Tulia Ackson wewe ni kiongozi mkubwa sana wa Dunia punguza kuposti picha zako Facebook

Tulia Ackson wewe ni kiongozi mkubwa sana wa Dunia punguza kuposti picha zako Facebook

Japo simpendi.
ILA HAYO NI MAISHA BINAFSI YA mtu
Kama Ni Maisha binafsi kwanini ayalete public? Namaanisha hadharani. Na kiongozi Hana binafsi, Kwa lolote yeye analolifanya anawajibika Moja Kwa Moja Kwa jamii yote Sasa kama anaona bado anataka Aishi kibinafsi anapaswa achague kuwa kiongozi ili afate miiiko yake ama abaki mtu wa kawaida Na Maisha yake ili aendelee kufanya binafsi hata siku akiamua kulewa Hadi kunya Barabarani hayupo wa Kuja kuhoji
 
Umeona nini kizuri? nasi tunaomba tuonyeshwe jamani kwa hisani ya jamiiforums.
 
Back
Top Bottom