Tulia Ackson: CCM haitoachia Dola KAMWE

Hapo ndipo napojpendea ccm, ukweli unasemwa hataa jwa lugha ngumu. CCM haitoachia dola hata siku moja. Ambae anaona hawezi kuishi chini ya CCM atafute nchi ya kwenda
 
Uyu naye arudi tu nyumbani kwao Rwanda, Mnyakyusa gani mwembamba namna hiyo!
 
Mkuu Mayalla aka Njaa, pale Zanzibar, ccm huwa inashinda au inatangazwa kushinda!? Je, ule alioendesha mkono wa chuma JPM 2020 ni uchaguzi au uchafuzi!? Kwa kuwa upinzani haujajipanga kama unavyodai na ccm inakubalika sana na wananchi, huoni ni vyema wakiweka mazingira ya level playing field ili wathibitishe ubora wao!?
 
Sisi wananchi ndio tutakaoamua kuiondoa CCM madarakani nje ya box la kura,Maana tunakuwa kwenye kura ndipo mnapotuibia. Kwakuwa tangu 2005 hamjawahi kushinda uchaguzi kihalali.
 
Mkuu Mayalla, pale Zanzibar, ccm huwa inashinda au inatangazwa kushinda!?
Hili nimeisha lisema humu Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda
Je, ule alioendesha mkono wa chuma JPM 2020 ni uchaguzi au uchafuzi!?
Uchaguzi wa 2020 niliisha usema humu Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? nilisema
Kwa kuwa upinzani haujajipanga kama unavyodai na ccm inakubalika sana na wananchi, huoni ni vyema wakiweka mazingira ya level playing field ili wathibitishe ubora wao!?
Hiki ndicho anachokifanya Mama Samia, atabadili katiba, sheria, ataleta tume huru ya uchaguzi na bado 2025 ni CCM pekee!.
P
 
Hiyo ni kitu iko wazi ,siasa za upinzani nchi hili zilimulikwa na majina ya akina Lema na Mbowe na wameshindwa kupeleka siasa husika maeneo mengine ya nchi
 
Nebukadneza alifedheheshwa akala majani akasahaulika sehmbuse CCM? Wajitapa tu mwisho wa siku watajuta
 
Wapinzani halisi wa CCM watatoka ndani ya CCM,,tofauti na hapo tunajilisha upepo
 
Mh kama kufikiri ni rahisi hivyo wakati ni muamuzi Mzuri sana
 
Wapinzani halisi wa CCM watatoka ndani ya CCM,,tofauti na hapo tunajilisha upepo
Eti lema ndio mmoja wa makamanda tegemeo ?kweli nchi hii kuna maajabu aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…