share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
Nyau we. Hujui usemalo.Accounting officer wa hela za tanzania ni nani? Kwa kukusaidia ni Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyau we. Hujui usemalo.Accounting officer wa hela za tanzania ni nani? Kwa kukusaidia ni Rais
kwaiyo tulia atulie kwanza etiHuu udaktari wake ni wa aina gani?? Ni Kama ule Uprof wa Maji Marefu??
Kimsingi ametudhihaki Wana Mbeya. Anadhani Hadi leo hatujui majukumu ya Mbunge. Kwa mfano tukampa Kura akashinda Ubunge halafu JPM akakosa Urais, Rais akawa TL je atajiudhuru ubunge???
Hoja za kipumbavu km hizi hazipaswi kutumiwa na mtu wa hadhi yake. Uchu wa Madaraka unamfanya ajifedheheshe. Kwa hoja hii hapaswi kabisa kupewa hata Kura moja Mana inaonesha wazi Hadi sasa hajafahamu majukumu ya kazi anayoiomba. Ni Aibu Sana kwa mtu mzima kutoa hoja za kitoto km hizi.
HeheheTena hata msambwanda hana! Atamzingua vipi jiwe?!
Okay basi sawa.....lakini msambwanda anao?Accounting officer wa hela za tanzania ni nani? Kwa kukusaidia ni Rais
Mwenyekiti kasema nimewaletea mwanamama,anaomba wana wa Mbeya wampelekee Bungeni!Baada ya kujimilikisha Serikali na Mahakama,sasa hivi juhudi kubwa inafanyika kumiliki Bunge rasmi kwa kuwapeleka watu wake majimboni ili Lengo kuu litimie.Ndo maana tunaona hizi degree ni feki ,mwingine hajui hata english ,huyu ni naibu spika na hajui kazi ya mbunge ,halafu ni DR.
CCM kuna vilaza wengi
Tulia kwa uchaguzi huu katumia nguvu nyingi,pesa nyingi ,ila nilisema mapema hum hata kabla ya kuchukua form ,tulia hawezi shinda mbeya labda kwa njia zingine ila kwa Kura za wananchi hawezi,Dr. Tulia Ackson Ni vyema ukajifunza unapozungumza na Wananchi na ukatambua nafasi ya kazi unayotuomba tukupatie Wana Mbeya.
Kazi ya Mbunge siyo kwenda kuomba fedha kwa Rais, fedha za nchi ni zetu. Kazi ya Mbunge Ni kwenda kusimamia utungwaji wa sheria, usimamizi wa rasilimali zetu zikiwemo fedha pamoja na kushawishi matatizo yetu yapatiwe sluhu.
Ni kosa kubwa sana kwenda kumsikiliza Rais anataka Nini, siku ukienda kinyume naye utasimamiaje haki zetu?
Mbunge apaswi kusimama kwa kumtegemea mtu flani, Mbunge anapaswa kujisimamia. Kwa namna usivyoweza kutofautisha kuwakilisha wananchi na kujinyenyekeza kwa wakubwa wewe siyo mtu sahihi kwetu.
Matatizo ya wananchi yanatatuliwa kwa Kodi zao siyo hisani ya kiongozi, umetukosea sana. Lakini pia kushindwa kujua matatizo yetu kwa miaka mitano kunatosha kusema utofaa kutuongoza.
Kutuletee mchele, cement, arambee, jezi, na fedha kwa wajumbe wakati wa kuelekea uchaguzi ilikuwa Ni rushwa, mbona ukuyafany haya maisha yako yote ukiwa UDSm na hata ukiwa mtumishi wa Umma? Wewe mbeya umeijuia baada ya Ubunge before hata likizo ulikua ukanyagi huku, leo unatulazimisha tumchague mtu aliyekaribu na Rais, je asipotaka kukusikiloza utafanyaje?
Ndio hapo sasa mtu mwenyewe mweusi kama mkaa
Tulia kwa uchaguzi huu katumia nguvu nyingi,pesa nyingi ,ila nilisema mapema hum hata kabla ya kuchukua form ,tulia hawezi shinda mbeya labda kwa njia zingine ila kwa Kura za wananchi hawezi,
Siyo zake, ni za wananchi ambao ndiyo chanzo cha mamlaka. Na matumizi yanapaswa kutokana na maelekezo ya Bunge, siyo rais na mpwa wakeAccounting officer wa hela za tanzania ni nani? Kwa kukusaidia ni Rais
Rangi ya joketi hana, wala wowowo hana!Mwambieni Rais hapendi kuonana na wanawke weusi
Tena atulie tuli anyolewe na Mh. SUGUkwaiyo tulia atulie kwanza eti
FINISH HERDr. Tulia Ackson Ni vyema ukajifunza unapozungumza na Wananchi na ukatambua nafasi ya kazi unayotuomba tukupatie Wana Mbeya.
Kazi ya Mbunge siyo kwenda kuomba fedha kwa Rais, fedha za nchi ni zetu. Kazi ya Mbunge Ni kwenda kusimamia utungwaji wa sheria, usimamizi wa rasilimali zetu zikiwemo fedha pamoja na kushawishi matatizo yetu yapatiwe sluhu.
Ni kosa kubwa sana kwenda kumsikiliza Rais anataka Nini, siku ukienda kinyume naye utasimamiaje haki zetu?
Mbunge apaswi kusimama kwa kumtegemea mtu flani, Mbunge anapaswa kujisimamia. Kwa namna usivyoweza kutofautisha kuwakilisha wananchi na kujinyenyekeza kwa wakubwa wewe siyo mtu sahihi kwetu.
Matatizo ya wananchi yanatatuliwa kwa Kodi zao siyo hisani ya kiongozi, umetukosea sana. Lakini pia kushindwa kujua matatizo yetu kwa miaka mitano kunatosha kusema utofaa kutuongoza.
Kutuletee mchele, cement, arambee, jezi, na fedha kwa wajumbe wakati wa kuelekea uchaguzi ilikuwa Ni rushwa, mbona ukuyafany haya maisha yako yote ukiwa UDSm na hata ukiwa mtumishi wa Umma? Wewe mbeya umeijuia baada ya Ubunge before hata likizo ulikua ukanyagi huku, leo unatulazimisha tumchague mtu aliyekaribu na Rais, je asipotaka kukusikiloza utafanyaje?
Non sense.Accounting officer wa hela za tanzania ni nani? Kwa kukusaidia ni Rais
Hicho kibibi betina usikute hata hiyo phd alihongwaDr. Tulia Ackson Ni vyema ukajifunza unapozungumza na Wananchi na ukatambua nafasi ya kazi unayotuomba tukupatie Wana Mbeya.
Kazi ya Mbunge siyo kwenda kuomba fedha kwa Rais, fedha za nchi ni zetu. Kazi ya Mbunge Ni kwenda kusimamia utungwaji wa sheria, usimamizi wa rasilimali zetu zikiwemo fedha pamoja na kushawishi matatizo yetu yapatiwe sluhu.
Ni kosa kubwa sana kwenda kumsikiliza Rais anataka Nini, siku ukienda kinyume naye utasimamiaje haki zetu?
Mbunge apaswi kusimama kwa kumtegemea mtu flani, Mbunge anapaswa kujisimamia. Kwa namna usivyoweza kutofautisha kuwakilisha wananchi na kujinyenyekeza kwa wakubwa wewe siyo mtu sahihi kwetu.
Matatizo ya wananchi yanatatuliwa kwa Kodi zao siyo hisani ya kiongozi, umetukosea sana. Lakini pia kushindwa kujua matatizo yetu kwa miaka mitano kunatosha kusema utofaa kutuongoza.
Kutuletee mchele, cement, arambee, jezi, na fedha kwa wajumbe wakati wa kuelekea uchaguzi ilikuwa Ni rushwa, mbona ukuyafany haya maisha yako yote ukiwa UDSm na hata ukiwa mtumishi wa Umma? Wewe mbeya umeijuia baada ya Ubunge before hata likizo ulikua ukanyagi huku, leo unatulazimisha tumchague mtu aliyekaribu na Rais, je asipotaka kukusikiloza utafanyaje?
Yaaani li tulia linaongea ujinga utafikiri amekatwa kichwaNdo mgombea pekee anayeongea kama vile anasutana kijiwe cha wasusi
Na hao weusi tiiiiii ndio ambao magufuli hawapendi, sasa sijui itakuwajeNdio hapo sasa mtu mwenyewe mweusi kama mkaa