Tulia Ackson: Naagiza Serikali ifanye utafiti wa Mapungufu ya Sheria ya Ushoga na Usagaji ili iendane na uhalisia wa sasa

Tulia Ackson: Naagiza Serikali ifanye utafiti wa Mapungufu ya Sheria ya Ushoga na Usagaji ili iendane na uhalisia wa sasa

Hakika nimeshangazwa sana na BUNGE kutumia MUDA mwingi Kujadili USHOGA badala ya KUJADILI TATIZO KUBWA la UPOTEVU wa MABILIONI ya FEDHA za UMMA kama zilivyobainishwa na REPORT ya CAG.

Suala la USHOGA ni ZITO badala ya BUNGE Kulijadili lingeweza kuwafikia WANANCHI wengi na Wa RIKA Mbalimbali kupitia VIPINDI mbalimbali ktk Televisheni RADIO na MAGAZETI pia MAKALA na VIPEPERUSHI kama ilivyofanyika kuwaelimisha WANANCHI kuhusu MAJANGA ya Magonjwa Mbalimbali kama vile UKIMWI COVID-19 n.k NJIA hizo zingewafikia WANANCHI wengi sana na Sehemu mbalimbali Kuliko Majadilioni ya WABUNGE BUNGENI.

JANGA la USHOGA lingefaa likafundishwa MASHULENI ili kuwapa UELEWA wanafunzi wengi kwani nako ni CHANZO

Tuwatake WABUNGE warudi kwenye MJADALA MZITO na MUHIMU wa REPORT ya CAG kwani WANANCHI wenye FEDHA ZAO wana hamu kubwa ya Kujua HATIMA ya Waliotajwa kwenye REPORT ya CAG.
 
Hakika nimeshangazwa sana na BUNGE kutumia MUDA mwingi Kujadili USHOGA badala ya KUJADILI TATIZO KUBWA la UPOTEVU wa MABILIONI ya FEDHA za UMMA kama zilivyobainishwa na REPORT ya CAG.
Suala la USHOGA ni ZITO badala ya BUNGE Kulijadili lingeweza kuwafikia WANANCHI wengi na Wa RIKA Mbalimbali kupitia VIPINDI mbalimbali ktk Televisheni RADIO na MAGAZETI pia MAKALA na VIPEPERUSHI kama ilivyofanyika kuwaelimisha WANANCHI kuhusu MAJANGA ya Magonjwa Mbalimbali kama vile UKIMWI COVID-19 n.k NJIA hizo zingewafikia WANANCHI wengi sana na Sehemu mbalimbali Kuliko Majadilioni ya WABUNGE BUNGENI.
JANGA la USHOGA lingefaa likafundishwa MASHULENI ili kuwapa UELEWA wanafunzi wengi kwani nako ni CHANZO
Tuwatake WABUNGE warudi kwenye MJADALA MZITO na MUHIMU wa REPORT ya CAG kwani WANANCHI wenye FEDHA ZAO wana hamu kubwa ya Kujua HATIMA ya Waliotajwa kwenye REPORT ya CAG.
Naona mnavyo lipigia promo hilo la ushoga kijanja maana kulitulia
 
Mkuu, Mbunge anasimama na kutetea hoja ya CAG isijadiliwe kwa sababu wanaongozwa kwa Mujibu wa Sheria!! Sasa ukiwauliza hao COVID 19 wapo kwa mujibu wa Sheria? Hapo hupati jibu asilani-abadani.
Kwenye hizo kamati na wao wamo walikula mafungu yao
 
Na ndiyo moja ya dosari alizoacha JPM.
Napomsifia na nasema na mabaya yake. Mojawapo ni kunajisi uchaguzi na kujaza vihiyo bungeni. Watu kama Pascal Mayala walipaswa kuwa bungeni.
 
Hakika nimeshangazwa sana na BUNGE kutumia MUDA mwingi Kujadili USHOGA badala ya KUJADILI TATIZO KUBWA la UPOTEVU wa MABILIONI ya FEDHA za UMMA kama zilivyobainishwa na REPORT ya CAG.

Suala la USHOGA ni ZITO badala ya BUNGE Kulijadili lingeweza kuwafikia WANANCHI wengi na Wa RIKA Mbalimbali kupitia VIPINDI mbalimbali ktk Televisheni RADIO na MAGAZETI pia MAKALA na VIPEPERUSHI kama ilivyofanyika kuwaelimisha WANANCHI kuhusu MAJANGA ya Magonjwa Mbalimbali kama vile UKIMWI COVID-19 n.k NJIA hizo zingewafikia WANANCHI wengi sana na Sehemu mbalimbali Kuliko Majadilioni ya WABUNGE BUNGENI.

JANGA la USHOGA lingefaa likafundishwa MASHULENI ili kuwapa UELEWA wanafunzi wengi kwani nako ni CHANZO

Tuwatake WABUNGE warudi kwenye MJADALA MZITO na MUHIMU wa REPORT ya CAG kwani WANANCHI wenye FEDHA ZAO wana hamu kubwa ya Kujua HATIMA ya Waliotajwa kwenye REPORT ya CAG.
Fisiemu ni wezi kama wezi wengine ni kwa vile kinga yao ni dola tu.
 
Shoga hana athari hata kidogo kwenye upigaji na wizi wa fedha za kodi na mikopo.

Sijawahi kusikia Shoga katuibia Matrilioni ya fedha za Barabara.

Kwanini Shoga anakuwa scapegoat badala ya kuwaadhibu wezi wa CCM
Acha kelele, ushoga ni upumbavu unaopaswa kupingwa kwa nguvu zote kabla ya hayo unayoyataja.
 
safi, sheria itute meno tuhangaike na haya ma bwabwa mitaani, msako utakuwa nyumba kwa nyuma tunaanzia mikoa vinara Dar es salaam, Tanga, Zanzibar mabwabwa yote kaeni mkao wa kula tunakuja.
Kweli wanasiasa wanajua jinsi ya kucheza na mwananchi rofa!!yaani kuna matatizo chungu mzima yanayowaathiri(ufisadi) kila leo,ambayo mkiamua tu kwa nguvu moja yanapungua sana,na maisha yana boreka,mnakimbilia kitu ambacho kwanza ni kigumu kikimaliza,pili hakina madhara ya moja kwa moja kwako!!kwani chanzo ni jamii yenyewe,huenda hata ni ndani ya familia zetu,.Acheni kufuata upepo komaeni na RUSHWA/UFISADI ndio kitisho kikubwa sana.
 
Tusaidiane.
Screenshot_20230414-174332.jpg


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom