Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Evelyn Salt Pole weeeee..... unaenda kudinywa kwenye kakibanda ka MonicaHaiwezi kutokea. Kule nilisoma tu primary kwetu kwingine kabisa. Nilikua napasikia tu Ziba, sijui Nsimbo kulikua na sekondari ya Umoja, nilikua napita njia ya Igunga kwenda Nkinga bila kupitia njia ya Nzega.
Kuishi maeneo ya wamissionari kulinipa exposure muhimu sana na kumejenga msingi wa mambo mengi yaliyonifanya niwe hivi nilivyo Leo.
Tokea niondoke 96 baada ya kumaliza elimu ya msingi, sijawahi kurudi Tena. Natamani sana siku Moja nipite kutembea hayo maeneo.
Ntafanya maarifa na Evelyn Salt tuje kufanya ziara, nna project nae sema inasua sua
Hahah hahah hahah peleka jina lake kwa Monica akachapwe darasani kama alivyopigwa EmmaTAJIRI MKUU WA MATAJIRI mkuu njoo nikifundishe namna ya kutunga ili uwe unaandika kuchekesha watu!,nitakufundisha bure kabisa bila gharama na utakuwa konki kwenye kutunga!
Bunju Kuna nn mkuu mbna mitaa yangu njoo hapa uwanjani kwenye Malory bunju b mm naangaika kuchungulia story kumbe upo jirani tu hapa nnjjoo nisimulie tu tuVumilieni kidogo wakuu nipo maeneo ya Bunju napambana!.
Tutaendelea wala msikonde!
Huu uzi imebidi niusome tu maana kila muda nauona.. Huu na mwezie wa Quran na Wanasayansi kuhusu mayai sijui..
Ndugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Pole mkuu umughaka au mchawi Bado anakufatilia nnNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Duh pole broNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
We ni fwara 😁Evelyn Salt Pole weeeee..... unaenda kudinywa kwenye kakibanda ka Monica
Ngoja nikausome.. 🤣🤣Wa quran nimeupita
Nikaona nisome huu unafurahisha [emoji23]
pole sana chief, i hope umemuingia brother mbili-tatu.Ndugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
pole sana chief, i hope umemuingia brother mbili-tatu.
I love [emoji177] goro mtu poa sanaPole mkuu umughaka au mchawi Bado anakufatilia nn
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Thanks my JoJoI love [emoji177] goro mtu poa sana
pole sana mkuuNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
chief pole sana hizo ndiyo brotherhood charges.Daudi Mchambuzi mkuu brother mkuda sana,anamdharau sana wife wake na akiwa mjamzito na kibaya ametamka shit mbele ya mama mkwe,nimechukia sana leo,kiukweli ameniharibia siku yangu!
Fwaraest kabisa😂🤣😅We ni fwara 😁
Pole sana nduguNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.