Kudumu Milele na mileleNaunga mkono hoja.
Kuna watu tukiwaambia ukweli kuhusu CCM kutawala milele, hawaamini, na kwa vile maneno hayo ameyasema Tulia, bado kuna watu hawataamini hadi maneno hayo ya CCM kutawala milele Tanzania...
Kidumu kilisha toboka zamaanii,na siku zote kinavuja na wenye kidumu chao hawana hata habari,ni wakiuhurumiwa buure, kabisa🤔Kudumu Milele na milele
Lkn kasema ukweli kabisa kuwa alichofanya spika siyo cha kiungwanaP wewe kamwe hujawahi kuwa mzalendo,hutakuwa,na haita ikiwa,ikitokea zaidi utakuwa chawa mbobezi[emoji848]
Kulikuwa na kizazi cha kuthubutu ambacho kimepambana na mkoloni bila uwoga, kikaja kizazi chako hiki ambacho kina kula matundq ya jasho la wengineHii tz ni swala la muda tu. Hata kama itachukua miaka 100 ,tutakuja kuwa kama DRC ,Somalia, Sudan .Ngoja hiki kizazi cha waoga na wajinga kipite
Wewe ndiyo unatakiwa ukawahi kitanda pale MirembeNaomba nikuambie kitu kimoja, WAHI MIREMBE
Uzalendo wa mtu unakaa ndani ya moyo wake, na ndani ya nafsi yake na sio lazima watu wengine wote waone!, ukijijua wewe ni mzalendo wa kweli wa taifa lako, unafarijika sana hata kama uzalendo huo ni wewe pekee unaujua!.P wewe kamwe hujawahi kubwa mzalendo,hutakiwa,na haita tokea,ikitokea zaidi uwe chawa mbobezi🤔
Uchawi unakusumbua nakusamehe bureWewe ndiyo unatakiwa ukawahi kitanda pale Mirembe
Hapo kwenye sela umetufunga kamba kamanda. Sio kweli usemache , sio Mara moja au mbili kumsikia Rais Samia 'mama' akisisitiza utekelezaji wa ilani na ilani ya CCM ndio inayotumika kuendesha mipango iliyopo.Kwa kumsaidia tu ni kwamba,Mama mwenyewe anapingana na sela na uendeshaji wa Chama chake
Si wapo wengine walikuwa wanawapa vyeo vya mungu viongozi wao hao hao wa chama but mwingine juzi kafukuzwa kwa lugha nzuri tu, tena akiwa kiongozi wa dini.Kunawatu wanakula hovyo vya haramu wanavimbiwa wanasahau kuwa yupo Mungu naye ndiye anayeamua nini kiwe na nini kisiwe...
Tuwapuuze maana wamepita shule lakini akili hawana!!!
Japo kila lenye mwanzo, huwa lina mwisho, na CCM kama chama, ina mwanzo hivyo ni lazima nayo iwe na mwisho, unless CCM ndie Mungu mwenyewe
Unajichanganya Sasa.....CCM ndio alfa na omega wa siasa zetu, ndicho chama pekee chenye hati miliki ya kuitawala Tanzania milele!,
🤭Hata Aibu Kidogo Hana Yaani Anaongea Kama Yupo Nyumbani Kwake
Aweke Akiba Kidogo Ya Maneno
Huyu Spika Tulia Ackson, kiburi hicho anakipata toka wapi?Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Dkt. Tulia Ackson...
Malizia kabisa kwa kusema 'na sisi wananchi wenyewe ni manyumbu bila Mbowe na Zito hakuna kitu tunaweza kufanya, pumbafu sana sisi'Ni kweli Kwa Katiba iliyopo na tume ya uchaguzi ya ajabu, CCM wataendelea kuwepo tu. A bitter truth ni kwamba kwa sasa Tanzania haina chama cha upinzani kilichopo kwaajili ya umma Bali kwa maslahi ya top Leaders Kama Mbowe, Zitto nk
Zoba kama wewe lazima ukate viunoImwachie nani?