Tulia Ackson: CCM haitoachia Dola KAMWE

Tulia Ackson: CCM haitoachia Dola KAMWE

Naunga mkono hoja.
Kuna watu tukiwaambia ukweli kuhusu CCM kutawala milele, hawaamini, na kwa vile maneno hayo ameyasema Tulia, bado kuna watu hawataamini hadi maneno hayo ya CCM kutawala milele Tanzania, yatakaposemwa na nanilii!. Sii wengi wanaojua kuwa kauli huumba, ila pia ukitoa kauli mbaya kama kuwatukana wazazi, kauli hiyo inasababisha one to be cursed!. Kauli kama hii ya CCM kutawala milele huko nyuma iliwahi kutolewa na kiongozi fulani who, very unfortunately, he was cursed!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. humo nilisema "Wanabodi,

Kuna wengi wanadhani siasa ni kupiga blah blah tuu, hivyo kwao, kila kinachosemwa na wanasiasa, wanakiona kama ni blah blah!, no!. Siasa sio blah blah tuu, japo blah blah zipo, ila pia kuna ukweli bayana, dhahir, shahir!. Siasa ni sayansi, social science, hivyo sayansi ya siasa ni political science, inafuata kanuni zile zile za kisayansi za Newton's laws of motion, ile kanuni ya "a body in motion" or

" a static body", itaendelea kubaki hivyo hivyo milele, hadi kutokea nguvu nyingine itakayoibadilisha, hivyo kwa hali hii ilivyo sasa, CCM is the body in motion, itaendelea kutawala milele, kwa sababu watu wenye uwezo wa Kimungu, wameishaona kuwa kwa Tanzania, hakuna kabisa uwezekano wa kutokea nguvu nyingine ya kuizuia CCM isitawale milele nchi yetu ya Tanzania, hivyo CCM, itatawala milele!.

Japo kila lenye mwanzo, huwa lina mwisho, na CCM kama chama, ina mwanzo hivyo ni lazima nayo iwe na mwisho, unless CCM ndie Mungu mwenyewe, ambaye Yeye ndiye Pekee Alfa na Omega hivyo CCM hii iliyopo sasa nayo ni CCM Alfa na Omega, haina mwisho, hivyo pia katika utawala wa Tanzania, CCM ndio alfa na omega wa siasa zetu, ndicho chama pekee chenye hati miliki ya kuitawala Tanzania milele!, huu ni ukweli bayana ambao lazima sote, tuupokee, tuukubali na tuutekeleze. Wale wote wasioukubali ukweli huu, ni kweli kabisa watapata taabu sana!.

Jee Umilele wa CCM Kutawala Tanzania Milele, Unatokana na Nini?.

Umilele wa CCM kuitawala Tanzania, unatokana na mungu wa CCM (not Mungu Baba) kuiteua CCM na kuipatia hati miliki ya kuitawala Tanzania milele na milele, ndio maana katika baadhi ya makala zangu za nyuma, niliwahi kushauri tuifute ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, tuifute ruzuku kwa vyama vya siasa, Tanzania turejee kuwa nchi ya chama kimoja cha milele, CCM.

Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi
NB: Baadhi ya kauli kama hizi, zinasababisha curses, msije kushangaa watoa kauli kama hizi kuja kuwa cursed na kuchomoka kabla ya wakati kwa sababu neno milele ni mamlaka ya Mungu mwenyewe!.

Kidumu Milele Chama Cha Mapinduzi.
Pasco"

P
Nimekupa likes ila kwa shingo upande

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Chadema wakiviponda vya vyengine vya upinzani vionekane kuwa sio wapinzani wa kweli hutumika tu na ccm, nao Chadema ndio wapinzani wa kweli, hilo huwa sio shida.
 
CCM Kwa Tanzania yetu, ni kama Njemba inayommiliki mwanamke kimabavu. Anafanya mapenzi bila ridhaa yake, full kubakwa kila siku, akibisha makofi ya kutosha, mitama ,roba ya mbao huku akiwa amewekewa bastola kichwani. Haya bhana!
1675482039585.jpg
 
Narudia kuwakumbusha kuwa Mungu amesikia kilio cha Watanzania na sasa mnachokishuhudia ni watawala kunyang'anywa ndimi zao na kizungumza yasiyotamkika yanayowafiti wenyewe.
Haina tofauti na Farao na jeshi lake walipoondolewa magurudumu yao kwenye bahari ya Shamu kabla hawagharikisha.


Kauli ya Tulia ndiyo picha inayoendelea serikalini. Kitu kinachoitwa MUAFAKA ni danganyatoto. Subirini mwaka ukipinduka ndo mtajua hamjui
Amen
 
View attachment 2506328

Ni lazima viongozi wa Tanzania waelewe kwamba Nchi hii pamoja na kuwa na KATIBA MBOVU NA DUNI , lakini bado inaendeshwa kwa kufuata sheria za nchi na Taratibu zilizoainishwa .

Kauli ya Kijinga aliyoitoa Tulia Ackson huko Zanzibar kwamba ccm haitoachia madaraka milele haiwezi kunyamaziwa , tutaipinga kwa nguvu zote tena bila kumung'unya maneno .

Labda kwa faida ya WanaJF na Watanzania wengine ni kwamba , huyu Tulia Ackson ni Mwanasiasa Duni na mchanga ndani na nje ya ccm , ni mwanasiasa asiye na mchango wowote kwenye nchi hii wala hakuwahi kuwa nao hata huko CCM , huyu alibebwa na Magufuli kama walivyobebwa Musiba , Kabudi na mamluki wengine , sasa mtu kama huyu kutoa kauli za kichochezi kama hii ni ishara kwamba sasa amelewa madaraka na ameamua kuwapanda watanzania kichwani .

Dawa ya viongozi wenye fikra mgando kama huyu ni Katiba mpya tu .
Amewapigia kule kule Zanzibar kwa Shoga yenu Mwasiti binti Jumaa!
 
"Maajabu ya dunia haya", wengi wetu wa Watanzania kweli bado akili zetu zinakuwa za Wadanganyika. Sisi Wadanganyika tunawategemea akina Mbowe, Lisu, Zito, na Vyama vya siasa vitukomboe tokana na janga hili la CCM kututawala milele! Ni sahihi sana kwa Tulia kuyasema hayo, yeye spika, baba DG!. Kama alivyonena "mzalendo" Pasco, kuwa ili CCM iweze kuondoka/kuachia madaraka ni lazima Newton's Law of motion itumike, ni sahihi na tamko la yule M6 aliyewauliza Wabarafu, kuwa " Du yu nou ze baiskos kota pini? Wabarafu wakasema " Yesi Saa" naye akawaeleza " Ifu Yu wanti tu remuvu ze olodi kota pini, Yu masti hama iti outi ende tu repulesi ze neu wani, oluso, Yu masti hama iti ini" ! M6 akamalizia kwa kusema " Hia aiemu" Kumbe pia "M6" alikuwa CCM kindakindaki kama alivyonena Pasco. Lakini, je, hii "external FORCE" na huyu "mungu wa milele" wa CCM ni marafiki?
Tafadhali wanaJf nipeni jibu. La sivyo sivyo, Wadanganyika wote tutakuwa tumelaaniwa na "mungu wa milele" wa CCM. Na laana hii, haitatutoka hadi kizazi cha "nne" na endapo hatutaitoa laana hii, basi, tuitoe kwa kuwaandikia kizazi hicho mistari ya maombi ya kuikana laana hii kwa nguvu za kutoka miyoni mwao na ikisukumwa na ROHO wa kweli toka kwa MUNGU wetu wa mbinguni aishiye milele tofauti sana na " mungu wa milele wa CCM"
 
Huyu manka angekomaa na kundi la mchicha kuanchana na asali maana asali ndo inayoliangusha. Team mchicha ijikite tu kuzalisha vitamin A asali waisahau tutawaheshimu
 

Ni lazima viongozi wa Tanzania waelewe kwamba Nchi hii pamoja na kuwa na KATIBA MBOVU NA DUNI , lakini bado inaendeshwa kwa kufuata sheria za nchi na Taratibu zilizoainishwa.

Kauli ya Kijinga aliyoitoa Tulia Ackson huko Zanzibar kwamba ccm haitoachia madaraka milele haiwezi kunyamaziwa , tutaipinga kwa nguvu zote tena bila kumung'unya maneno.

Labda kwa faida ya WanaJF na Watanzania wengine ni kwamba, huyu Tulia Ackson ni Mwanasiasa Duni na mchanga ndani na nje ya ccm , ni mwanasiasa asiye na mchango wowote kwenye nchi hii wala hakuwahi kuwa nao hata huko CCM , huyu alibebwa na Magufuli kama walivyobebwa Musiba , Kabudi na mamluki wengine , sasa mtu kama huyu kutoa kauli za kichochezi kama hii ni ishara kwamba sasa amelewa madaraka na ameamua kuwapanda watanzania kichwani .

Dawa ya viongozi wenye fikra mgando kama huyu ni Katiba mpya tu .

IMG_5737.jpg
 
Angalia wanaoongoza siasa za upinzani ndio utaamini kabisa kuwa Tulia yuko sahihi kabisa.Hivi kweli siasa za maji taka za akina Lema ndio za kushika DOLA?siasa za kutegemea kabila moja ndio muwe na uwezo wa kutawala ?
Sijacomment siku nyingi kumbe wajinga Kama wewe bado mpo😂😂
 
Democratic party (USA)ilianzishwa 1828 na ikaja kuchukua Dola 1860..Kama waliweza hata hapa kwetu itakuja kutokea Wala sio mbali..umilele wanaosema ni maisha yao kabla hawajafa Kama Ndugu yule...
 
Naunga mkono hoja.
Kuna watu tukiwaambia ukweli kuhusu CCM kutawala milele, hawaamini, na kwa vile maneno hayo ameyasema Tulia, bado kuna watu hawataamini hadi maneno hayo ya CCM kutawala milele Tanzania, yatakaposemwa na nanilii!. Sii wengi wanaojua kuwa kauli huumba, ila pia ukitoa kauli mbaya kama kuwatukana wazazi, kauli hiyo inasababisha one to be cursed!. Kauli kama hii ya CCM kutawala milele huko nyuma iliwahi kutolewa na kiongozi fulani who, very unfortunately, he was cursed!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. humo nilisema "Wanabodi,

Kuna wengi wanadhani siasa ni kupiga blah blah tuu, hivyo kwao, kila kinachosemwa na wanasiasa, wanakiona kama ni blah blah!, no!. Siasa sio blah blah tuu, japo blah blah zipo, ila pia kuna ukweli bayana, dhahir, shahir!. Siasa ni sayansi, social science, hivyo sayansi ya siasa ni political science, inafuata kanuni zile zile za kisayansi za Newton's laws of motion, ile kanuni ya "a body in motion" or

" a static body", itaendelea kubaki hivyo hivyo milele, hadi kutokea nguvu nyingine itakayoibadilisha, hivyo kwa hali hii ilivyo sasa, CCM is the body in motion, itaendelea kutawala milele, kwa sababu watu wenye uwezo wa Kimungu, wameishaona kuwa kwa Tanzania, hakuna kabisa uwezekano wa kutokea nguvu nyingine ya kuizuia CCM isitawale milele nchi yetu ya Tanzania, hivyo CCM, itatawala milele!.

Japo kila lenye mwanzo, huwa lina mwisho, na CCM kama chama, ina mwanzo hivyo ni lazima nayo iwe na mwisho, unless CCM ndie Mungu mwenyewe, ambaye Yeye ndiye Pekee Alfa na Omega hivyo CCM hii iliyopo sasa nayo ni CCM Alfa na Omega, haina mwisho, hivyo pia katika utawala wa Tanzania, CCM ndio alfa na omega wa siasa zetu, ndicho chama pekee chenye hati miliki ya kuitawala Tanzania milele!, huu ni ukweli bayana ambao lazima sote, tuupokee, tuukubali na tuutekeleze. Wale wote wasioukubali ukweli huu, ni kweli kabisa watapata taabu sana!.

Jee Umilele wa CCM Kutawala Tanzania Milele, Unatokana na Nini?.

Umilele wa CCM kuitawala Tanzania, unatokana na mungu wa CCM (not Mungu Baba) kuiteua CCM na kuipatia hati miliki ya kuitawala Tanzania milele na milele, ndio maana katika baadhi ya makala zangu za nyuma, niliwahi kushauri tuifute ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, tuifute ruzuku kwa vyama vya siasa, Tanzania turejee kuwa nchi ya chama kimoja cha milele, CCM.

Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi
NB: Baadhi ya kauli kama hizi, zinasababisha curses, msije kushangaa watoa kauli kama hizi kuja kuwa cursed na kuchomoka kabla ya wakati kwa sababu neno milele ni mamlaka ya Mungu mwenyewe!.

Kidumu Milele Chama Cha Mapinduzi.
Pasco"

P
Dunia ina mwisho na ccm ina mwisho.

Swali jee wewe utaishi milele? ?
 
Uzalendo wa mtu unakaa ndani ya moyo wake, na ndani ya nafsi yake na sio lazima watu wengine wote waone!, ukijijua wewe ni mzalendo wa kweli wa taifa lako, unafarijika sana hata kama uzalendo huo ni wewe pekee unaujua!.
P
Mbona mlimpiga Lissu risasi kisa mkasema sio mzalendo? ?
Kama uzalendo uko moyoni mwa mtu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom