Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Ahsante mkuu! Mi' nilikuwa nafuatilia zile namba alizokuwa anaziandika mwanzo, kwa kuunganisha, kila namba ya simulizi. Kumbe aliacha hivyo, na kuendelea kama wachangiaji wengine.Punguza uvivu ebu soma utaona miendelezo
Au miaka ileeeee, kwenye ile njia ya kutoka mabatini kwenda Itende kwenye zile kahawa za JKT.Mnadinyana kwenye mashamba ya nguniani, mkitoka mnaenda kula migagi
Watu wa Kalobe utawajua tuAu miaka ileeeee, kwenye ile njia ya kutoka mabatini kwenda Itende kwenye zile kahawa za JKT.
Sio Simiyu hii?Kuna watu hawatakuamini[emoji38] But kwa Kisa huku,inaonyesha ulikuwa Maeneo ya Mkoa wa Tabora hasa hasa kwenye vijiji vya wilaya ya Igunga,Urambo au Kaliua! Misemo ya Senta na Malambo ndo iko huko[emoji23]Uchawi wa kuona mienge ya Moto kwenye miti huku miti yenyewe haiteketei ndo michezo yao hasahasa Igunga Vijijini[emoji38]Ukarimu wa kuwatunza Walimu ndo zao!! Unanikumbusha mbali sana!! Ulichokiandika kina ukweli kabisaa [emoji3578]
Nyie wakurya huwa mnadundana hata mkiwa mjini kumbe?Ndugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Ha haaa wewe lohKuna vitu ukinahakikishia nitakuja chap.
Nasikia wachawi hizo mambo za nja ndio zao sometimes!!Watu wanadharau sana
Kabisa. Ninakuja kesho na gari za IT au za magazeti mapema sana niko hapo. Kabla haujaamka.Ha haaa wewe loh
Si huwa wanakula nyama za watu hii sasa imekaajeNasikia wachawi hizo mambo za nja ndio zao sometimes!!
Mi Nonde mkuu!Watu wa Kalobe utawajua tu
Itiji wani? Dah....... usinikumbushe kuogelea salalaniMi Nonde mkuu!
Kwanza ungempa heshima yake kwa kumtag kbsa directly konda msafi ni siku nyingi sna umekaha kimya bill kupinga story yoyote.80% Loading Konda Msafi
Inakuaga hivi hivi wakianza wanakua na muda ila story ikipata kijiji cha kutosha dharula ndio zinaanza.Kwanza ungempa heshima yake kwa kumtag kbsa directly konda msafi ni siku nyingi sna umekaha kimya bill kupinga story yoyote.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ziba mbelee[emoji38]Choma nyuma[emoji23]
Tulikuwa na Kamsemo hako Tukiwa tunapita ziba. Enzi zile za Shule
Sijui anaitoaje mwilini ile dawa aliyolambishwaTayari Monica kamfanya wizard huyu jamaa
Hii sijajua tutamuuliza mkuu UMUGHAKASi huwa wanakula nyama za watu hii sasa imekaaje