Tuliambiwa Mzee Yusuph anarudi kwa kasi ya ajabu, sijafanikiwa kusikia chochote hadi sasa

Tuliambiwa Mzee Yusuph anarudi kwa kasi ya ajabu, sijafanikiwa kusikia chochote hadi sasa

Mzee aliwatelekeza Mashabiki zake ghafla bin vuu.....wakahangaika weeh hatimaye ikatokea singeli ikawaliwaza!! Sasa amerudi kakuta watu hawana habari tena na taarabu....mbaya Zaid ni kwamba sijui hakujipanga ujio wake ni Kama hauna jipya style ni ileile...
dah!
 
Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.

Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.

Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?

Ahsanteni
ameshaanza jmosi hii atakuwa Soweto Park Malamba Mawili.
 
Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.

Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.

Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?

Ahsanteni
Asharudi kwa kasi, sema
Zuchu kakata upepo wake
 
Hivi kuna mtu mpaka leo karne ya 21 bado anaskiliza sijui taarabu?
 
Ukimtoa Ali Kiba na Dully sykes ni ngumu kwa msanii mwingine kusimama kimuziki na baadae kurudi mainstream.. mfano Prof Jay nae anahangaika lakini bado imekuwa ngumu.. huu ni wakati wa kina Zuchu, whozu, gigy money, amber ruty, young lunya, bill nas, na kina harmonize. Wasanii wa zamani ni bora wakajichanganya kwenye mambo mengine ya kujipatia riziki.
 
Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.

Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.

Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?

Ahsanteni
Mungu hadhihakiwi
 
Ukimtoa Ali Kiba na Dully sykes ni ngumu kwa msanii mwingine kusimama kimuziki na baadae kurudi mainstream.. mfano Prof Jay nae anahangaika lakini bado imekuwa ngumu.. huu ni wakati wa kina Zuchu, whozu, gigy money, amber ruty, young lunya, bill nas, na kina harmonize. Wasanii wa zamani ni bora wakajichanganya kwenye mambo mengine ya kujipatia riziki.
Mi namshaur prof jay , aende WCB akatulie ale pensheni ... Jamaa bado anakubalika Sana Clouds na akina EFM hawawez msaidia chochote Zaid ya kumpamba na kumuita ni legendary
 
Atajijua na balaa lake, alijidai kumpenda Mungu, kajaribiwa kidogo na dhiki yamemshinda, ni aidha ana mwisho mbaya kidunia ama hatowika tena, hiki ndio nilifikiri pale tu niliposikia anarudi kwenye taarabu.

Kuna hadithi moja"bwana mmoja alimfata mtume s.a.w akamwambia anampenda, basi mtume akamwambia ajiandae kwa dhiki na mitihani mingi mingi"
Kwahiyo Mtume Mwamedi akafanya yake
 
Mzee yusufu kwemye dunia kaharibu akakimbilia kwenye dini, nako kwenye dini akaharibu kisha anataka kurudi tena kwemye dunia ambako alishaharibugi kitambo.

Kutoboa kwa taarafu kwake yeye kwa sasa ni ngumu
Aanze kuimba kwaya
 
Ukimtoa Ali Kiba na Dully sykes ni ngumu kwa msanii mwingine kusimama kimuziki na baadae kurudi mainstream.. mfano Prof Jay nae anahangaika lakini bado imekuwa ngumu.. huu ni wakati wa kina Zuchu, whozu, gigy money, amber ruty, young lunya, bill nas, na kina harmonize. Wasanii wa zamani ni bora wakajichanganya kwenye mambo mengine ya kujipatia riziki.
umemsahau Byser Mr Blue
 
Back
Top Bottom