Tuliambiwa Mzee Yusuph anarudi kwa kasi ya ajabu, sijafanikiwa kusikia chochote hadi sasa

Tuliambiwa Mzee Yusuph anarudi kwa kasi ya ajabu, sijafanikiwa kusikia chochote hadi sasa

Kizazi cha kupanga mduara kucheza taarab kinapotea (wanazeeka), now days hivi viswaswadu uswahilini kwenye vigodoro wanataka singeli watimue vumbi. Mchawi singeli.
duu, sikutegemea km singeli ingefikia hapo kwa kweli
 
Haha juzi tu nimewaza juu ya huyu mzee na kauli zake za kejeli huko YouTube.
Niliwahi hudhuria shoo yake hivi karibuni, aah aisee, uwezo wa kuimba Hana tena,(pumzi& performance), watu tulikuwa wachache mno,lol better angebaki kushika Dini tu,maana anasikitisha
aisee, na huko maulamaa sijui kama watampokea tena........saa hizi wanamcheki tu!
 
Mzee yusufu kwemye dunia kaharibu akakimbilia kwenye dini nako kwenye dini akaharibu kisha anataka kurudi tena kwemye dunia ambako alishaharibugi kitambo.

Kutoboa kwa taarafu kwake yeye kwa sasa ni ngumu
dah!!!!!!
inatafakarisha sana
 
Atajijua na balaa lake, alijidai kumpenda mungu, kajaribiwa kidogo na dhiki yamemshinda, ni aidha ana mwisho mbaya kidunia ama hatowika tena, hiki ndio nilifikiri pale tu niliposikia anarudi kwenye taarabu.

Kuna hadithi moja"bwana mmoja alimfata mtume s.a.w akamwambia anampenda, basi mtume akamwambia ajiandae kwa dhiki na mitihani mingi mingi"
loh! atakuwa ni mbishi sana au hana washauri wazuri.........nina mashaka na mkewe ambae alikuwa anaendelea na kutumbuiza
 
duu, sikutegemea km singeli ingefikia hapo kwa kweli
Mkuu hatari sema hii elimu yangu inanifanya nisisogelee vigodoro vya kitaa. Kuna siku nipo kitaa kingine nikasema ngoja nikacheki asee hivi vitoto under20 (vikina paula) ikipigwa hiyo singeli huezi amini vinavyotikisa t*ko moja 1.
Sasa mambo ya miduara nani atataka
 
Mkuu hatari sema hii elimu yangu inanifanya nisisogelee vigodoro vya kitaa. Kuna siku nipo kitaa kingine nikasema ngoja nikacheki asee hivi vitoto under20 (vikina paula) ikipigwa hiyo singeli huezi amini vinavyotikisa t*ko moja 1.
Sasa mambo ya miduara nani atataka
aisee, ngoja siku moja nifanye kama nimepotelea hivii nikajionee mambo
 
Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.

Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.

Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?

Ahsan
mfalme anaendelea kufanya vizuri tena uzuri amewarudisha kundini wasanii wake kama vile fatma mcharuko,rahma machupa messi,mtoto pori kwa hiyo mambo yanazidi kunoga.
Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.

Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.

Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?

Ahsanteni
 
Ngoja waje waendaji dar alive kukupa jibu unalolitaka.
 
Mzee aliwatelekeza Mashabiki zake ghafla bin vuu.....wakahangaika weeh hatimaye ikatokea singeli ikawaliwaza!! Sasa amerudi kakuta watu hawana habari tena na taarabu....mbaya Zaid ni kwamba sijui hakujipanga ujio wake ni Kama hauna jipya style ni ileile...
 
Back
Top Bottom