Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Yaani hanijui huyu...by Monica mchawi🤣[emoji1787][emoji1787]! "Haiwezekani aniadhibie na kumdhalilisha mpenzi wangu kiasi hiki[emoji16]! Atakipata chamoto"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hanijui huyu...by Monica mchawi🤣[emoji1787][emoji1787]! "Haiwezekani aniadhibie na kumdhalilisha mpenzi wangu kiasi hiki[emoji16]! Atakipata chamoto"
"Wee ngoja tu Nitamkomesha"Yaani hanijui huyu...by Monica mchawi🤣
Au umepewa connection ya Monica mkutane miembeni?😂Just imagine usiku huu nipo hapa
Monica kakuleta kiuchawi.Just imagine usiku huu nipo hapa
AminaTuendelee na Umughaka anaupiga mwingi hapa
Ni zoezi tosha walai! Hapo hajaenda kuchukua miwa !! Soon Anaondoka kwa headmaster hakyanani tena!Hatimye maisha yanaelekea kuwa magumu kwa umughaka ......
Kubeba cherehani + kurudisha kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]
Hatimye maisha yanaelekea kuwa magumu kwa umughaka ......
Kubeba cherehani + kurudisha kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani mpka atoke Bunju aende Tegeta kusuluhisha kesi ya ndoa ya kaka yake halafu asipate ajali ktk bodaboda yake...na afadhari Leo asernal haichezi.....Kwa hiyo turudi baada ya mda gani tutaikuta sehemu ya 18?
Nilizisoma makala zako kaka maana niliona zaidi ya moja, zipo freshii
ni kama wamemtia nuksi zaidi kina monika maana na fimbo kacharazwa za kutosha🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atapita pale kwenye miti miwil kila siku
Lkn Mimi nasubiri tu pale atakapo revenge kiuchawi kwa mamdogo ..... headmaster ....kwa walivyomtendeaNi zoezi tosha walai! Hapo hajaenda kuchukua miwa !! Soon Anaondoka kwa headmaster hakyanani tena!
Haha.. HM analo mbona lazima wamuoneshee!!Lkn Mimi nasubiri tu pale atakapo revenge kiuchawi kwa mamdogo ..... headmaster ....kwa walivyomtendea
Coz lazima umughaka alifundishwa uchawi + wanga[emoji23][emoji23]
Atakutana na mzee mkono na washirika wake guess nini kita. Happen [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atapita pale kwenye miti miwil kila siku