Tulia Ackson: Wanaotaka Kugombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Wapime Kina Cha Maji

Tulia Ackson: Wanaotaka Kugombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Wapime Kina Cha Maji

Sugu anawadanganya wavuta bangi wenzake, anawaaminisha hewa
Kumshinda sugu kwa kura halali imeshashindikina. Ukiona matumizi makubwa ya vyombo vya dola ujue ushindi halali hauwezekani.
 
Tulia Trust Foundation inayomilikiwa na Tulia Akson ilifanya kazi kubwa sana kumuandalia mazingira ya ushindi spika wa bunge, kina mama walipata mikopo ya bila riba, vijana wa Mbeya walipewa bajaj na bodaboda za mikopo nafuu za kutosha

Tulia hakubebwa alijijenga vizuri mpaka leo Mbeya inamuimba vzr Tulia nenda kajionee
Ilimuandalia wapi?ninacho jua tulia alibebwa wazi wazi na hewezi shindwa tena Kwa uchaguzi huru na haki hapo ni mbeya nimezaliwa mbeya napajua palivyo siku zote ccm haijawahi pendwa
Rushwa ili mbeba kesho yake majuto kesho yake kiza
 
Eti utafananisha na huyu anayelingushia miwani na suti mitandaoni. Waliokuwa wabunge wa chadema wanachosahau ni kuwa ccm ikiwa moja hakuna anayetoboa.

Wengi ukiangalia ushindi wao ulitokana na ccm kugawanyika kwenye kura za maoni. Miaka ile wengi walipita kwa rushwa. Watu wakachukia kwa watu muhimu kukatwa.

Wakapigia kura upinzani. Ndio siri ya ushindi upinzani. Sasa wao upinzani wanahisi walipita kwa sababu ya wafuasi wao ama wanapendwa sana.

Ndio maana Sugu anaongea kwa kutamba akidhani alipigiwa kura za haki kumbe ni kura za hasira kutoka ccm wenyewe.

Ye aombee tu ccm wagawanyike, ushindi wake utakuwa saa tatu asubuhi. Ila ccm ikiwa moja atandelea tu kuonyesha miwani na suti huku akizidi kuzeeka kwenye bustani za desderia hotel
Tulia mgawa rushwa hapo mbeya
Ccm wote wagawa rushwa ndio maana Hadi Leo tunapoteza ubora kutokana na wagawa rushwa
 
Acheni maneno. Pelekeni bange za sugu huko akawasambaratishe. Siasa siyo mibange
 
Mbunge wa Mbeya mjini kupitia CCM, Dkt. Tulia Ackson amesema lengo la kugawanya jimbo la Mbeya mjini ni kusogeza huduma kwa wananchi na mchakato huo sio wa Mbeya pekee. Dkt Tulia aliongea hayo wakati akihojiwa na kituo cha redio cha wasafi leo asubuhi.

Tulia amesema ubunge wake yeye haijalishi kama jimbo litagawanywa ama halitagawanywa, amedai kama alimtoa mtu(Sugu) kata zikiwa 36 ataweza kumtoa kata zikiwa chache? Alihoji mbunge Tulia.

Tulia amesema anaona akijadiliwa na wao inawapa sifa na katika mambo ambayo amasema huwa anayafurahia ni kujadiliwa hivyo ameupenda mjadala unaoendelea.

Tulia amesema wanaosema watamfuata amefurahi, anataka wajipime na kama wanaona kina cha maji kinawatosha wamfate.

Tulia amesema hata zikibaki kata 36 anawafyeka

Tulia hakushinda 2020 , alipewa tu
 
Naunga mkono hoja , Tulia namkubali Sana huyo mother , ni ujinga wa Hali ya juu kukitoa kichwa kama Tulia alaf uingize mvaa mitepesho na mvuta bangi ,
😂😂 Mvaa mitepesho na mvuta bangi
 
Tulia Trust Foundation inayomilikiwa na Tulia Akson ilifanya kazi kubwa sana kumuandalia mazingira ya ushindi spika wa bunge, kina mama walipata mikopo ya bila riba, vijana wa Mbeya walipewa bajaj na bodaboda za mikopo nafuu za kutosha

Tulia hakubebwa alijijenga vizuri mpaka leo Mbeya inamuimba vzr Tulia nenda kajionee
[emoji2956][emoji2956]
 
Tulia Trust imeharibu mazingira ya Mbeya. Hivi ni sahihi kweli Jiji la Mbeya kuwa na utitiri wa Bajaj kiasi kile. Inakadiriwa kuwa Mbeya Jiji kuna Bajaj takriban 10,000. Anayekopesha bajaja hizo ni ni Tulia kupitia Tulia Trust. Na hizo pesa alipewa na Magufuli.

Na ndiyo zina operate kama daladala. This is Bulshit

Zingekua hazihitajiki zingeshapata kutu kwa kutokutumika mpaka sasa!

Kasumba ya kushabikia “mtu” badala ya kutoa msukumo wa kupata maendeleo imekwamisha mengi sana nchini!

Kwamba hizo Bajaj zingetolewa na mwingine zisingechafua mazingira?

Maumivu zaidi ni kwamba bado karibu miaka 2 mbele kabla ya uchaguzi mkuu lakini tayari wananchi mshaanza kuimba nyimbo za kura, kula na kuliwa?!

Mkijashtuka tayari 2026 and the cycle continues!!
 
Nchi ina utoto mwingi sasa, Wananchi wanapaswa kuamka sasa na kuidai nchi yao na mamlaka ya uamuzi ibaki kwao.

Wanasiasa tunawatukuza saana na kuwafanya wafalme ilihali wao ni watumishi wetu na wanapaswa kuwajibika kwetu.

Tumewapa mamlaka wanasiasa na wote kugeuka kuwa machawa wao na kuleta ushabiki kama wa Simba na Yanga.

Wananchi wanapaswa kuchagua kwa kupima na sio ushabiki kama wa simba na yanga.


Wananchi wako busy wanachambua soka kwanza.

Wanasiasa wetu wanazaliwa na kukulia ndani ya jamii zetu sisi wananchi!
Tabia zao na matendo yao ni matokeo ya jamii zetu sisi pamoja na wao.

Ni kweli mganga hajigangi ila yawezekana mchawi kujiroga.
 
Hata yeye mwenyewe Tulia Ackson anajuwa kuwa alitoa Tsh 100,000 kwa wajumbe wote 800 wa Mkutano wa Jimbo la Mbeya Mjini ambao ndiyo waliompitisha kugombea kwa Tiketi ya CCM.

Pamoja na kuwekewa kinda na hawara yake Magufuli bado alitumia kama Tsh 100 Milioni kupita kura za maoni za CCM

Kuhusu kwenda Mahakamani jibu ni kwamba kipindi cha Magufuli ilikuwa ni vigumu kwa vile Majaji na Mahakimu kwa kesi kama hiyo ingekuwa ni vigumu kushinda. Mahakama zilikuwa zinatishiwa na kufuata maelekezo ya mwendazake.

Kwenye ushindani wa haki Tulia hawezi kushinda Mbeya, anasema tu kufurahisha wasikilizaji
Kuhusu Magufuli unamsingizia tu Magufuli wa watu. Kama kikwazo kilikuwa Magufuli Magufuli kafariki lini na wapinzani wamefanya nini kupinga uchaguzi tangu Magufuli afariki

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Sugu anawadanganya wavuta bangi wenzake, anawaaminisha hewa
Wewe utakuwa na matatizo ya akili. Mtu mwenye akili timamu hawezi kupwayula namna hiyo. Huwa anatoa hoja.

Uwezekano mkubwa wewe ni mvuta bangi ndiyo maana unaamini kuwa karibia kila mtu anavuta bangi.
 
Ngoja tuone 2025 atakavyo dondoka mpaka achanganyikiwe nayale mawani atayavaa kwenye nyonyo badala ya machoni
 
Kitendo cha kukabodhi hatma ya nchi kwa wabunge ndio makosa watz tunafanya. Wanasiasa ni watu wenye roho mbaya sana. Muda huangalia wao watanufaika nini. Na si maslahi ya nchi.
Badala kupunguza majimbo wao wanaongeza ili waendelee kuwepo tu

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Wewe utakuwa na matatizo ya akili. Mtu mwenye akili timamu hawezi kupwayula namna hiyo. Huwa anatoa hoja.

Uwezekano mkubwa wewe ni mvuta bangi ndiyo maana unaamini kuwa karibia kila mtu anavuta bangi.
Kwani sugu havuti bangi we chawa
 
Kuhusu Magufuli unamsingizia tu Magufuli wa watu. Kama kikwazo kilikuwa Magufuli Magufuli kafariki lini na wapinzani wamefanya nini kupinga uchaguzi tangu Magufuli afariki

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Kama ungekuwa na akili hata za kuvukia barabara tu usingeandika utumbo huo. Kuna ukomo wa kupeleka mashauri ya judicial review mahakamani.
 
Zingekua hazihitajiki zingeshapata kutu kwa kutokutumika mpaka sasa!

Kasumba ya kushabikia “mtu” badala ya kutoa msukumo wa kupata maendeleo imekwamisha mengi sana nchini!

Kwamba hizo Bajaj zingetolewa na mwingine zisingechafua mazingira?

Maumivu zaidi ni kwamba bado karibu miaka 2 mbele kabla ya uchaguzi mkuu lakini tayari wananchi mshaanza kuimba nyimbo za kura, kula na kuliwa?!

Mkijashtuka tayari 2026 and the cycle continues!!
Hivi umefika Mbeya ukaona ninachoandika kuhusu Bahaj? Tunahitaji Bajaj lakini Mbeya ni too much.

Nashukuru alipokuja RC mpya Homera amesitisha usajili wa Bajaj mko wa Mbeya
 
Matunda ya Maridhiano yameanza kuonekana.

Sugu na Tulia wameshasaini MoU kilichobaki ni heka heka za kunogesha siasa tu
Hawa Watoto hawajuhi hilo. Hapo tayari inajulikana nani aende wapi
 
Back
Top Bottom