96?😆hata primary nilikuwa sijaanza!!Upo sahihi kabisa! Ngoko yaza alikua maarufu sana mwanzugi! Tuliondoka kule 1996 long time sana! Lile bwawa tumevua sana samaki, nimewinda sana digi digi, tumetungua sana mibuyu😀!! nasikia pamebadilika sana...nitarudi kutembea...
Nimefurahi umenikumbusha mbali..
🤣🤣🤣 hapa hapa au mezaniShusha vitu
Karibu nkinga hospital upate matibabu murua mkuuNipo hapa Ziba mkuu , siku ukipita karibu sana
Asante nitakaribia.
No need to rush..... wacha tule mtori nyama tutazikuta chiniHaha so kwa sisi madetective wazee wa ID! Tushajua mchawi aliyefanyiwa ni Monica. Umughaka anatupotezea muda 🤣🤣wrap it up nigga.
Ukirudi, unistueee eeeeh!Nitarudi
Jamaa fundiAnajua kusimulia hadi raha 😂😂
Alipitia njia ya shortcut kwenhe ile miembeMida ya kwenda Senta imefika ila UMUGHAKA haonekani, sijui kapitia njia ya Lamboni au kashakutana na Monica.
Isije ikaja mambo za buku mbili-mbili kwenye telegramHaya mateso sasa