Uchaguzi 2020 Tulia Ackson, Wana Mbeya tunasema fedha siyo za Rais fedha ni za umma, usitupotoshe

Uchaguzi 2020 Tulia Ackson, Wana Mbeya tunasema fedha siyo za Rais fedha ni za umma, usitupotoshe

Huu udaktari wake ni wa aina gani?? Ni Kama ule Uprof wa Maji Marefu??

Kimsingi ametudhihaki Wana Mbeya. Anadhani Hadi leo hatujui majukumu ya Mbunge. Kwa mfano tukampa Kura akashinda Ubunge halafu JPM akakosa Urais, Rais akawa TL je atajiudhuru ubunge???

Hoja za kipumbavu km hizi hazipaswi kutumiwa na mtu wa hadhi yake. Uchu wa Madaraka unamfanya ajifedheheshe. Kwa hoja hii hapaswi kabisa kupewa hata Kura moja Mana inaonesha wazi Hadi sasa hajafahamu majukumu ya kazi anayoiomba. Ni Aibu Sana kwa mtu mzima kutoa hoja za kitoto km hizi.
kwaiyo tulia atulie kwanza eti
 
Ndo maana tunaona hizi degree ni feki ,mwingine hajui hata english ,huyu ni naibu spika na hajui kazi ya mbunge ,halafu ni DR.

CCM kuna vilaza wengi
Mwenyekiti kasema nimewaletea mwanamama,anaomba wana wa Mbeya wampelekee Bungeni!Baada ya kujimilikisha Serikali na Mahakama,sasa hivi juhudi kubwa inafanyika kumiliki Bunge rasmi kwa kuwapeleka watu wake majimboni ili Lengo kuu litimie.
Watanzania tushtuke,Hutu Mzee amebakiza vichache sana kujibinafsishia Tanzania mazima.Kura yako ndiyo silaha ya kuepusha hilo,kazi kwetu!
 
Huyo Tulia hata haijui siasa, anasubiri kubebwa tu, halafu wakiambiwa wanabebwa na Tume na polisi wanakuwa wakali, naamini hata yeye anajua wazi hawezi kushinda Mbeya Mjini.
 
Dr. Tulia Ackson Ni vyema ukajifunza unapozungumza na Wananchi na ukatambua nafasi ya kazi unayotuomba tukupatie Wana Mbeya.

Kazi ya Mbunge siyo kwenda kuomba fedha kwa Rais, fedha za nchi ni zetu. Kazi ya Mbunge Ni kwenda kusimamia utungwaji wa sheria, usimamizi wa rasilimali zetu zikiwemo fedha pamoja na kushawishi matatizo yetu yapatiwe sluhu.

Ni kosa kubwa sana kwenda kumsikiliza Rais anataka Nini, siku ukienda kinyume naye utasimamiaje haki zetu?

Mbunge apaswi kusimama kwa kumtegemea mtu flani, Mbunge anapaswa kujisimamia. Kwa namna usivyoweza kutofautisha kuwakilisha wananchi na kujinyenyekeza kwa wakubwa wewe siyo mtu sahihi kwetu.

Matatizo ya wananchi yanatatuliwa kwa Kodi zao siyo hisani ya kiongozi, umetukosea sana. Lakini pia kushindwa kujua matatizo yetu kwa miaka mitano kunatosha kusema utofaa kutuongoza.

Kutuletee mchele, cement, arambee, jezi, na fedha kwa wajumbe wakati wa kuelekea uchaguzi ilikuwa Ni rushwa, mbona ukuyafany haya maisha yako yote ukiwa UDSm na hata ukiwa mtumishi wa Umma? Wewe mbeya umeijuia baada ya Ubunge before hata likizo ulikua ukanyagi huku, leo unatulazimisha tumchague mtu aliyekaribu na Rais, je asipotaka kukusikiloza utafanyaje?
Tulia kwa uchaguzi huu katumia nguvu nyingi,pesa nyingi ,ila nilisema mapema hum hata kabla ya kuchukua form ,tulia hawezi shinda mbeya labda kwa njia zingine ila kwa Kura za wananchi hawezi,
 
Ndio hapo sasa mtu mwenyewe mweusi kama mkaa

Ina maana kwa hotuba ya jana hatateuliwa wala hatasikilizwa? ukweli Tulia hahupaswa kuomba kura kishamba namna hiyo tena kwa watu wa jimbo la mjini MBEYA ambao tunaamini wengi ni wasomi ambao somo la uraia wanalijua vyema sio kama wapiga kura wa ulenje au mwakaleli ambao labda ndio wanahitaji approach za hivyo
 
Tulia kwa uchaguzi huu katumia nguvu nyingi,pesa nyingi ,ila nilisema mapema hum hata kabla ya kuchukua form ,tulia hawezi shinda mbeya labda kwa njia zingine ila kwa Kura za wananchi hawezi,

Ukweli huu ulioutoa kwa huyo binti Tulia ndio ukweli kwa wagombea wengi wa CCM wasiokubalika lakini wameingizwa kwa kutumia nguvu kubwa wakiamini kuwa liwake jua au mvua inyeshe wao watabebwa kwa namna yoyote ile na wataingia Bungeni

Sasa matokeo ya hawa wagombea waliohakikishiwa kitonga hiyo ndio wanakuja kwa wanainchi wakiwa hawajajipanga watumie njia zipi kuomba na kushawishi wapiga kura bali wanakuja na vitisho vile vile kwamba wasipochaguliwa hawatapelekewa maendeleo,

Naamini tukifuatilia kauli za waheshimiwa walioteuliwa kugombea ndani ya CCM kwa mtindo waliotumia kama wa kumteua Tulia basi lazima utakutana na kauli za vitisho vitisho nyingi tu
 
Tulia mbunge wetu
 

Attachments

  • IMG-20201009-WA0003.jpg
    IMG-20201009-WA0003.jpg
    39.5 KB · Views: 2
  • IMG-20201009-WA0003.jpg
    IMG-20201009-WA0003.jpg
    39.5 KB · Views: 2
Accounting officer wa hela za tanzania ni nani? Kwa kukusaidia ni Rais
Siyo zake, ni za wananchi ambao ndiyo chanzo cha mamlaka. Na matumizi yanapaswa kutokana na maelekezo ya Bunge, siyo rais na mpwa wake
 
Dr. Tulia Ackson Ni vyema ukajifunza unapozungumza na Wananchi na ukatambua nafasi ya kazi unayotuomba tukupatie Wana Mbeya.

Kazi ya Mbunge siyo kwenda kuomba fedha kwa Rais, fedha za nchi ni zetu. Kazi ya Mbunge Ni kwenda kusimamia utungwaji wa sheria, usimamizi wa rasilimali zetu zikiwemo fedha pamoja na kushawishi matatizo yetu yapatiwe sluhu.

Ni kosa kubwa sana kwenda kumsikiliza Rais anataka Nini, siku ukienda kinyume naye utasimamiaje haki zetu?

Mbunge apaswi kusimama kwa kumtegemea mtu flani, Mbunge anapaswa kujisimamia. Kwa namna usivyoweza kutofautisha kuwakilisha wananchi na kujinyenyekeza kwa wakubwa wewe siyo mtu sahihi kwetu.

Matatizo ya wananchi yanatatuliwa kwa Kodi zao siyo hisani ya kiongozi, umetukosea sana. Lakini pia kushindwa kujua matatizo yetu kwa miaka mitano kunatosha kusema utofaa kutuongoza.

Kutuletee mchele, cement, arambee, jezi, na fedha kwa wajumbe wakati wa kuelekea uchaguzi ilikuwa Ni rushwa, mbona ukuyafany haya maisha yako yote ukiwa UDSm na hata ukiwa mtumishi wa Umma? Wewe mbeya umeijuia baada ya Ubunge before hata likizo ulikua ukanyagi huku, leo unatulazimisha tumchague mtu aliyekaribu na Rais, je asipotaka kukusikiloza utafanyaje?
FINISH HER

F A T A L I T Y
 
Dr. Tulia Ackson Ni vyema ukajifunza unapozungumza na Wananchi na ukatambua nafasi ya kazi unayotuomba tukupatie Wana Mbeya.

Kazi ya Mbunge siyo kwenda kuomba fedha kwa Rais, fedha za nchi ni zetu. Kazi ya Mbunge Ni kwenda kusimamia utungwaji wa sheria, usimamizi wa rasilimali zetu zikiwemo fedha pamoja na kushawishi matatizo yetu yapatiwe sluhu.

Ni kosa kubwa sana kwenda kumsikiliza Rais anataka Nini, siku ukienda kinyume naye utasimamiaje haki zetu?

Mbunge apaswi kusimama kwa kumtegemea mtu flani, Mbunge anapaswa kujisimamia. Kwa namna usivyoweza kutofautisha kuwakilisha wananchi na kujinyenyekeza kwa wakubwa wewe siyo mtu sahihi kwetu.

Matatizo ya wananchi yanatatuliwa kwa Kodi zao siyo hisani ya kiongozi, umetukosea sana. Lakini pia kushindwa kujua matatizo yetu kwa miaka mitano kunatosha kusema utofaa kutuongoza.

Kutuletee mchele, cement, arambee, jezi, na fedha kwa wajumbe wakati wa kuelekea uchaguzi ilikuwa Ni rushwa, mbona ukuyafany haya maisha yako yote ukiwa UDSm na hata ukiwa mtumishi wa Umma? Wewe mbeya umeijuia baada ya Ubunge before hata likizo ulikua ukanyagi huku, leo unatulazimisha tumchague mtu aliyekaribu na Rais, je asipotaka kukusikiloza utafanyaje?
Hicho kibibi betina usikute hata hiyo phd alihongwa
 
Back
Top Bottom