- Thread starter
- #41
dah!Mzee aliwatelekeza Mashabiki zake ghafla bin vuu.....wakahangaika weeh hatimaye ikatokea singeli ikawaliwaza!! Sasa amerudi kakuta watu hawana habari tena na taarabu....mbaya Zaid ni kwamba sijui hakujipanga ujio wake ni Kama hauna jipya style ni ileile...