Uzima Tele
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,270
- 2,822
Huku kwetu baada ya mvua mgao umekata, tulikuwa tunakatiwa hadi mara tatu kwa week
Unaongelea maji ya mto Msimbazi maeneo ya Kigogo hadi Tabata Matumbi? Hayo hayana uhusiano na umeme.
Viongozi siyo ni shemu ya hiyo laana bali wao ndiyo sababu kuu ya hiyo laana.Hii nchi ni laana, viongozi nao ni sehemu ya hiyo laana
Naam!Viongozi siyo ni shemu ya hiyo laana bali wao ndiyo sababu kuu ya hiyo laana.
Sahihi kabisaViongozi siyo ni shemu ya hiyo laana bali wao ndiyo sababu kuu ya hiyo laana.