Ww ni maiti iliyoopolewa au ni mgonjwa wa Corona usiamini kila ujinga
Usiseme watz sema mabavicha.Sisi ndio tutakaoishangaza dunia, yaani huu ugonjwa limekuwa suala la kisiasa tena?, chuki ni kitu kibaya sana. Watanzania kwa sasa tunachukiana mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ni maiti iliyoopolewa au ni mgonjwa wa Corona usiamini kila ujinga
Ninachoamini hii corona imekuja kuosha kizazi chenye fikra ndogo kama zako, pengine kizazi kitachokuja kitakuwa na uwezo wa kuhoji na kuchambua mambo kuendana na uhalisia kama kilichopotea kabla yetu cha kina NKURUMAH, NYERERE, MANDELA, MONDLANE, etc!
Tuna bahati tupo katika kipindi che technology, sauti za tukio zipo, video zipo, picha zipo, bado tunashindwa kuchambua hili jambo kiuhalisia ili kuleta wokovu? Duuuh! 😳
Kuna wazungu Fulani na waimba mapambio walikuwa wanasema wiki mbili zijazo hali itatisha
Leo ni ijumaa lakini tunadunda tu kama kawaida wiki ya pili inaisha wagonjwa hata 1000 hawajafika
.
Kuna Mrs Billgate yeye aliongea kuwa tutakuwa tunaokota maiti mitaani lakini wiki ya pili inaisha hali iko kawaida
Kuna wakati ujuaji wa wanadamu hukwama kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Watu wajifunze kuwa kuna Mungu aliyewaumba na ndiye mtetezi wa wote kwenye shida na raha
Mkuu kwa data hizi? Usimfyonze mamba kabla hujamaliza kuvuka mto!!Kuna wazungu Fulani na waimba mapambio walikuwa wanasema wiki mbili zijazo hali itatisha
Leo ni ijumaa lakini tunadunda tu kama kawaida wiki ya pili inaisha wagonjwa hata 1000 hawajafika
.
Kuna Mrs Billgate yeye aliongea kuwa tutakuwa tunaokota maiti mitaani lakini wiki ya pili inaisha hali iko kawaida
Kuna wakati ujuaji wa wanadamu hukwama kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Watu wajifunze kuwa kuna Mungu aliyewaumba na ndiye mtetezi wa wote kwenye shida na raha
Wapimwe kwani wanaumwa? Utamaduni wetu ni kupima pale unapojisikia unaumwa. Sasa mie nadunda mtaani alafu unaniambia hali ni mbaya?
Katika familia yako kuna yyt anaumwa au kafa corona?Hao watu unaotaka wapimwe ni watu wa aina gani?
Wewe ndio MPUMBAVU. Mgonjwa serious hakimbii hospital. Kama unafuatilia mambo vizuri kuna jamaa wa Kenya alilalamika kuambiwa ana CORONA na kapelekwa hospital na hamna anachopewa. So wengi si wagonjwa, Mgonjwa unapata wapi nguvu za kukimbia?Taarifa za kwenye media na mazingira halisi ni vitu viwili tofauti. Kama unaambiwa kila siku madereva wa Tanzania wanakutwa na corona Uganda, hujiulizi corona hii hii Mtu anapiga gia Dar to Uganda na yupo fiti?Wee mama ni pumbavu kabisa..
Wale wagonjwa waliokimbia jana Amana kwa kukosa huduma kwako ni kawaida eehh?
Wagonjwa wanatoa maiti wao wenyewe wodini kwa kukosa wahudumu kwako ni normal kabisa..!?
Lofa wewe.
Mkuu mnatishwa na mmetishika.Weka akiba ya maneno.
Kuna mijitu ni mipumbavu, imekalilishwa oooh hawapimi, hawapimwi akina nani?Kwenye familia yake kuna mwenye CORONA na kafa kisa hakupimwa?Hivi ugonjwa ni hadi upime ndio ujue unaumwa?Kama mtu anaamka asubuh na kufanya shughuli zake vizur na jioni yuko poa miezi na miez, umpime ugundue nini?wewe unaumwa?? au unahisi una corona yako uanze kuitumia
Yaani wagonjwa wananguvu za kuchukua videos hahahahahahah. Hii corona ya Tanzania ni ya kipekee sana.Mtu anauwezo wa kubeba maiti unamuita mgonjwa? Hao warudi kwao wakafukize tu?
Mkuu kwanini utumie nguvu kubwa kiwatisha watu?Ktk familia yako au ukoo wako kuna mwenye CORONA au kafa corona na mwanzo alikua mzima?Elewa ni ugonjwa wa kawaida ila umekuja na propaganda za kutosha.Hivi kwanini isitumike nguvu nyingi kuhakikisha hili janga linaisha, kuliko kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu kuwa ni jambo la kawaida ama ni la kutisha kuliko kawaida...
Hata bila kupima.....
Ni asilimia ngapi ya watanzania wote?Mkuu kwa data hizi? Usimfyonze mamba kabla hujamaliza kuvuka mto!!
mwongo wewe. Wewe na wenzako wenye roho kama yako mnatamani tungekufa kama kuku. Roho inawauma .Tusitegemee kupata takwimu sahihi,watu wameshapewa onyo na kutishiwa kama wataendelea kutoa data!Pia kupima kumekuwa discouraged!Ni kama tumeambiwa tupambanae na hali zetu!
Saa nyingine akili zetu ziwe active angalau mara moja kwa mwaka ili ubongo usioze kwa kutotumika.Kuna wazungu Fulani na waimba mapambio walikuwa wanasema wiki mbili zijazo hali itatisha
Leo ni ijumaa lakini tunadunda tu kama kawaida wiki ya pili inaisha wagonjwa hata 1000 hawajafika
.
Kuna Mrs Billgate yeye aliongea kuwa tutakuwa tunaokota maiti mitaani lakini wiki ya pili inaisha hali iko kawaida
Kuna wakati ujuaji wa wanadamu hukwama kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Watu wajifunze kuwa kuna Mungu aliyewaumba na ndiye mtetezi wa wote kwenye shida na raha
Sasa mtu anayeunwa mafua anahitaji huduma gani zaidi ya kupewa juice ili apone haraka? Ulitaka wafanyiwe upasuaji?Wee mama ni pumbavu kabisa..
Wale wagonjwa waliokimbia jana Amana kwa kukosa huduma kwako ni kawaida eehh?
Wagonjwa wanatoa maiti wao wenyewe wodini kwa kukosa wahudumu kwako ni normal kabisa..!?
Lofa wewe.