Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Hilo la adhabu ya viboko mbele ya wanafunzi lisikuumize kichwa shemeji Monica atakupambania, usiku wa leo headmaster atakiona cha moto unaambiwa atakula stiki za kutosha matakoni hadi kesho atashindwa kukaa maaaaaaamae
 
Lkn Mimi nasubiri tu pale atakapo revenge kiuchawi kwa mamdogo ..... headmaster ....kwa walivyomtendea

Coz lazima umughaka alifundishwa uchawi + wanga[emoji23][emoji23]
Haha.. HM analo mbona lazima wamuoneshee!!
Mimi nasubiria kwa hamu ambapo " walimkomesha yule mchawi"! Sijui patafika liniii
 
Back
Top Bottom