Tulia Ackson ana uroho wa Madaraka

Tulia Ackson ana uroho wa Madaraka

Tuache unafiki - binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zote anatafuta maendeleo na kuboresha nafasi yake katika jamii- heshima, mali na kufanikisha matamanio yake binafsi. Mheshimiwa Tulia kutafuta nafasi ya juu ndio mategemeo ya kila mtu, asingeomba tunge mshangaa - sifa anazo kwanini asigombe nafasi ya juu.
Ni kweli kabsa ila tunashangaa kuona mwl wa sheria hajui katiba ya nchi yake inatakanini kwa cheo alichonacho.
 
Kwani sio Sheria hiyo?
Haina maana kwamba ukichukua fomu ya kugombea nafasi nyingine umejiuzulu uliyokuwa nayo automatically?
Kisheria ameishajiuzulu sema tu hajaandika barua kwa katibu wa ccm ( siwanajiuzulu kupitia huko)
 
Hapa mnajichanganya.

Tulia amechukua fomu kuomba kupendekezwa na chama chake kugombea uspika. Wabunge ndio wanaochagua spika sio chama. Hata wanachama wa vyama vingine wana nafasi ya kugombea uspika kwa mujibu wa taratibu za vyama vyao.

Kwa hiyo atajiuzulu unaibu baada ya kupitishwa na chama chake kama ikiwa hivyo.
Kwann ajiuzulu baada ya kupitishwa na chama chake toa sababu kwann asisubiri aupate kabsa huo usipika?
 
Amechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.

Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma? vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.

Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
Huyu si kapewa ubunge wa wazk wa kura na mwendazake.
 
Anapambana Kuhakikisha Kitumbua Chake Hakidondoki Wala Kuingia Mchanga, Kaweka Viti Vyote Akikosa Kimoja Aendelee Na Alichonacho

Ccm Wangembana Aachie Vyote Ndiyo Aombe
Tulia unadhani hajasoma sheria.
Mimi nilisoma Veta driving school,Dreva huwezi kanyaga kilachi huku nje unaweka kigogo gari isirudi nyuma
 
Tulia unadhani hajasoma sheria.
Mimi nilisoma Veta driving school,Dreva huwezi kanyaga kilachi huku nje unaweka kigogo gari isirudi nyuma
Haa Veta Ya Wapi Hiyo Kiongozi
 
Mpaka sasa hakuna mtu aliyechukua fomu za kugombea Uspika,fomu za kugombea Uspika zinatolewa na ofisi ya Bunge.
 
Tofautisha tamaa na maendeleo, usiporidhika na ulichonacho na kutaka vya wenzako hiyo ni tamaa sio maendeleo .
Hivi Dr. Tulia kipato anacho kipata kupitia Unaibu Spika halidhiki nacho? Kweli anatamaa
 
Mpaka sasa hakuna mtu aliyechukua fomu za kugombea Uspika,fomu za kugombea Uspika zinatolewa na ofisi ya Bunge.
Wanachukua za kuteuliwa na chama cha mapinduzi baadae wabadili uelekeo
 
Akili si ndio inatoa mwanga kwenye maarifa na weledi.
Huyo mwanamama hata sura yake inaonesha kuna uwezekano kuwa ana shida fulani ambayo haijapata jina bado.
CV yake ya kifamilia ikoje kwanza.
Ana Me?
Ana watoto?
Tuanzie hapo,yawezekana tunamjadili awe na hekima kumbe huku chini alishakudharau
 
Hakuna ubaya kwa mtu yoyote to aim higher, kitu cha muhimu ni kufuata katiba, sheria, taratibu na kanuni.

Huyu ni mwalimu wangu wa sheria pale UDSM, kiukweli kwenye hili, mwalimu wangu amechemsha!. Alipaswa ajiuzulu kwanza u naibu spika ndipo agombee u spika!. Mimi huu nimeuita ubatili

This is not right

Sio haki yake na sheria inazuia, ila wanaopaswa kumzuia Tulia, wamenyamazia!.

Ili mtu atumie busara, kitu cha kwanza ni hiyo busara yanyewe kwanza iwepo kisha ndipo itumike!. Kama hiyo busara yenyewe haipo, kwa mtu kama huyo unategemea nini?.
P
We mzee !
Kachukue form
Unatuangusha

Ova
 
Amechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.

Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma? vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.

Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
Haka dada kanajifanya kamesoma kumbe upumbavu tyuu, huyu kichaa Bora hata Ayubu, Tulia awe spika ?? Pumbavu Sana
 
Amechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.

Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma? vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.

Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
Huyu mdada wa hovyo sana,Lkn na yeye huwa anafikiri anajua kiongozi.
 
Tuache unafiki - binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zote anatafuta maendeleo na kuboresha nafasi yake katika jamii- heshima, mali na kufanikisha matamanio yake binafsi. Mheshimiwa Tulia kutafuta nafasi ya juu ndio mategemeo ya kila mtu, asingeomba tunge mshangaa - sifa anazo kwanini asigombe nafasi ya juu.
Watu wana wivu sana na chuki mpaka unashangaa.
 
Back
Top Bottom