Tulianza kuwasha moto Afrika Kusini, leo basi limeingia kinyumenyume! Tumebakiza kutoa haja kubwa tu viwanjani ili tushinde

Tulianza kuwasha moto Afrika Kusini, leo basi limeingia kinyumenyume! Tumebakiza kutoa haja kubwa tu viwanjani ili tushinde

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Timu ya Tajiri #13 Afrika inafanya Mambo ya Kipumbavu na Aibu kabisa halafu bado unataka Mwenyezi Mungu aibaeiki ishinde.

Tulichokibakiza sasa kutokana na Kuamini Kwetu Uchawi ni Kuwaambia tu Wachezaji wakiongozwa na Babu (Mzee) Joash Onyango wajitahidi kujisaidia uwanjani kwa Mkapa ili tushinde / washinde.

Hovyo kabisa.
 
Timu ya Tajiri #13 Afrika inafanya Mambo ya Kipumbavu na Aibu kabisa halafu bado unataka Mwenyezi Mungu aibaeiki ishinde.

Tulichokibakiza sasa kutokana na Kuamini Kwetu Uchawi ni Kuwaambia tu Wachezaji wakiongozwa na Babu ( Mzee ) Joash Onyango wajitahidi kujisaidia wanjani kwa Mkapa ili tushinde / washinde.

Hovyo kabisa.
Acha hasira mwana thiiimba!
 
Kuna Nini Kwan ..Mzee popoma .....mbona mnaongoza kundi
1676748273017.jpg
 
Timu ya Tajiri #13 Afrika inafanya Mambo ya Kipumbavu na Aibu kabisa halafu bado unataka Mwenyezi Mungu aibaeiki ishinde.

Tulichokibakiza sasa kutokana na Kuamini Kwetu Uchawi ni Kuwaambia tu Wachezaji wakiongozwa na Babu ( Mzee ) Joash Onyango wajitahidi Wanye Kinyesi ( Mavi ) Uwanjani kwa Mkapa ili tushinde / washinde.

Hovyo kabisa.
We bwege kweli,,wewe si ndio umekuja hapa unajisifu mmefanya uchawi ya kwamba Raja hatoki kwa mkapa na wewe umeshiriki kwenye tukio hilo kikamilifu😀


Kwa porojo zako hizi halafu watu eti wameipigia kura Id yako ile kwamba ndio mwanamichezo bora jukwaa hili niliwashangaa sana wanajf,waliokupigia kura wanawakilisha jamii kubwa ya watz wapenda majungu,umbea na porojo kama wewe mleta mada
 
Kuna mchezaji
Mrefuuuuu kama Mwanzi akiwa na mpira unaweza sema twiga anavuka barabara mchezaji wa hovyo ,halafu anacheza midle eti hovyo kabisaaaa
Mara 100 na jonas mkude

(maneno ya mlevi mmoja hapa , Mbezi makonde)
 
We bwege kweli,,wewe si ndio umekuja hapa unajisifu mmefanya uchawi ya kwamba Raja hatoki kwa mkapa na wewe umeshiriki kwenye tukio hilo kikamilifu😀


Kwa porojo zako hizi halafu watu eti wameipigia kura Id yako ile kwamba ndio mwanamichezo bora jukwaa hili niliwashangaa sana wanajf,waliokupigia kura wanawakilisha jamii kubwa ya watz wapenda majungu,umbea na porojo kama wewe mleta mada
Anajikosha
 
Timu ya Tajiri #13 Afrika inafanya Mambo ya Kipumbavu na Aibu kabisa halafu bado unataka Mwenyezi Mungu aibaeiki ishinde.

Tulichokibakiza sasa kutokana na Kuamini Kwetu Uchawi ni Kuwaambia tu Wachezaji wakiongozwa na Babu ( Mzee ) Joash Onyango wajitahidi Wanye Kinyesi ( Mavi ) Uwanjani kwa Mkapa ili tushinde / washinde.

Hovyo kabisa.
Mtani pole kwa kipigo..
Pole kwa ulozi
 
We bwege kweli,,wewe si ndio umekuja hapa unajisifu mmefanya uchawi ya kwamba Raja hatoki kwa mkapa na wewe umeshiriki kwenye tukio hilo kikamilifu😀


Kwa porojo zako hizi halafu watu eti wameipigia kura Id yako ile kwamba ndio mwanamichezo bora jukwaa hili niliwashangaa sana wanajf,waliokupigia kura wanawakilisha jamii kubwa ya watz wapenda majungu,umbea na porojo kama wewe mleta mada
hahahaha,akili za watanzania ni ndogo sana
 
We bwege kweli,,wewe si ndio umekuja hapa unajisifu mmefanya uchawi ya kwamba Raja hatoki kwa mkapa na wewe umeshiriki kwenye tukio hilo kikamilifu[emoji3]


Kwa porojo zako hizi halafu watu eti wameipigia kura Id yako ile kwamba ndio mwanamichezo bora jukwaa hili niliwashangaa sana wanajf,waliokupigia kura wanawakilisha jamii kubwa ya watz wapenda majungu,umbea na porojo kama wewe mleta mada
Umemaliza Kaz ,popoma Ni mbumbumbu mwandamizi Jana tu aliandika usi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Gari la wachezaji kutoka Mbezi mpaka Kwa Mkapa kinyume ni zaidi ya kuwasha moto pale south [emoji3][emoji3]
 
H
la wachezaji kutoka Mbezi mpaka Kwa Mkapa kinyume ni zaidi ya kuwasha moto pale south [emoji3][emoji3]
Hivi wametoka mbezi Hadi kwa mkapa kinyume nyume!?
 
Timu ya Tajiri #13 Afrika inafanya Mambo ya Kipumbavu na Aibu kabisa halafu bado unataka Mwenyezi Mungu aibaeiki ishinde.

Tulichokibakiza sasa kutokana na Kuamini Kwetu Uchawi ni Kuwaambia tu Wachezaji wakiongozwa na Babu (Mzee) Joash Onyango wajitahidi kujisaidia uwanjani kwa Mkapa ili tushinde / washinde.

Hovyo kabisa.
Wewe kweli entertainer leo hii unapinga mambo ya kiswahili katika soka la bongo !
 
Back
Top Bottom