Tulia Ackson: Wanaotaka Kugombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Wapime Kina Cha Maji

Tu hakikishe Msigwa, SUGU, LEMA ,LISU wanarudi bungeni kwa manufaa ya umma.
 
Eti wapime kima cha maji mwee! Hivi wee daa Tuu A. Mwansasu police wakikaa zao kambini na kuruhusu wanasiasa washindane kisiasa huku wakurugenzi wakiondoshwa kabisa katika usimamizi kwa kuwa ni makada wa CCM, unaweza kumshinda kaka mkubwa Sugu? Muogope Mungu japokuwa najua wanasiasa na hofu ya Mungu siyo kivile.
 
Unakariri, uliyoandika yalishasemwa miaka 20 iliyopita
 
Na wewe kama unaakili ungepata namna ya kupambania haki unazodhani inanyanyanywa

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Unaposema kuwa sasa Magufuli amekufa kwa nini musipeleke mashataka mahakamani, lazima utambue kuwa tayari hayo ni mapungufu makubwa. Kama watu wanashauriwa waende Mahakama baada ya Dikteta kufariki.

Hapo ndipo umuhimu wa kuwa na Katiba nzuri ambayo watu wote kwenye sheria wanakuwa sawa inapopata uzito
 
Kwahiyo ni mtazamo wa kugombania kuwa fulani siyo kuwatumikia watu, after all ni huduma gani mbunge anasogeza kwa wananchi kama siyo kutaka kula kodi zao
 
Mheshimiwa Pohamba unasema kwamba sugu na Tulia wameridhia kugawana majimbo lakini kinachoendelea sasa ni maigizo ya kupoteza maboya?
 
Naunga mkono hoja , Tulia namkubali Sana huyo mother , ni ujinga wa Hali ya juu kukitoa kichwa kama Tulia alaf uingize mvaa mitepesho na mvuta bangi ,
Tangu Tulia amekuwa spika amefanya jambo gani bungeni kama spika?
 
Kuruka ruka kwa maharage ndo kuiva kwake, hapo Betina anarukaruka tu kwanza, subiri moto ukolee
 
Unasogezaje huduma kwa wananchi kwa kuongeza walaji wa kodi
za wananchi?
 
Tulia nakuhakikishia hufiki mbali na hali ya Mbeya ilivyo kwa sasa na ulivyoharibu!
katafute kazi nyingine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…