Tulia Ackson wewe ni kiongozi mkubwa sana wa Dunia punguza kuposti picha zako Facebook

Tulia Ackson wewe ni kiongozi mkubwa sana wa Dunia punguza kuposti picha zako Facebook

Hakuna tatizo lolote, anapost picha za kawaida tu na bado ni kijana...acha wivu...
 
Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.

Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.

Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.

NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kwamba MO Dewji hujawahi kumuona akijipost
 
Wao wanasema hakuna mwaisa mshamba lkn huyu ni mshamba kama msukuma wa igwamanoni
Ilikuwa lazima utumie mfano wa Msukuma mkuu? Sijapendezwa kabisa! πŸ˜‚

20240917_130113.jpg
 
Haya mambo yana umri mjomba, mambo ya teknolojia kwa hawa wazee ni changamoto, wengi hawajui watumie vipi
 
Aweke hata za bila nguo maana tabia ya Mtu haijifichi huwa inajionyesha kwa matendo ya Mtu husika.
 
Kwani shida iko wapi akipost. Rais wa dunia muda mwingi anakuwa mtandaoni mbona hamumpi hayo majukumu mengine aondoke mtandaoni?

Hata account nyingi za Waheshimiwa zinaendeshwa na vijana wao au watu wanaombatana nao muda wote wawapo kwenye shughuli mbalimbali
 
Kwani shida iko wapi akipost. Rais wa dunia muda mwingi anakuwa mtandaoni mbona hamumpi hayo majukumu mengine aondoke mtandaoni?

Hata account nyingi za Waheshimiwa zinaendeshwa na vijana wao au watu wanaombatana nao muda wote wawapo kwenye shughuli mbalimbali
Unamfanimisha trumpo na Tulia, upo serious?
 
Kwa kuangalia hiki anachokifanya Huyo spika wenu kinatoa picha kuubwa ya alivyo ndani Na nje. Ni kiashiria tosha cha kizazi hiki Na kiasi kikubwa hawajielewi katika nafasi zao, kiufupi wengi wao Ni malimbukeni Na hawajitambui haijalishi kasoma vitabu vingapi, Shahada Na madarasa. Kizazi hiki si Kwa walio viongozi tu hata Kwa wasio viongozi suala la maadili Na miiko kwao Ni Sawa Na kumpigia mbuzi wimbo wa kidalipo
 
Back
Top Bottom