dah!Mzee aliwatelekeza Mashabiki zake ghafla bin vuu.....wakahangaika weeh hatimaye ikatokea singeli ikawaliwaza!! Sasa amerudi kakuta watu hawana habari tena na taarabu....mbaya Zaid ni kwamba sijui hakujipanga ujio wake ni Kama hauna jipya style ni ileile...
ameshaanza jmosi hii atakuwa Soweto Park Malamba Mawili.Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.
Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.
Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?
Ahsanteni
Hadhi yake haikuwa ya Sowetoameshaanza jmosi hii atakuwa Soweto Park Malamba Mawili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah lolHajachelewa aimbe KWAYA
Asharudi kwa kasi, semaTuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.
Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.
Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?
Ahsanteni
Umefanyeje?Msumariiii????
Hata mi nimeshangaa Soweto kule wanatakiwa waende akina ferooz na wagosi wa kayaHadhi yake haikuwa ya Soweto
Mungu hadhihakiwiTuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.
Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.
Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?
Ahsanteni
Mi namshaur prof jay , aende WCB akatulie ale pensheni ... Jamaa bado anakubalika Sana Clouds na akina EFM hawawez msaidia chochote Zaid ya kumpamba na kumuita ni legendaryUkimtoa Ali Kiba na Dully sykes ni ngumu kwa msanii mwingine kusimama kimuziki na baadae kurudi mainstream.. mfano Prof Jay nae anahangaika lakini bado imekuwa ngumu.. huu ni wakati wa kina Zuchu, whozu, gigy money, amber ruty, young lunya, bill nas, na kina harmonize. Wasanii wa zamani ni bora wakajichanganya kwenye mambo mengine ya kujipatia riziki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujio wake wa mara yapili ulianza na mzozo na mshehe, mashehe wakamwambia watamsomea dua mbaya.
Nadhani mashehe washafanya yao.
Kwahiyo Mtume Mwamedi akafanya yakeAtajijua na balaa lake, alijidai kumpenda Mungu, kajaribiwa kidogo na dhiki yamemshinda, ni aidha ana mwisho mbaya kidunia ama hatowika tena, hiki ndio nilifikiri pale tu niliposikia anarudi kwenye taarabu.
Kuna hadithi moja"bwana mmoja alimfata mtume s.a.w akamwambia anampenda, basi mtume akamwambia ajiandae kwa dhiki na mitihani mingi mingi"
Aanze kuimba kwayaMzee yusufu kwemye dunia kaharibu akakimbilia kwenye dini, nako kwenye dini akaharibu kisha anataka kurudi tena kwemye dunia ambako alishaharibugi kitambo.
Kutoboa kwa taarafu kwake yeye kwa sasa ni ngumu
umemsahau Byser Mr BlueUkimtoa Ali Kiba na Dully sykes ni ngumu kwa msanii mwingine kusimama kimuziki na baadae kurudi mainstream.. mfano Prof Jay nae anahangaika lakini bado imekuwa ngumu.. huu ni wakati wa kina Zuchu, whozu, gigy money, amber ruty, young lunya, bill nas, na kina harmonize. Wasanii wa zamani ni bora wakajichanganya kwenye mambo mengine ya kujipatia riziki.
yah, ni kweli na huyo ilipaswa amuweke kwenye list.... yuko njema sana huyo jamaa, anajua haswa namna ya kubaki kwenye chatiumemsahau Byser Mr Blue
ππππAanze kuimba kwaya