Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Vipi jana kwa mkapa hatoki mtu?Ana jikosha sana huyu jamaa
Katoka kwani mmemkuta hapo uwanjani?Vipi jana kwa mkapa hatoki mtu?
Tai imekula Simba😀😀😀😀😀Mwamba huyu hapaView attachment 2522473
Wanathiiimbaaa!Mkuu.
Huyu mtu ni TATIZO sana, analopoka lopoka mno.
Nahisi Huwa kinampanda.
Mtu mmoja mwenye Id tatu,..Aliyepigiwa kura ni popoma sio huyu
Alikuja kutalii serengeti na kwa mkapa na tuliambiwa akiingia kwa mkapa hatokiKatoka kwani mmemkuta hapo uwanjani?
Mleta uzi huu, yeye ndiye kinara wa kushabikia ULOZI! Hebu fuatilia mabandiko yake yote, kila Simba ikiwa na mchezo, ni kuongelea kuroga tu, ili Simba ishinde. Jaribu kumfuatilia kwa ID hii, au zile zingine!Wachezaji wenyewe kina boko na baleke.
Simba itafute muwekezaji mwingine。
Mo ni bahili sana.
Kumbe MINOCYCLINE ana ID nyingine baada ya hii? Nilikuwa sijui hili na Asante kwa Taarifa.Mleta uzi huu, yeye ndiye kinara wa kushabikia ULOZI! Hebu fuatilia mabandiko yake yote, kila Simba ikiwa na mchezo, ni kuongelea kuroga tu, ili Simba ishinde. Jaribu kumfuatilia kwa ID hii, au zile zingine!
Mkuu, linapofika swala la upigaji kura, usiwaamini watanzania hata kidogo. Huwa wanapiga kura kwa hisia, na sio utashi. Ukitia huruma kidogo tu, wanakupigia kura.We bwege kweli,,wewe si ndio umekuja hapa unajisifu mmefanya uchawi ya kwamba Raja hatoki kwa mkapa na wewe umeshiriki kwenye tukio hilo kikamilifu😀
Kwa porojo zako hizi halafu watu eti wameipigia kura Id yako ile kwamba ndio mwanamichezo bora jukwaa hili niliwashangaa sana wanajf,waliokupigia kura wanawakilisha jamii kubwa ya watz wapenda majungu,umbea na porojo kama wewe mleta mada