Ni kweli kabsa ila tunashangaa kuona mwl wa sheria hajui katiba ya nchi yake inatakanini kwa cheo alichonacho.Tuache unafiki - binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zote anatafuta maendeleo na kuboresha nafasi yake katika jamii- heshima, mali na kufanikisha matamanio yake binafsi. Mheshimiwa Tulia kutafuta nafasi ya juu ndio mategemeo ya kila mtu, asingeomba tunge mshangaa - sifa anazo kwanini asigombe nafasi ya juu.
Kisheria ameishajiuzulu sema tu hajaandika barua kwa katibu wa ccm ( siwanajiuzulu kupitia huko)Kwani sio Sheria hiyo?
Haina maana kwamba ukichukua fomu ya kugombea nafasi nyingine umejiuzulu uliyokuwa nayo automatically?
Kwann ajiuzulu baada ya kupitishwa na chama chake toa sababu kwann asisubiri aupate kabsa huo usipika?Hapa mnajichanganya.
Tulia amechukua fomu kuomba kupendekezwa na chama chake kugombea uspika. Wabunge ndio wanaochagua spika sio chama. Hata wanachama wa vyama vingine wana nafasi ya kugombea uspika kwa mujibu wa taratibu za vyama vyao.
Kwa hiyo atajiuzulu unaibu baada ya kupitishwa na chama chake kama ikiwa hivyo.
Huyu si kapewa ubunge wa wazk wa kura na mwendazake.Amechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.
Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma? vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.
Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
Tulia unadhani hajasoma sheria.Anapambana Kuhakikisha Kitumbua Chake Hakidondoki Wala Kuingia Mchanga, Kaweka Viti Vyote Akikosa Kimoja Aendelee Na Alichonacho
Ccm Wangembana Aachie Vyote Ndiyo Aombe
Hakutakuwa na bunge. Kutakuwa na kikao haramu cha watu wanaojiita wabungeZaidi ya uroho wa madaraka bunge atakaloliongoza litakuwa rubber stamp
Haa Veta Ya Wapi Hiyo KiongoziTulia unadhani hajasoma sheria.
Mimi nilisoma Veta driving school,Dreva huwezi kanyaga kilachi huku nje unaweka kigogo gari isirudi nyuma
Hivi Dr. Tulia kipato anacho kipata kupitia Unaibu Spika halidhiki nacho? Kweli anatamaaTofautisha tamaa na maendeleo, usiporidhika na ulichonacho na kutaka vya wenzako hiyo ni tamaa sio maendeleo .
Wanachukua za kuteuliwa na chama cha mapinduzi baadae wabadili uelekeoMpaka sasa hakuna mtu aliyechukua fomu za kugombea Uspika,fomu za kugombea Uspika zinatolewa na ofisi ya Bunge.
CV yake ya kifamilia ikoje kwanza.Akili si ndio inatoa mwanga kwenye maarifa na weledi.
Huyo mwanamama hata sura yake inaonesha kuna uwezekano kuwa ana shida fulani ambayo haijapata jina bado.
We mzee !Hakuna ubaya kwa mtu yoyote to aim higher, kitu cha muhimu ni kufuata katiba, sheria, taratibu na kanuni.
Huyu ni mwalimu wangu wa sheria pale UDSM, kiukweli kwenye hili, mwalimu wangu amechemsha!. Alipaswa ajiuzulu kwanza u naibu spika ndipo agombee u spika!. Mimi huu nimeuita ubatili
Je, wajua haramu isipoharimishwa inageuka halali? Na batili isipobatilishwa inageuka halali. Je, tuhalalishe ubatili huu kwa mhimili wetu wa Bunge?
Wanabodi, Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa natoa makala elimishi za kisiasa, kiuchumi na kijamii ziitwazo "Kwa Maslahi ya Taifa" kwa lengo la uzalendo kwa nchi yangu, kuisaidia nchi yetu, serikali yetu, viongozi wetu na...www.jamiiforums.com
This is not right
Sio haki yake na sheria inazuia, ila wanaopaswa kumzuia Tulia, wamenyamazia!.
Ili mtu atumie busara, kitu cha kwanza ni hiyo busara yanyewe kwanza iwepo kisha ndipo itumike!. Kama hiyo busara yenyewe haipo, kwa mtu kama huyo unategemea nini?.
P
Haka dada kanajifanya kamesoma kumbe upumbavu tyuu, huyu kichaa Bora hata Ayubu, Tulia awe spika ?? Pumbavu SanaAmechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.
Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma? vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.
Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
Huyu mdada wa hovyo sana,Lkn na yeye huwa anafikiri anajua kiongozi.Amechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.
Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma? vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.
Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
ongezea sura mbayaLitakuwa kosa kubwa, anajisikia, kiburi, majivuno hafai, hakufaa hata unaibu.
Boara chenge mweupeeeee ili atuibie vizuri tumeisha msahau na wizi wake , wajinga kweli watanzania
wewe siyo CCM tunakufahamu vizuriSiyo Tulia tu bali chama changu cha CCM ni hovyo
Watu wana wivu sana na chuki mpaka unashangaa.Tuache unafiki - binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zote anatafuta maendeleo na kuboresha nafasi yake katika jamii- heshima, mali na kufanikisha matamanio yake binafsi. Mheshimiwa Tulia kutafuta nafasi ya juu ndio mategemeo ya kila mtu, asingeomba tunge mshangaa - sifa anazo kwanini asigombe nafasi ya juu.