Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Nimemsikiliza ndugu Tulia Ackson akisema kuwa Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi.
Ukweli ni kuwa mamlaka ya rais wa Tanzania yako limited sana huko Zanzibar
Hata katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 iliyorekebishwa mwaka 2010 inatamka wazi kuwa Rais wa Zanzibar ni mkuu wa nchi ya Zanzibar.
Kwa hiyo kwa muktadha huo ni sahihi kusema kuwa Rais wa Tanzania ni mkuu w Tanganyika iliyovaa koti la muungano lakini si mkuu wa nchi ya Zanzibar
Hata Kiprotokali, Rais wa Tanzania awapo Zanzibar kiitifaki Rais wa Zanzibar huwa yuko mbele yake
Naweka hapa katiba ya Zanzibar inayotamka wazi kuwa rais wa Zanzibar ni mkuu wa nchi ya Zanzibar
Ukweli ni kuwa mamlaka ya rais wa Tanzania yako limited sana huko Zanzibar
Hata katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 iliyorekebishwa mwaka 2010 inatamka wazi kuwa Rais wa Zanzibar ni mkuu wa nchi ya Zanzibar.
Kwa hiyo kwa muktadha huo ni sahihi kusema kuwa Rais wa Tanzania ni mkuu w Tanganyika iliyovaa koti la muungano lakini si mkuu wa nchi ya Zanzibar
Hata Kiprotokali, Rais wa Tanzania awapo Zanzibar kiitifaki Rais wa Zanzibar huwa yuko mbele yake
Naweka hapa katiba ya Zanzibar inayotamka wazi kuwa rais wa Zanzibar ni mkuu wa nchi ya Zanzibar