Tulia ni mali kwa Jimbo la Mbeya hebu ujivunie na turinge naye

Unawalinganisha hao dignified exemplary statesmen na mhuni wako sugu wa maandamano ya Mwanjelwa!
Sugu ni mhuni kwako Mpumbavu kama vile Mandela alivyokuwa mhuni kwa serikali ya makaburi kabla hajashinda urais kwa wapumbavu wenzio wa Afrika ya Kusini.
 
kilaza ktk ubora wako
 
Sugu ni mhuni kwako Mpumbavu kama vile Mandela alivyokuwa mhuni kwa serikali ya makaburi kabla hajashinda urais kwa wapumbavu wenzio wa Afrika ya Kusini.
Unavyompenda Sugu, sijui kakupa kitanda chake ulalie?
Au kakuachia ndala?
Nahisi malofa kama ninyi mko wengi!
Watu wenye akili wanawaza mbali zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…