Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin

Ila amejibu vizuri sana, ametuheshimisha
 
Mnyakyusa kacharuka!!
 
Ukifuatilia historia ya kuanzishwa kwa IPU yaani manifesto kutoka kwa William Randal Cremer pamoja na FrΓ©dΓ©ric Passy utakuja kuona msingi mzuri wa hoja hujibiwa na hoja sio jazba.
Wabunge waliopo kwenye bunge la IPU sio wabunge wa CCM wala Chama au Mlengo mmoja bali ni mchanganyiko wa wabunge. Tulia atulie na afanye mambo kwa utaratibu na kanuni za IPU sio za Dodoma! Hao jamaa kukuondoa hapo kitini ni kitendo cha haraka sana!
 
Toka akiwa mwalimu wangu wa Sheria, na hadi sasa, ninaukubali uwezo wake wa kujieleza na kuzungumza Kiingereza kwa umahiri kabisa.

Hongera sana (Mwaisa) Tulia Ackson Mwansasu (LL.B., LL.M., PhD)
[/QUOTE
Mwaisa ni mwanamke sio mwanamke
 
Wabongo mkiona mwenzenu anaongea kiingereza vizuri mnaona anaakili sana. Hamuangalii kilichoongelewa na namna kilivyoongelewa.

Binafsi hata kazini kwangu naonekana genius sana maana ninajua vizuri Kiingereza.

Bongo raha sana
Pole
 
Wabongo mkiona mwenzenu anaongea kiingereza vizuri mnaona anaakili sana. Hamuangalii kilichoongelewa na namna kilivyoongelewa.

Binafsi hata kazini kwangu naonekana genius sana maana ninajua vizuri Kiingereza.

Bongo raha sana
Kumbe ni lugha tu kama lugha zingine, watu wanataka utendaji kazi, huyu ajuza hata kaa asahau, Ulaya hakuna upumbavu wakuitana Mheshimiwa sijui mama mitano tena, kule ni kazi kazi
 
Rais wa IPu awafukuze hao wabunge watovu wa nidhamu waondoke kikaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…