Tulia Ackson: Naagiza Serikali ifanye utafiti wa Mapungufu ya Sheria ya Ushoga na Usagaji ili iendane na uhalisia wa sasa

Haya mambo kwa tamaduni zetu ni marufuku hata kuziongelea...
 
Huyu Njiti bure kabisa, Sugu piga jaramba huyu harudi tena Bungeni
 
Nchi hii ni masikini wa kutupwa ,mnaanza kupambana na city ambavyo hamuwezi kuvizuia
 
Anaongea kwa jazba kama Mkarismatiki.
 
Mwanzo nilihisi hii ishu itakuwa ngumu mno kiutekelezaji ila kwa maneno ya Lisu hivi majuzi na jinsi wanavyoshungulikiwa ni jambo mzuri naamini hata alokawa anawaza kuingia kwenye hicho chama nadhani atakuwa ashabadilisha mind yake labda awe hajui kinachoendelea juu yao.

Nisisitize kwa kumalizia kuzipiga pin zile NGO's zote za mchongo zenye kufundisha huo uchafu pia washughulikiwe na Mabasha ambao wameathiriwa na huo ushenzi na naamini baada ya hapo nchi itakuwa salama kabisa kwa vizazi vyetu.
 
Yule Mkuu wa Wilaya ya Same , sijui anaitwa nani vile. Yule jamaa apewe tuzo katika kukabiliana na suala hili.

Jamaa yupo vizuri sana!!!
 
Mara nyingi mambo yanayofanikiwa ni yale yasiyo na matangazo ya kuji mwambafaiii

hata katika shughuli binafsi ukiwa na mission hutakiwi ongea wala kubadilika kitabiaaa ..... unanyatia hadi unakamata mwizi men
 
Yule Mkuu wa Wilaya ya Same , sijui anaitwa nani vile. Yule jamaa apewe tuzo katika kukabiliana na suala hili.

Jamaa yupo vizuri sana!!!
Natamani kujua kafanyaje huyo mkuu wa wilaya?
 
Iendane na mazingira ya sasa maana yake nini? Kwamba mazingira ya sasa yanaruhusu uwepo wa mapenzi ya jinsia moja?
 
point taken!!!!!!!.....................................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…