Achana na takataka hiliHii nchi ni ngumu sana. Kwamba kumbe:
"Hata wewe au miye tukiteuliwa kuwa pale bandarini tutakwiba tu na kuwa tatizo ni wenye midomo yao?"
View attachment 2725759
Mheshimiwa Supika atakuwa anawalenga nani haswa anaowaita kuwa ni wenye midomo.kumfanya kuchafukwa kiasi hiki, pasi na kuwataja majina yao?
Kulikoni hata asiwataje majina msomi nguli huyu mwenye kujinasibu vilivyo kwa u nguli wake dhidi ya wengi wengine?
Au wenye midomo hao ni manguli kama yeye au hata zaidi yake, maana kama ilivyo kwa sumaku:
"Like poles repel?"
Kinachofanyika ni uhuni tu ili waalalishe wanachotaka, kwani mizigo mingine ishushwa Tanga na Mtwara hiyo foleni ya meli itakuwepo Dar? Hivi kweli Miaka 60 hawajawahi kuwa na uwezo wa kujenga bandari 2?Wawatoe wezi/watatue hizo changamoto zinachelewesha mizigo bila shaka mapato yataongezeka. Wezi/changamoto zisiwe nafsi kwao kutekeleza mkataba ambao uma wa Watnzania hawautaki.
Ana Akili kubwa sana ndio maana akaweza kuwa mhadhiri pale chuo kikuu !!Akili yake iko chini sana.
Na waliokalia nafasi kubwa kwa bahati kama yeye ndio hao hao wenye maamuzi kuhusu hatma ya taifa letu...masikini Tanzania. CRY MY BELOVED COUNTRY!Uyu sijui anajionaje ,ogopa sana mtu kalia nafasi kubwa kwa bahati tu, uyu ni spika wa ajabu sana
Akili ya darasani na nje ya darasa vitu viwili tofauti, sasa spika mzima ndio wakusema watu wana mdomo, sio adhi yake, maneno hayo tumezoea uswahilini.Ana Akili kubwa sana ndio maana akaweza kuwa mhadhiri pale chuo kikuu !!
Ila ataonekana Akili zipo chini kwa wale ambao amegusa maslahi yao kwa namna moja au nyingine !!
Na hivyo ndivyo ilivyo kwa Ground siku zote !!! 🙏🙏🙏
Ndo hivyo, ndo maana yafanyika ya hovyoNa waliokalia nafasi kubwa kwa bahati kama yeye ndio hao hao wenye maamuzi kuhusu hatma ya taifa letu...masikini Tanzania. CRY MY BELOVED COUNTRY!
Mara ngapi Bunge linatoa maazimio kwa serikali kuwawajibisha watendaji wabadhirifu na serikali haichukui hatua stahiki?Spika anakiri hadharani kuwa Bunge limeshindwa kuisimamia serikali
Kwamba Spika wa Bunge, ambalo moja ya majukumu yake ni kuisimamia Serikali, kwa niaba ya Wananchi, anakiri kuwa Serikali imeshindwa kudhibiti wizi bandarini, hivyo basi tuwape DP World kuendesha?Hii nchi ni ngumu sana. Kwamba kumbe:
"Hata wewe au miye tukiteuliwa kuwa pale bandarini tutakwiba tu na kuwa tatizo ni wenye midomo yao?"
View attachment 2725759
Mheshimiwa Supika atakuwa anawalenga nani haswa anaowaita kuwa ni wenye midomo.kumfanya kuchafukwa kiasi hiki, pasi na kuwataja majina yao?
Kulikoni hata asiwataje majina msomi nguli huyu mwenye kujinasibu vilivyo kwa u nguli wake dhidi ya wengi wengine?
Au wenye midomo hao ni manguli kama yeye au hata zaidi yake, maana kama ilivyo kwa sumaku:
"Like poles repel?"
Mkuu, kwa hiyo wanatumia ile theory ya kwamba ukiwashindwa jiunge nao?🤣Mara ngapi Bunge linatoa maazimio kwa serikali kuwawajibisha watendaji wabadhirifu na serikali haichukui hatua stahiki?
If only idiocy was painful, people like the Speaker would be in ICU writhing in uncontrollable pain!Je, kama Serikali inashindwa kudhibiti TPA, taasisi yake, kuendesha kwa ufanisi bandari, itaweza kuidhibiti DP World? Hoja ya kijinga.
Aombe DP world iendeshe bunge pia.
Usimchukie bana,mpende tuHuyu ajuza simpendi Mungu anisamehe
Binafsi nimetafsiri maneno yake kama matusi kwa watanzania..!! Amesema wengine wanauliza kwani hao wezi wamewekwa na nani, anasema wezi waliowekwa ni kama wewe tu, hata wewe ungewekwa ungekuwa hivyohivyo..!!! Hii maana yake watanzania wote ni wezi akiwemo yeye, hakuna anayeweza kuteuliwa kuendesha bandari halafu asiibe..!! Maana yake hata yeye Tulia akiteuliwa yatakuwa yale yale yale tu. Kwa maneno yale, hata akina FaizaFoxy , Pascal Mayalla, Lord denning, Lucas mwashambwa, hydroxo, ChawaWaMama, Covax, passion_Amo, makwega7, butron, Alishani, Andrue, Mpangawangu, Sir John Roberts, et el nao wakiteuliwa wataiba tu..!! Hii maana yake, hata wale wanaounga mkono mkataba wa DPW nao ni wezi tu..!! Kwahiyo, kuna watanzania wanashangilia na kuwasema TEC kwa kuupinga mkataba wa DPW, lakini wanasahau kuwa Tulia kasema wao ni wezi, maana hata wakiteuliwa wataiba tu..!!Hii nchi ni ngumu sana. Kwamba kumbe:
"Hata wewe au miye tukiteuliwa kuwa pale bandarini tutakwiba tu na kuwa tatizo ni wenye midomo yao?"
View attachment 2725759
Mheshimiwa Supika atakuwa anawalenga nani haswa anaowaita kuwa ni wenye midomo.kumfanya kuchafukwa kiasi hiki, pasi na kuwataja majina yao?
Kulikoni hata asiwataje majina msomi nguli huyu mwenye kujinasibu vilivyo kwa u nguli wake dhidi ya wengi wengine?
Au wenye midomo hao ni manguli kama yeye au hata zaidi yake, maana kama ilivyo kwa sumaku:
"Like poles repel?"
Kwa hiyo ana maanisha na yeye ni mwizi , maana yupo paleHii nchi ni ngumu sana. Kwamba kumbe:
"Hata wewe au miye tukiteuliwa kuwa pale bandarini tutakwiba tu na kuwa tatizo ni wenye midomo yao?"
View attachment 2725759
Mheshimiwa Supika atakuwa anawalenga nani haswa anaowaita kuwa ni wenye midomo.kumfanya kuchafukwa kiasi hiki, pasi na kuwataja majina yao?
Kulikoni hata asiwataje majina msomi nguli huyu mwenye kujinasibu vilivyo kwa u nguli wake dhidi ya wengi wengine?
Au wenye midomo hao ni manguli kama yeye au hata zaidi yake, maana kama ilivyo kwa sumaku:
"Like poles repel?"