Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Siwezi kuchukia, kuna mchungaji mmoja napenda kufatilia speech zake anaitwa Mch.Mitomingi(Marehemu kwa sasa) ansema UKIMPATA Kazi napiga sana, nikiwa free napitia pitia social networks kuona kilichomo mura weito na kupumzisha akili.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaaah

Najua tu Kuna watu watasema nimezidisha sukari au nipunguze tangawizi. Narudia Tena, hakuna chai hapo. Mbaya zaidi Mzee ilikua hata ukijikwaa mbele yake, utaogelea fimbo tu anakwambia hautembei Kwa umakini.

Kuhusu ugomvi sheria yake ni Moja tu, akisikia au ukikutwa umejihusisha na ugomvi wa aina yeyote, iwe Kwa Mkubwa au mdongo, ni kipigo Cha uzani wa Mandonga mtu kazi, yaani haulizi umechokoza au umechokozwa, umekosea au umekosewa, ni full dozi.
 
Woyoooooooooooooooo!

Wabheja sana Umughaka!!!
.Mkuje mkujee kitu tayariiiii
 
Haha mti mkavu utakua ulipitia shuruba za hatari
 
Duh ongea na Moni awasaidie headmaster na familia yake aiseee watajikuta wamelazwa kusikojulikana[emoji16][emoji16][emoji3577]!
Poor Ema!
 
Samahani Kama nitakua naingilia andiko lako Ila ningeomba Hapo mbele uongeze neno " mbobevu" ili isomeke "MPUMBAVU MBOBEVU" nafikiri itasaidia wasomaji wajue wanamuelewesha mtu wa namna gani
kabisa kuna mwalimu alioa shangaz yetu tena ni miaka ya 2000 tu hapo but alikuwa na uwezo wa kukuchapa mnacheza mpira ana ishu yake ukachelewa kuitikia na wala sio ishu

Miasha yamebadilika sana
 
Mlimpeleka mirembe au??
 
kabisa kuna mwalimu alioa shangaz yetu tena ni miaka ya 2000 tu hapo but alikuwa na uwezo wa kukuchapa mnacheza mpira ana ishu yake ukachelewa kuitikia na wala sio ishu

Miasha yamebadilika sana
tena nilikuwa na ndugu yangu msumbufu anafuatwa home na stik anakula mbele ya ndugu zetu na ole upate na adhabu utasikia na hii ya shangazi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…