Tulia na mambo ya Bandari

Tulia na mambo ya Bandari

Hawa watu sijui wanatumia akili za wapi, kwani meli zingine zikishusha Tanga, nyingine Mtwara na nyingine Dar hiyo foleni ya meli itakuwepo Dar?. Hapo wanasema dpw atawaajiri hao wafanyakazi waliopo sasa je ni mwekezaji gani anapenda kuajiri wezi?
Labda watawekwa mbali na maeneo ya pesa ! 😅🙏🙏
 
That Mheshimiwa is completely finished. Never, never she will not come back to the next Parliament 2025. Believe me and time will tell.
She will very much come back again to the next Parliament 2025. Mark my words !! 🙏🙏
 
Hii nchi ni ngumu sana. Kwamba kumbe:

"Hata wewe au miye tukiteuliwa kuwa pale bandarini tutakwiba tu na kuwa tatizo ni wenye midomo yao?"

View attachment 2725759

Mheshimiwa Supika atakuwa anawalenga nani haswa anaowaita kuwa ni wenye midomo.kumfanya kuchafukwa kiasi hiki, pasi na kuwataja majina yao?

Kulikoni hata asiwataje majina msomi nguli huyu mwenye kujinasibu vilivyo kwa u nguli wake dhidi ya wengi wengine?

Au wenye midomo hao ni manguli kama yeye au hata zaidi yake, maana kama ilivyo kwa sumaku:

"Like poles repel?"
Kumbe huyu ni mpuuzi kiasi hiki
 
Hii nchi ni ngumu sana. Kwamba kumbe:

"Hata wewe au miye tukiteuliwa kuwa pale bandarini tutakwiba tu na kuwa tatizo ni wenye midomo yao?"

View attachment 2725759

Mheshimiwa Supika atakuwa anawalenga nani haswa anaowaita kuwa ni wenye midomo.kumfanya kuchafukwa kiasi hiki, pasi na kuwataja majina yao?

Kulikoni hata asiwataje majina msomi nguli huyu mwenye kujinasibu vilivyo kwa u nguli wake dhidi ya wengi wengine?

Au wenye midomo hao ni manguli kama yeye au hata zaidi yake, maana kama ilivyo kwa sumaku:

"Like poles repel?"
Hii ni spika ya redio
 
Tulia wakati yupo bunge la Katiba niliona ni mtu wa maana sana. Kumbe wale wale. Sijui ccm huwa inawafanyaje watu kama hawa
 
Hii nchi ni ngumu sana. Kwamba kumbe:

"Hata wewe au miye tukiteuliwa kuwa pale bandarini tutakwiba tu na kuwa tatizo ni wenye midomo yao?"

View attachment 2725759

Mheshimiwa Supika atakuwa anawalenga nani haswa anaowaita kuwa ni wenye midomo.kumfanya kuchafukwa kiasi hiki, pasi na kuwataja majina yao?

Kulikoni hata asiwataje majina msomi nguli huyu mwenye kujinasibu vilivyo kwa u nguli wake dhidi ya wengi wengine?

Au wenye midomo hao ni manguli kama yeye au hata zaidi yake, maana kama ilivyo kwa sumaku:

"Like poles repel?"
Huyu mtu ni hatari sana kwa mstakabali wa nchi hii.

1692997086995.png
 
Ana Akili kubwa sana ndio maana akaweza kuwa mhadhiri pale chuo kikuu !!
Ila ataonekana Akili zipo chini kwa wale ambao amegusa maslahi yao kwa namna moja au nyingine !!
Na hivyo ndivyo ilivyo kwa Ground siku zote !!! 🙏🙏🙏
Hujawahi kufundishwa na mhadhiri ukajiuliza mara mbili mbili huyu vipi?
Hata hivyo, sijathibitisha bila shaka kuwa Tulia ana akili ndogo.
 
Sina mwanasheria msomi na shari siitaki.........lakini ogopa mtu aliye kauka.........maana hukauka mpaka akili......
 
Hii nchi ni ngumu sana. Kwamba kumbe:

"Hata wewe au miye tukiteuliwa kuwa pale bandarini tutakwiba tu na kuwa tatizo ni wenye midomo yao?"

View attachment 2725759

Mheshimiwa Supika atakuwa anawalenga nani haswa anaowaita kuwa ni wenye midomo.kumfanya kuchafukwa kiasi hiki, pasi na kuwataja majina yao?

Kulikoni hata asiwataje majina msomi nguli huyu mwenye kujinasibu vilivyo kwa u nguli wake dhidi ya wengi wengine?

Au wenye midomo hao ni manguli kama yeye au hata zaidi yake, maana kama ilivyo kwa sumaku:

"Like poles repel?"
tulia ana nini na bandari?
 
Spika anakiri hadharani kuwa Bunge limeshindwa kuisimamia serikali
Unachekesha, Serikali ipi isimammiwe na nani? Serikali ya ambayo Rais ndiye mwenyekiti wa ccm inayounda serikali. Amabyo spika anaingia vikao vya juu vya ccm kwa wadhifa wake. Hapo anaonyesha Bunge ndilo linasimammiwa na serikali na siyo kinyume chake.
 
Asiyetulia Akson Mwansasu...
Speaker wa ovyo kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii.
 
Unachekesha, Serikali ipi isimammiwe na nani? Serikali ya ambayo Rais ndiye mwenyekiti wa ccm inayounda serikali. Amabyo spika anaingia vikao vya juu vya ccm kwa wadhifa wake. Hapo anaonyesha Bunge ndilo linasimammiwa na serikali na siyo kinyume chake.
Hakika nacheka mwenyewe🤣
 
Back
Top Bottom