Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Leta jero .....now tupo nae huku telegram [emoji23][emoji23]
Ni kweli yupo Telegram?
Mbona anatusaliti wadau wake humu?
Kuna jamaa Jana alisema ufanisi wake kazini umepungua kwa sababu ya hii story Sasa akiona kuwa hii story watu wa Telegram washaimaliza atajusikia vibaya sana hahaaaaaaa
 
Sema mwanangu umughaka ulikuwa mvumilivu sana. Yaani nachukia sana mtu aniambie nifanye kitu bila kuniambia ni nini.

Sema bamdogo ameyakanyaga monica ataanza na mamduchu wetu.
 
Sio kwa ubaya najua na nyie mmeona Speed ya Episode ya 1-10 ilikua nzuri mtu anaweka tu.

Ila sijui ni katabia ka watu humu jukwaani mtu anaanza vizuri once akishakua na traffic ndio anaanza kunata na dharula zinaanza kumuandama. Mara mbuzi wangu kala mazao ya watu, mara mtoto kameza shoka ili mradi tu kunata.
 
Najuta kuusoma huu uzi😭😭 imebaki mateso
 
🤣🤣 mbuzi kameza shoka
 
Heheeee..hatari tupu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Lekaji gete.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…