Tulia Ackson alipokuwa anazunguka na majeneza ili kuizika CHADEMA Mbeya, hawa viongozi wa dini ya Kikristo walikuwa wapi?

Tulia Ackson alipokuwa anazunguka na majeneza ili kuizika CHADEMA Mbeya, hawa viongozi wa dini ya Kikristo walikuwa wapi?

Watanzania wengi wana tabia ya kukuza mambo madogo na kudogosha mambo makubwa.

Hayo majeneza mbona sanaa tu?

Kwa mwendo huu tutaweza hata kutengeneza movies za watu kuuana kweli?

Au zitakuwa kinyume na maadili na tamaduni za Kitanzania?
 
Jeneza linatumiwa na dini nyingi achilia ukristo, hao maaskofu watafakari kwanza maovu mangapi wanafanya kabla ya kutoa kibanzi cha msimbazi.

Narudia tena jeneza sio nembo au alama ya kanisa.
Simba wamenikosea mm, yesu, na ibrahim kwa kuomba msamaha wa kinafiki. Watenda zambi wakuu wamekuwa vichaa wa mungu Tanzania
 
Nioneshe picha ya Tulia akiwa na jeneza, msalaba na mavazi ya kiaskofu! Vinginevyo tutakuwa tunashabikia upumbavu!
 
Jeneza linatumiwa na dini nyingi achilia ukristo, hao maaskofu watafakari kwanza maovu mangapi wanafanya kabla ya kutoa kibanzi cha msimbazi.

Narudia tena jeneza sio nembo au alama ya kanisa.
Simba wamenikosea mm, yesu, na ibrahim kwa kuomba msamaha wa kinafiki. Watenda zambi wakuu wamekuwa vichaa wa mungu Tanzania
Kwani umesikia maaskofu wanalalamikia jeneza? Tuache upumbavu, jamaa alikosea sana tu!
 
Tukio la mashabiki wa Simba la kuingia na jeneza uwanjani limewakera wanaoitwa Maaskofu na viongozi wa dini na tumeshuhudia matamko kadhaa kutoka kwa Askofu wa Kikatoliki Kilaini na mzee wa mkono wa baunsa Gwajima. Sijaelewa kilichowatoa mafichoni, kama ni ushabiki wao kwa Yanga au ni kwa sababu ya jeneza au labda nifahamishwe kama watu hawa wameingia nchini Tanzania Wiki iliyopita, vinginevyo nitawashangaa.

Tulia Ackson katika harakati zake za kuusaka ubunge wa Mbeya Mjini, baada ya kutumwa na Magufuli alibeba majeneza na misalaba ya kila rangi kama Ishara ya kuizika CHADEMA. Alitembea Mbeya yote bila kificho chochote, mbona Kilaini na Gwajima walinyamaza?

Wakati huyu Tulia akifanya yote haya alikuwa Naibu wa Spika wa Bunge la Tanzania (sasa hivi ni spika kamili). Ni mtu aliyekuwa anajitambua, mbona hawa wacha Mungu hawakuwahi kukemea? Iweje leo mtu msela kama Tundaman akifanya aliyoyafanya Tulia wao wanapambana naye, kulikoni?​
Wale siyo viongozi wa dini isipokuwa ni matapeli tupu
 
Nioneshe picha ya Tulia akiwa na jeneza, msalaba na mavazi ya kiaskofu! Vinginevyo tutakuwa tunashabikia upumbavu!
1660278415506.png

Hapa alikuwa anafanya nini?
 
Tukio la mashabiki wa Simba la kuingia na jeneza uwanjani limewakera wanaoitwa Maaskofu na viongozi wa dini na tumeshuhudia matamko kadhaa kutoka kwa Askofu wa Kikatoliki Kilaini na mzee wa mkono wa baunsa Gwajima. Sijaelewa kilichowatoa mafichoni, kama ni ushabiki wao kwa Yanga au ni kwa sababu ya jeneza au labda nifahamishwe kama watu hawa wameingia nchini Tanzania Wiki iliyopita, vinginevyo nitawashangaa.

Tulia Ackson katika harakati zake za kuusaka ubunge wa Mbeya Mjini, baada ya kutumwa na Magufuli alibeba majeneza na misalaba ya kila rangi kama Ishara ya kuizika CHADEMA. Alitembea Mbeya yote bila kificho chochote, mbona Kilaini na Gwajima walinyamaza?

Wakati huyu Tulia akifanya yote haya alikuwa Naibu wa Spika wa Bunge la Tanzania (sasa hivi ni spika kamili). Ni mtu aliyekuwa anajitambua, mbona hawa wacha Mungu hawakuwahi kukemea? Iweje leo mtu msela kama Tundaman akifanya aliyoyafanya Tulia wao wanapambana naye, kulikoni?​
Kilaini ni askofu mpumbafu na mjinga kama gwajima tu.

Wanaacha kuendelea kuwaibia sadaka waumini wao huko wanakuja kuingilia mambo ya mpira
 
Acha ujinga, we unaona alochokifamya ni sahihi, kwann achezee Iman za Watu. Tena wakristo wastaarabu angekumbana na waislam angechezea kichapa palepale, angejua hajui
Pumbafu msalaba ndio Imani Yako?

Mbao kwanza msalaba ni alma ya laana
 
Kwanza ujue walotoa matamko ni maaskofu na syo wanaoitwa maaskofu, pili kosa haliwezi kufuta kosa lingine. Ila pia tumia busara acha kuwa kama mjinga
Hakuna askofu Wala nini. Watu wenyewe wanashindwa hata kukemea pepo
 
Alichowabi
Tukio la mashabiki wa Simba la kuingia na jeneza uwanjani limewakera wanaoitwa Maaskofu na viongozi wa dini na tumeshuhudia matamko kadhaa kutoka kwa Askofu wa Kikatoliki Kilaini na mzee wa mkono wa baunsa Gwajima. Sijaelewa kilichowatoa mafichoni, kama ni ushabiki wao kwa Yanga au ni kwa sababu ya jeneza au labda nifahamishwe kama watu hawa wameingia nchini Tanzania Wiki iliyopita, vinginevyo nitawashangaa.

Tulia Ackson katika harakati zake za kuusaka ubunge wa Mbeya Mjini, baada ya kutumwa na Magufuli alibeba majeneza na misalaba ya kila rangi kama Ishara ya kuizika CHADEMA. Alitembea Mbeya yote bila kificho chochote, mbona Kilaini na Gwajima walinyamaza?

Wakati huyu Tulia akifanya yote haya alikuwa Naibu wa Spika wa Bunge la Tanzania (sasa hivi ni spika kamili). Ni mtu aliyekuwa anajitambua, mbona hawa wacha Mungu hawakuwahi kukemea? Iweje leo mtu msela kama Tundaman akifanya aliyoyafanya Tulia wao wanapambana naye, kulikoni?​
Alichofanya Tulia wakati ule na kilichofanywa,na simba yote ni makosa na kufuru dhidi ya imani ya kikristo, huo ndio ukweli bila kujali ushabiki .

Ncbi hii ya Tanzania unafiki umekithiri sana na kwa kweli wwatu wengi kama sio kqribia na wote ni wanqfiki wakiwemo hao wanaoitwa viongozi wa dini.
Hao vio gozi wa dini wanaokemea sasa kama hawakukemea wajati ule wakipaswa wakae kimya sasa.
 
Tatizo la viongozi wa dini siyo jeneza Bali msalaba, lakini msalaba huo sidhani kama Kuna mtu ana hatimiliki nao. Msalaba ni alama tu, Haina maana kuwa ukiutetea kwa nguvu sana ndo unaonekana mkristo mahiri. Kuna wanamuziku wametuma misalaba na kuvaa misalaba huku maudhui ya nyimbo zao zikiwa zinatukuza ngono.

Kuna waigizaju wametuma msalaba na jeneza kwenye filamu zao. Wakristo tuachane na ushupavu usio na maana ukristo ni matendo mema siyo alama.

Viongozi wa dini ni zao la watanzania, ambao kwa asili ni waoga na wanafiki Kuna maovu na madhila mengi wananchi wanafanyiwa na vyombo vya serikali na hawasemi chochote. Wao ndo wa kwanza kujikusanya kwenye mwavuli wa kamati za amani. Na amani yenyewe ni pale serikali inapobanwa.
Sasa hivi duniani hakuna viongozi wa dini bali kuna WAHUNI TU KAMA WAHUNI WA CCM...SI WAISLAMU WALA WAKRISTO LEO HII WAKRISTO HAWAJUI HATA MAANA YA MSALABA WAO WANADHANI MSALABA NDIYO UKRISTO ...maana msalaba ulikuwepo kabla ya yesu kusulubiwa walikuwa wanasulubiwa watu hata kabla ya yesu ..hata siku ya kusulubiwa yesu kulikuwa na misalaba mitatu hivyo misalaba ni kumbukizi tu ya matukio ya kale ambayo pia yesu alipitia kuwa njia na msingi wa ukristo
 
Kwamba Tulia hakubeba msalaba ?
Hapana, mimi sijasema hivyo..!! Nilichokisema ni kwamba aache kumsingizia Askofu Kilaini.. hajasema lolote kuhusu jeneza. Kama Tulia alibeba au hakubeba msalaba haibadirishi ukweli kwamba Kilaini hajazungumzia lolote kuhusu jeneza. Kilaini kataja msalaba na mavasi ya kuendeshea ibada au misa
 
Acha ujinga, we unaona alochokifamya ni sahihi, kwann achezee Iman za Watu. Tena wakristo wastaarabu angekumbana na waislam angechezea kichapa palepale, angejua hajui
Wewe ndio mjinga na huelewi. Mashabiki wa Yanga ndio waasisi wa haya mambo yakuja na majeneza na misalaba kwenye mechi wakiashiria kuizika Simba na wamefanya mara nyingi lakini hujawahi kuwasikia Simba wakilalamika. Wala hatukuwahi kuwaona hao viongozi wa dini wakikemea. Tuache unafiki. Kuna picha zikiwaonyesha mashabiki wa Yanga wakiwa na jeneza lenye rangi nyekundu na msalaba pale kwa Mkapa. Kuna nyingine wamebeba jeneza la Kiislam lililofunikwa shuka nyekundu na nyeupe, isitoshe Nabii TITO ambaye ni shabiki wa Yanga kuna video yake akiwa kwenye mechi ya Yanga kavaa msalaba ulioandikwa matusi na hatukuona Yanga wala mashabiki wake kukemea.
 
Msanii Tundaman kwa jina halisi Khalid Ramadhani Tunda huyu dini yake ni muislam kwani ameshindwa kutumia dini yake ya kislam kuwakilisha maudhui yale kwa kuchukua jeneza la mskitini kama alikuwa anahisi yuko sahihi mpaka abebe mavazi ya kikuhani na misalaba.
Viongozi wa uwanja na simba wanapaswa kuomba radhi maana kabla ya performance wasanii wanafanya rehearsal mapema.
Mbona kuna wasanii wengi Wakristo huwa wanaigiza kama Waislam? Ray ameshaigiza kama Muislam na wengine kibao. Acha kuropoka wewe.
 
Acha upotoshaji kwa siasa zenu uchwala. Viongozi wa kikristo wamelalamikia matumizi ya vitu vya kiimani kama msalaba na nguo za ibada na hata ibada yenyewe kwa kejeli. Hawakuzungumzia jeneza.
Nguo ya ibada kwani iliazimwa kanisa gani ile? Watu wameshona majoho yao nyie mnalalamika? Mbona hamlalamikii mavazi ya ibada yanayovaliwa kwenye graduation?
 
Acha ujinga, we unaona alochokifamya ni sahihi, kwann achezee Iman za Watu. Tena wakristo wastaarabu angekumbana na waislam angechezea kichapa palepale, angejua hajui
Kwahiyo wakristo imani yenu Ni masanduku ya kuzikia na kila alama ya msalaba inawahusu imani yenu?! Dini zingine Ni upuuzi kweli!
 
Back
Top Bottom