Tulia Ackson: CCM haitoachia Dola KAMWE

Huyu ikianza vuia ya wenyewe kwa wenyewe atasahau kuwa ana hata ile kitu. Mpuuzeni tu!
 
unafikiri CCM iache Dola kwa nani? dola aiwezi kuachwa kwa waoga , wapiga mdomo , walamba asali .
 
Tulia aliwezaje kuwa spika ??
 
Sijacomment siku nyingi kumbe wajinga Kama wewe bado mpo😂😂
Endeleeni kuamini kuwa upinzani unaongozwa na wapuuzi kama akina Lema utaweza kukamata DOLA,poleni sana aisee
 
Pasco unakilaani CCM waziwazi,

Ni Kweli mungu feki aliwapa hati feki kutawala milele wakati YESU ndo mtawala wa milele na milele.

Huyo mungu feki AMEUWAWA, alikuwa pale mlima mrefu na Ishara ya utawala wao ni Ule moto wa kichawi wanaouzungusha nchini kote.

Baada ya 2026, CCM itakuwa historia.

Mtawala wa Milele anakuja kuweka KITI chake TANZANIA kupitia mtumishi wake.

Aaamen.
 
Huu ndio ukweli wenyewe!.
P
 
Naunga mkono hoja kama walipanga kumuua Lissu ili waue upinzani watawale milele. Nyege ni mbaya zinampushi kuropoka
 
Maandiko yako yanajigonga gonga kama vyombo vya jikoni vinavyooshwa na mdada wa kazi aliyechoka kazi.

Hakuna flow wala rhythm, unajichanganya tu unaenda mbele unarudi nyuma. Maandiko yako yangekuwa muziki hata mwendawazimu asingeweza kuucheza.
 
Maandiko yako yanajigonga gonga kama vyombo vya jikoni vinavyooshwa na mdada wa kazi aliyechoka kazi.

Hakuna flow wala rhythm, unajichanganya tu unaenda mbele unarudi nyuma. Maandiko yako yangekuwa muziki hata mwendawazimu asingeweza kuucheza.
Kama mimi tuu unashindwa kunisoma, ungemsoma Socrates au Plato wewe si ungebaki gizani kabisa?.
Pole!.
P
 
Kama mimi tuu tunashindwa kunisoma, ungemsoma Socrates au Plato wewe si ungebaki gizani kabisa?.
Pole!.
P
Kuwa straight. Wengi wanapata tabu kujua unaandika satire, intellectually, "bora liende" au Confusion (siyo Confucius).

Umejaribu humor lakini siyo style yako imekukataa. Una ujumbe (I hope) lakini techniques unazotumia zinakuangusha.

You can do it, Pascal!
 
I'm a jockey, naandika jockery nawajoki tuu!
P.
 
Eeh haiwezi kuachia wewe mme wako si kapewa cheo cha kuwa boss wa ewura Jana

Na ulivyo mjanja hutumii Jina la mme wako
 
Amuulize mwenyekiti wake aliyempa unaibu spika wa aibu yuko wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…