Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apewe maua yake kwa kuiheshimisha Tanzania huko IPUAliulizwa ni kwanini yeye kama Spika aliamua kwenda Russia badala ya Ukraine. Kimsingi alijibu na kujieleza vizuri sana sana.
Sema ilionyesha kama amekereka kuulizwa hilo swali maana alirudia maelezo ya majibu yake mara nyingi na pia kuwa kama analalamika.
Nadhani ingekuwa ni Bunge letu hili la Dodoma angeshamuangukia muuliza swali na kuagiza atolewe nje .
So far yupo vema sana kwenye kujibu hoja
Soma: Rais wa IPU, Dkt. Tulia Ackson alivyofungua Mkutano Mkuu wa 149 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Geneva, Uswisi
Mbona kama ana jazba sana?
Hataki kuulizwa ulizwa...
View: https://youtu.be/3CigHmba6ws?si=a5XTdLDOiQBVXA2r
Nyumbani wajinga wengi sana kiasi kwamba hakuna mwenye uwezo wa kuheshimu kile alichonacho.Kweli? Mbona nyumbani ni tofauti?
Sentensi yako fupi na haijajitosheleza. Ukishindwa kuelezea ni kwa vipi ni bogus, wewe ndio unayeonekana bogus.Huyu mama ni bogus!
Hizo taasisi kubwa siku zote huwa na wapuuzi wa Ulaya wenye kudhani kiongozi mweusi ni wa kumpelekesha tu.Nadhani Tulia alijisahau akadhani yuko kwenye Bunge la akina Musukuma na Lusinde, aka panic na kutoa povu
All in all akasome course ya conflict resolution ili imuongezee uwanda wa uelewa namna ya ku handle geopolitics
View attachment 3126251
CDM lazima mioyo iwaume.Huu ni uongo kachemka tena sana. Mmezoea bunge bubu la fisiem.
All the best
Mbona alipaniki sana.Aliulizwa ni kwanini yeye kama Spika aliamua kwenda Russia badala ya Ukraine. Kimsingi alijibu na kujieleza vizuri sana sana.
Sema ilionyesha kama amekereka kuulizwa hilo swali maana alirudia maelezo ya majibu yake mara nyingi na pia kuwa kama analalamika.
Nadhani ingekuwa ni Bunge letu hili la Dodoma angeshamuangukia muuliza swali na kuagiza atolewe nje .
So far yupo vema sana kwenye kujibu hoja
Soma: Rais wa IPU, Dkt. Tulia Ackson alivyofungua Mkutano Mkuu wa 149 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Geneva, Uswisi
Mimi nimefurahi alivyoonyesha kukerekwa kwa kweli nimefurah sana kwa kuwa hili swali alishalijibu zaidi ya mara tatu tena humo humo sasa anashangaa mara nne anaulizwa na amepigiwa makosi sana kuonyesha wamekubali maelezo, huwezi kuukiza swali moja mara nne na lengo najua lilikuwa ajichanganye maelezo ili wapate pa kumkaba sasa wamwlemkuta yuko makini na maelezo ni yaleyale hayana zigzag hapa nampa maua yake sana tu,alianza kwanza kwenda ukraine lkn hawakuwepo wkt huo rais alikuwa na kikao ulaya ikabidi aende russia sasa ubaya uko wap .Aliulizwa ni kwanini yeye kama Spika aliamua kwenda Russia badala ya Ukraine. Kimsingi alijibu na kujieleza vizuri sana sana.
Sema ilionyesha kama amekereka kuulizwa hilo swali maana alirudia maelezo ya majibu yake mara nyingi na pia kuwa kama analalamika.
Nadhani ingekuwa ni Bunge letu hili la Dodoma angeshamuangukia muuliza swali na kuagiza atolewe nje .
So far yupo vema sana kwenye kujibu hoja
Soma: Rais wa IPU, Dkt. Tulia Ackson alivyofungua Mkutano Mkuu wa 149 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Geneva, Uswisi
Tulia ana very low self esteam …emotional intelligence ndogo….amejibu vyema lakini kama kawaida very emotional kama anataka kulia utasema anaongea na kina halima mdeeAliulizwa ni kwanini yeye kama Spika aliamua kwenda Russia badala ya Ukraine. Kimsingi alijibu na kujieleza vizuri sana sana.
Sema ilionyesha kama amekereka kuulizwa hilo swali maana alirudia maelezo ya majibu yake mara nyingi na pia kuwa kama analalamika.
Nadhani ingekuwa ni Bunge letu hili la Dodoma angeshamuangukia muuliza swali na kuagiza atolewe nje .
So far yupo vema sana kwenye kujibu hoja
Soma: Rais wa IPU, Dkt. Tulia Ackson alivyofungua Mkutano Mkuu wa 149 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Geneva, Uswisi
Nilichogundua kwenye hili la Tulia Ackson ni kuwa wabongo wana akili nyepesi sana.Aliulizwa ni kwanini yeye kama Spika aliamua kwenda Russia badala ya Ukraine. Kimsingi alijibu na kujieleza vizuri sana sana.
Sema ilionyesha kama amekereka kuulizwa hilo swali maana alirudia maelezo ya majibu yake mara nyingi na pia kuwa kama analalamika.
Nadhani ingekuwa ni Bunge letu hili la Dodoma angeshamuangukia muuliza swali na kuagiza atolewe nje .
So far yupo vema sana kwenye kujibu hoja
Soma: Rais wa IPU, Dkt. Tulia Ackson alivyofungua Mkutano Mkuu wa 149 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Geneva, Uswisi
Weeeeee angevua nguo juu ya meza alafu amuite huyu mwakilishi wa Ukraine alete maji kwenye ndooo aoge mbele za watu🤣🤣🤣Wangemuuliza na sababu ya kukataa kujadili masuala ya utekaji Tanzania Kwa
Bwana Mikael hakika unajua kumsoma mtu. Ni kweli amejibu kwa kulalamika ambapo yeye alitakiwa kujibu kwa utulivu na bila kuonyesha kukereka.Tulia ana very low self esteam …emotional intelligence ndogo….amejibu vyema lakini kama kawaida very emotional kama anataka kulia utasema anaongea na kina halima mdee
Angalia na wewe ulivyo comment kwa panic na muhemko. Mna hoja nzuri sana lakini mnaziwasilisha kwa Makasiriko.Acheni kumfundisha mtu namna ya kuongea sasa kama mtu kawajibu hawaelewi kajieleza bado hawaelewi ulitaka aendelee kuwachekea? Ni lazima uwaoneshe umekasirika maana unafiki sio mzuri ndio umetufikisha hapa tulipo kama taifa, yaani mtu umekasirishwa halafu ucheke cheke ili iweje? Dr. Tulia katuheshimisha watanzani na Africa kwa ujumla, siku nyingine watamuuliza maswali kwa adabu. Hongera sana Dr. Nimeelewa kwa nini JPM alikupa ubunge. Sisi tusiopenda unafiki tunakupongeza sana kuna watu humu huwa wanawaona wazungu ni kama miungu yao hawakosei na wala hawafai kufokewa wao nikujikomba komba tu kwao.
KIBURI, amezoea kuwafokea CHADEMA, hao ni magharibi mkuu.. subiri soon atapigwa pini.Aliulizwa ni kwanini yeye kama Spika aliamua kwenda Russia badala ya Ukraine. Kimsingi alijibu na kujieleza vizuri sana sana.
Sema ilionyesha kama amekereka kuulizwa hilo swali maana alirudia maelezo ya majibu yake mara nyingi na pia kuwa kama analalamika.
Nadhani ingekuwa ni Bunge letu hili la Dodoma angeshamuangukia muuliza swali na kuagiza atolewe nje .
So far yupo vema sana kwenye kujibu hoja
Soma: Rais wa IPU, Dkt. Tulia Ackson alivyofungua Mkutano Mkuu wa 149 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Geneva, Uswisi