MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Acha hasira mwana thiiimba!Timu ya Tajiri #13 Afrika inafanya Mambo ya Kipumbavu na Aibu kabisa halafu bado unataka Mwenyezi Mungu aibaeiki ishinde.
Tulichokibakiza sasa kutokana na Kuamini Kwetu Uchawi ni Kuwaambia tu Wachezaji wakiongozwa na Babu ( Mzee ) Joash Onyango wajitahidi kujisaidia wanjani kwa Mkapa ili tushinde / washinde.
Hovyo kabisa.
Wachezaji wenyewe kina boko na baleke.Haha timu badala isajili wachezaji wazuri ipo busy kusajili waganga
Na Wote kuwapangia katika Hotel ya Kifahari Mbezi Beach halafu bado tena leo si tu tumefungwa bali pia tumepigiwa ( tumechezewa ) Mpira mkubwa na mwingi mno.Haha timu badala isajili wachezaji wazuri ipo busy kusajili waganga
We bwege kweli,,wewe si ndio umekuja hapa unajisifu mmefanya uchawi ya kwamba Raja hatoki kwa mkapa na wewe umeshiriki kwenye tukio hilo kikamilifu๐Timu ya Tajiri #13 Afrika inafanya Mambo ya Kipumbavu na Aibu kabisa halafu bado unataka Mwenyezi Mungu aibaeiki ishinde.
Tulichokibakiza sasa kutokana na Kuamini Kwetu Uchawi ni Kuwaambia tu Wachezaji wakiongozwa na Babu ( Mzee ) Joash Onyango wajitahidi Wanye Kinyesi ( Mavi ) Uwanjani kwa Mkapa ili tushinde / washinde.
Hovyo kabisa.
AnajikoshaWe bwege kweli,,wewe si ndio umekuja hapa unajisifu mmefanya uchawi ya kwamba Raja hatoki kwa mkapa na wewe umeshiriki kwenye tukio hilo kikamilifu๐
Kwa porojo zako hizi halafu watu eti wameipigia kura Id yako ile kwamba ndio mwanamichezo bora jukwaa hili niliwashangaa sana wanajf,waliokupigia kura wanawakilisha jamii kubwa ya watz wapenda majungu,umbea na porojo kama wewe mleta mada
Mtani pole kwa kipigo..Timu ya Tajiri #13 Afrika inafanya Mambo ya Kipumbavu na Aibu kabisa halafu bado unataka Mwenyezi Mungu aibaeiki ishinde.
Tulichokibakiza sasa kutokana na Kuamini Kwetu Uchawi ni Kuwaambia tu Wachezaji wakiongozwa na Babu ( Mzee ) Joash Onyango wajitahidi Wanye Kinyesi ( Mavi ) Uwanjani kwa Mkapa ili tushinde / washinde.
Hovyo kabisa.
hahahaha,akili za watanzania ni ndogo sanaWe bwege kweli,,wewe si ndio umekuja hapa unajisifu mmefanya uchawi ya kwamba Raja hatoki kwa mkapa na wewe umeshiriki kwenye tukio hilo kikamilifu๐
Kwa porojo zako hizi halafu watu eti wameipigia kura Id yako ile kwamba ndio mwanamichezo bora jukwaa hili niliwashangaa sana wanajf,waliokupigia kura wanawakilisha jamii kubwa ya watz wapenda majungu,umbea na porojo kama wewe mleta mada
Umemaliza Kaz ,popoma Ni mbumbumbu mwandamizi Jana tu aliandika usiWe bwege kweli,,wewe si ndio umekuja hapa unajisifu mmefanya uchawi ya kwamba Raja hatoki kwa mkapa na wewe umeshiriki kwenye tukio hilo kikamilifu[emoji3]
Kwa porojo zako hizi halafu watu eti wameipigia kura Id yako ile kwamba ndio mwanamichezo bora jukwaa hili niliwashangaa sana wanajf,waliokupigia kura wanawakilisha jamii kubwa ya watz wapenda majungu,umbea na porojo kama wewe mleta mada
Wewe kweli entertainer leo hii unapinga mambo ya kiswahili katika soka la bongo !Timu ya Tajiri #13 Afrika inafanya Mambo ya Kipumbavu na Aibu kabisa halafu bado unataka Mwenyezi Mungu aibaeiki ishinde.
Tulichokibakiza sasa kutokana na Kuamini Kwetu Uchawi ni Kuwaambia tu Wachezaji wakiongozwa na Babu (Mzee) Joash Onyango wajitahidi kujisaidia uwanjani kwa Mkapa ili tushinde / washinde.
Hovyo kabisa.