenye mwavuli wa kamati za amani. Na amani yenyewe ni pale serikali inapobanwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Gwaji kachoka, anatafuta pa kunyenyukia tumeshamshitukia.
 
Tulia Ackson katika harakati zake za kuusaka ubunge wa Mbeya Mjini, baada ya kutumwa na Magufuli alibeba majeneza na misalaba ya kila rangi kama Ishara ya kuizika CHADEMA. Alitembea Mbeya yote bila kificho chochote, mbona Kilaini na Gwajima walinyamaza?
kaka ndani ya Ukristo wetu uumeingiliwa na wapiga dili, tuwe makini sana.
 
Tukio la mashabiki wa Simba la kuingia na jeneza uwanjani limewakera wanaoitwa Maaskofu na viongozi wa dini na tumeshuhudia matamko kadhaa kutoka kwa Askofu wa Kikatoliki Kilaini na mzee wa mkono wa baunsa Gwajima. Sijaelewa kilichowatoa mafichoni, kama ni ushabiki wao kwa Yanga au ni kwa sababu ya jeneza au labda nifahamishwe kama watu hawa wameingia nchini Tanzania Wiki iliyopita, vinginevyo nitawashangaa.

Tulia Ackson katika harakati zake za kuusaka ubunge wa Mbeya Mjini, baada ya kutumwa na Magufuli alibeba majeneza na misalaba ya kila rangi kama Ishara ya kuizika CHADEMA. Alitembea Mbeya yote bila kificho chochote, mbona Kilaini na Gwajima walinyamaza?

Wakati huyu Tulia akifanya yote haya alikuwa Naibu wa Spika wa Bunge la Tanzania (sasa hivi ni spika kamili). Ni mtu aliyekuwa anajitambua, mbona hawa wacha Mungu hawakuwahi kukemea? Iweje leo mtu msela kama Tundaman akifanya aliyoyafanya Tulia wao wanapambana naye, kulikoni?​
Acha upotoshaji kwa siasa zenu uchwala. Viongozi wa kikristo wamelalamikia matumizi ya vitu vya kiimani kama msalaba na nguo za ibada na hata ibada yenyewe kwa kejeli. Hawakuzungumzia jeneza.
 
Kuna waigizaji wametuma msalaba na jeneza kwenye filamu zao. Wakristo tuachane na ushupavu usio na maana ukristo ni matendo mema siyo alama.

Viongozi wa dini ni zao la watanzania, ambao kwa asili ni waoga na wanafiki Kuna maovu na madhila mengi wananchi wanafanyiwa na vyombo vya serikali na hawasemi chochote. Wao ndo wa kwanza kujikusanya kwenye mwavuli wa kamati za amani. Na amani yenyewe ni pale serikali inapobanwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta
 
Hatuna viongozi wa dini ila tuna wanafiki wanaofanya kazi kwenye dini
 
Hii nchi watu wanapaswa kuwa na uhuru wa kuelezea mawazo yao bila kuingiliwa na dini.
Mnapotosha,kilaini hajazungumzia uwepo wa jeneza.Kilaini amekemea matumizi ya msalaba katika tukio lile la simba,kumbuka msalaba ni alama katika Ukristu.

Jeneza hata mpangani analitumia.
 
Tukio la mashabiki wa Simba la kuingia na jeneza uwanjani limewakera wanaoitwa Maaskofu na viongozi wa dini na tumeshuhudia matamko kadhaa kutoka kwa Askofu wa Kikatoliki Kilaini na mzee wa mkono wa baunsa Gwajima. Sijaelewa kilichowatoa mafichoni, kama ni ushabiki wao kwa Yanga au ni kwa sababu ya jeneza au labda nifahamishwe kama watu hawa wameingia nchini Tanzania Wiki iliyopita, vinginevyo nitawashangaa.

Tulia Ackson katika harakati zake za kuusaka ubunge wa Mbeya Mjini, baada ya kutumwa na Magufuli alibeba majeneza na misalaba ya kila rangi kama Ishara ya kuizika CHADEMA. Alitembea Mbeya yote bila kificho chochote, mbona Kilaini na Gwajima walinyamaza?

Wakati huyu Tulia akifanya yote haya alikuwa Naibu wa Spika wa Bunge la Tanzania (sasa hivi ni spika kamili). Ni mtu aliyekuwa anajitambua, mbona hawa wacha Mungu hawakuwahi kukemea? Iweje leo mtu msela kama Tundaman akifanya aliyoyafanya Tulia wao wanapambana naye, kulikoni?​
Askofu kilaini umemuonea...
Hebu soma alichoandika kama ametaja jeneza
Kilaini.jpeg
Kilaini.jpeg
 
Back
Top Bottom