Tulia ni mali kwa Jimbo la Mbeya hebu ujivunie na turinge naye

Tulia ni mali kwa Jimbo la Mbeya hebu ujivunie na turinge naye

Hamchangii maendeleo ya Mbeya.
Domo tu.
Na wengi wenu mnasishi nyumba kama vinanda vya mkaa.
Kwa domo tu, Mbeya hatujambo.
Sisi tunalipa Kodi, kazi ya Kuleta Maendeleo ni ya Serikali
Sisi Maendeleo yetu ni Level ya Familia zetu
Acha Ufwala
 
Mkoa wa Mbeya kuna viongozi waliopita hawataweza kufutika kwenye vichwa vya watu. Huwezi ukataja viongozi waliacha alama Mbeya ukamsahau Prof. Mark Mwandosya! Sijui amewatendea nini wana Mbeya mimi siwezi kueleza nikaeleweka vizuri.

Kwa sasa alama anazozitengeneza Dr. Tulia Ackson hususani kwa Jiji la Mbeya kwa kweli anavunja rekodi.

Kutuletea maonesho ya Nane Nane ya kimaifa Mbeya ambayo yatakuwa yanafanyika kila mwaka ni jambo kubwa sana kwa wana Mbeya. Binafsi nanufaika Kwa kuuza kitimoto wengi, kuku wengi, viazi mviringo elimu ya kilimo na mengine mengi!

Nikipita pita mtaani naona Barabara zinachongwa vizuri, kuna magreda kila kona hasa maeneo ya Mwanjelwa, Block Q, Ilemi, Iganzo, Ileya, nk. Mbeya kweli baada ya 2035 tukiwa na huyu huyu Tulia Mbeya itakuwa Jiji la Ukweli.

Wana Mbeya huyu ndiye tulikuwa tunamngoja hakuna mwingine. Wana Mbeya tunamkubali na kumpenda mbunge wetu hasa Kwa ushirikiano anaotoa Kwa watu hasa kwenye musiba bila kujali ni tajiri au maskini. Wana Jiji la Mbeya tunataka Nini?

Binafsi nakupongeza Tulia Ackson . Hakika Mbeya umeikamata vilivyo, Mbeya inakukubali. Hunijui sikujui lakini nakupenda bureeeee.
Kwa nini kuna haja ya kusujudia watu wanapofanya kazi ambazo zinatakiwa wafanye? Kwa nini usiwasififie wana Mbeya?
 
Sisi tunalipa Kodi, kazi ya Kuleta Maendeleo ni ya Serikali
Sisi Maendeleo yetu ni Level ya Familia zetu
Acha Ufwala
Wajinga kama ninyi ndio hamjui kuwa kodi zenu ndio zinajenga barabara, majengo ya hadhi na mendeleo mengi katika mikoa ya watu wenye akili za kuwazidi.
Pole kalagabaho la uswekeni!
 
Mwabukusi namkubali, Jimbo lake ni BUSOKELO huko tunamkubali sana. FRED Hana nguvu ya kumshinda BON bila shaka atamwachia. Kwa Sugu Mbeya asahau. Mbeya imeshastarabika haiewezi kurudi zama za kelele za wavuta bangi.
kwamba makuwadi ya warabu yakiongozwa na kuwadi kuu tulia ndio mnasema hamumkubali sugu kwan lini nyie makuwadi ya warabu mlimkubali sugu by the way sugu hategemei kura za makuwadi ya warabu nyie jiandaen kwenda Dubai kwa mabwana zenu mliyoyahonga bandari.
 
Mbona we binafsi unaonekana mvuta bangi kwa hii comment
Mkisha vuta bangi zenu za Mwakaleli na kutelemka milima hadi Mwanjelwal, basi ndio mnafikiri mmeiona dunia.
Hamjiulizi kwa nini hadi leo mkoa mzima wa Mbeya kuja jengo moja tu lenye lifti, na mataa ya barabarani ysko junction moja tu!
Halafu wajinga ninyi mnapenda kuparurana na kumparura Tulia anayewatoa matongotongo!
 
Mkoa wa Mbeya kuna viongozi waliopita hawataweza kufutika kwenye vichwa vya watu. Huwezi ukataja viongozi waliacha alama Mbeya ukamsahau Prof. Mark Mwandosya! Sijui amewatendea nini wana Mbeya mimi siwezi kueleza nikaeleweka vizuri.

Kwa sasa alama anazozitengeneza Dr. Tulia Ackson hususani kwa Jiji la Mbeya kwa kweli anavunja rekodi.

Kutuletea maonesho ya Nane Nane ya kimaifa Mbeya ambayo yatakuwa yanafanyika kila mwaka ni jambo kubwa sana kwa wana Mbeya. Binafsi nanufaika Kwa kuuza kitimoto wengi, kuku wengi, viazi mviringo elimu ya kilimo na mengine mengi!

Nikipita pita mtaani naona Barabara zinachongwa vizuri, kuna magreda kila kona hasa maeneo ya Mwanjelwa, Block Q, Ilemi, Iganzo, Ileya, nk. Mbeya kweli baada ya 2035 tukiwa na huyu huyu Tulia Mbeya itakuwa Jiji la Ukweli.

Wana Mbeya huyu ndiye tulikuwa tunamngoja hakuna mwingine. Wana Mbeya tunamkubali na kumpenda mbunge wetu hasa Kwa ushirikiano anaotoa Kwa watu hasa kwenye musiba bila kujali ni tajiri au maskini. Wana Jiji la Mbeya tunataka Nini?

Binafsi nakupongeza Tulia Ackson . Hakika Mbeya umeikamata vilivyo, Mbeya inakukubali. Hunijui sikujui lakini nakupenda bureeeee.
Acha kuilinganisha hiyo takataka na Mbeya Mjini. Huyo kinyago aliwekwa na Magufuli, period.

Watu wa Mbeya hawana haiba ya namna hiyo. Hata kama CCM watamuweka 2025 kwa lazima kugombea basi watambue upinzaninl utachukua jimbo hilo
 
Nikipewa fursa moja ya kuuwa mtu mmoja hapa duniani basi nitaanza na huyu betina

Yaani ningemtenganisha kiwiliwili pamoja na kila kiungo makalio kata weka kule tumifupa tule kwenye miguu kata, kale ka nanii kata,

Kwa ujinga huu wa bandari huyu sitamsamehe kamwe
 
Speaker wa Mchongo anapojificha kwenye Fake ID
Aah! Unanichekesha mkuu, hii siyo fake ID ya speaker. Ni Mimi mkulima, mtu wa kawaida kabisa, mpiga kura Jimbo la Mbeya mjini.
Huu ni ukweli simchukii Sugu hata siku Moja. Ila zama za ubunge wake hapa mjini palikuwa hakuna ustaarabu. Mji ulikuwa kama genge la wahuni na wavuta bange. Mbeya Kwa asili Huwa Haina chama, Haina mtu maalumu Wala kabila miliki.
Huyu Dr. Tulia amerudisha heshima Tena mbeya. Uliza hata machifu wakiongizwa Roketi Mwashinga, nenda mwanjelwa, igawilo, simike. Utamjua Tulia ni nani hapa jijini Mbeya.
Tunamwombea atimize ndoto za kujenga Jiji letu. Tunasubiri Kwa hamu Barabara ya njia nne. Lakini asisahau fly over angalau hapo Mwanjelwa.
 
Mkoa wa Mbeya kuna viongozi waliopita hawataweza kufutika kwenye vichwa vya watu. Huwezi ukataja viongozi waliacha alama Mbeya ukamsahau Prof. Mark Mwandosya! Sijui amewatendea nini wana Mbeya mimi siwezi kueleza nikaeleweka vizuri.

Kwa sasa alama anazozitengeneza Dr. Tulia Ackson hususani kwa Jiji la Mbeya kwa kweli anavunja rekodi.

Kutuletea maonesho ya Nane Nane ya kimaifa Mbeya ambayo yatakuwa yanafanyika kila mwaka ni jambo kubwa sana kwa wana Mbeya. Binafsi nanufaika Kwa kuuza kitimoto wengi, kuku wengi, viazi mviringo elimu ya kilimo na mengine mengi!

Nikipita pita mtaani naona Barabara zinachongwa vizuri, kuna magreda kila kona hasa maeneo ya Mwanjelwa, Block Q, Ilemi, Iganzo, Ileya, nk. Mbeya kweli baada ya 2035 tukiwa na huyu huyu Tulia Mbeya itakuwa Jiji la Ukweli.

Wana Mbeya huyu ndiye tulikuwa tunamngoja hakuna mwingine. Wana Mbeya tunamkubali na kumpenda mbunge wetu hasa Kwa ushirikiano anaotoa Kwa watu hasa kwenye musiba bila kujali ni tajiri au maskini. Wana Jiji la Mbeya tunataka Nini?

Binafsi nakupongeza Tulia Ackson . Hakika Mbeya umeikamata vilivyo, Mbeya inakukubali. Hunijui sikujui lakini nakupenda bureeeee.
Tunaotaka Maendelea ya Mkoa wa Mbeya tunaenda na Tulia ila wanaotaka makelele ya kuimbiwa mistari waende na yule mjinga Sugu aka zilipendwa.
 
Acha kuilinganisha hiyo takataka na Mbeya Mjini. Huyo kinyago aliwekwa na Magufuli, period.

Watu wa Mbeya hawana haiba ya namna hiyo. Hata kama CCM watamuweka 2025 kwa lazima kugombea basi watambue upinzaninl utachukua jimbo hilo
Mbeya sasa hivi ina wavuta bangi wengi.
Na wote wanaishi vichochoroni!
 
Asante, mkuu lakini Mimi ni mkulima tu Sina connection ya kuwa chawa. Naishi jijini naona kazi njema ya TULIA. Suala la bandari siyo issue Kwa Wana Mbeya. Ukienda huko LYOTO, IGANZO na maeneo mengine hawaelewi uhusiano wao na hiyo bandari wao wanataka Barabara mzuri, maji safi.,...
Huna lolote muwe mnaona aibu kuficha roho za ushoga Hamna mkulima mjingamjinga kama wewe
 
Kesi za kupinga mkataba wa Bandari zimefanyika wapi?
Mkuu Hizo kesi za bandari hazijafunguliwa na wanambeya. Hao ni wanasiasa na wanasheria Kwa haki Yao ya kikatiba na masilahi yao binafsi ya kisiasa wameanzisha kesi hiyo. Kamwe kesi hiyo haijaweza kuathiri abadani matarajio ya wanambeya Kwa Dr. Tulia hata kama baadhi hawaungi mkono Hilo la bandari. Tunapomwangalia Dr. Tulia hatuangalii uhusiano wake na bandari tunaangaliabbinafisi anatutendea Nini Wana Mbeya.
 
Back
Top Bottom