Cpp
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,199
- 2,403
Aendelee tu kujaza benchi game liko tough sanaAmechemka...sijui aende upande upi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aendelee tu kujaza benchi game liko tough sanaAmechemka...sijui aende upande upi sasa
duu, sikutegemea km singeli ingefikia hapo kwa kweliKizazi cha kupanga mduara kucheza taarab kinapotea (wanazeeka), now days hivi viswaswadu uswahilini kwenye vigodoro wanataka singeli watimue vumbi. Mchawi singeli.
aisee, na huko maulamaa sijui kama watampokea tena........saa hizi wanamcheki tu!Haha juzi tu nimewaza juu ya huyu mzee na kauli zake za kejeli huko YouTube.
Niliwahi hudhuria shoo yake hivi karibuni, aah aisee, uwezo wa kuimba Hana tena,(pumzi& performance), watu tulikuwa wachache mno,lol better angebaki kushika Dini tu,maana anasikitisha
dah!!!!!!Mzee yusufu kwemye dunia kaharibu akakimbilia kwenye dini nako kwenye dini akaharibu kisha anataka kurudi tena kwemye dunia ambako alishaharibugi kitambo.
Kutoboa kwa taarafu kwake yeye kwa sasa ni ngumu
loh! atakuwa ni mbishi sana au hana washauri wazuri.........nina mashaka na mkewe ambae alikuwa anaendelea na kutumbuizaAtajijua na balaa lake, alijidai kumpenda mungu, kajaribiwa kidogo na dhiki yamemshinda, ni aidha ana mwisho mbaya kidunia ama hatowika tena, hiki ndio nilifikiri pale tu niliposikia anarudi kwenye taarabu.
Kuna hadithi moja"bwana mmoja alimfata mtume s.a.w akamwambia anampenda, basi mtume akamwambia ajiandae kwa dhiki na mitihani mingi mingi"
Mkuu hatari sema hii elimu yangu inanifanya nisisogelee vigodoro vya kitaa. Kuna siku nipo kitaa kingine nikasema ngoja nikacheki asee hivi vitoto under20 (vikina paula) ikipigwa hiyo singeli huezi amini vinavyotikisa t*ko moja 1.duu, sikutegemea km singeli ingefikia hapo kwa kweli
oh!!!!!!Ujio wake wa mara yapili ulianza na mzozo na mshehe,mashehe wakamwambia wamsomea dua mbaya.
Nadhani mashehe washafanya yao.
aisee, ngoja siku moja nifanye kama nimepotelea hivii nikajionee mamboMkuu hatari sema hii elimu yangu inanifanya nisisogelee vigodoro vya kitaa. Kuna siku nipo kitaa kingine nikasema ngoja nikacheki asee hivi vitoto under20 (vikina paula) ikipigwa hiyo singeli huezi amini vinavyotikisa t*ko moja 1.
Sasa mambo ya miduara nani atataka
Mkuu hatari sema hii elimu yangu inanifanya nisisogelee vigodoro vya kitaa.
SawaMakubwa! Elimu yako ni yakiwango gani mkuu? Acha kujikuza mkuu wewe ni wewe na elimu yako sio wewe
dah, sipati pichaKwani hawezi kuimba singeli? Habari ya mjini kwa sasa ndiyo hiyo.
mfalme anaendelea kufanya vizuri tena uzuri amewarudisha kundini wasanii wake kama vile fatma mcharuko,rahma machupa messi,mtoto pori kwa hiyo mambo yanazidi kunoga.Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.
Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.
Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?
Ahsan
Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.
Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.
Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?
Ahsanteni
ni jambo jema km ni hivyo!mfalme anaendelea kufanya vizuri tena uzuri amewarudisha kundini wasanii wake kama vile fatma mcharuko,rahma machupa messi,mtoto pori kwa hiyo mambo yanazidi kunoga.
😂😂😂😂😂Hajachelewa aimbe KWAYA