Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Ujuaji wa kifala

Kuna walimu waliwahi pigwa viboko mbele ya wanafunzi,sasa sembuse mtoto wa mwalimu Umughaka
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila wew jamaa siku dhani Kama Story yako Inge nichekesha Kia's hiki ,siyo tu kuchekesha Bali pia inamvuto wake
 
Umeupig mwingi sio siri simulizi yako inatuondolea stress za maisha maana ni kama kiburudisho. Tukutane kesho utubless kwa muendelezo Mungua akubariki
 

shusha vitu
 
Hopeless
 

Bila shaka haka kajinga kapo dar,maan vimtu vya huko kwa kujifanya vinajua havijambo,kuna kamoja kama wewe kalikuwa kanataa kuwa sio kweli kakisikiliza story za watu kwenye redio njia panda clouds fm au rfa sitasahau
 
Acha ujinga.Unasimulia mambo mengi ya kulakula tu.Halafu kutudanganya kwamba kiingilio cha kutazama video ilikuwa Tsh 100/= umeona hatuna akili?Shule za kata zimeanza mwaka 2006 kujengwa.Tsh 100/= ilikuwa na thamani hiyo?Acha ungedere.
Its posible
 
Ujuaji wa kifala

Kuna walimu waliwahi pigwa viboko mbele ya wanafunzi,sasa sembuse mtoto wa mwalimu Umughaka
Nawavuruga vibaya.... Najua wasiwasi wenu inabidi mjikombe mughaka asije susa. Hapana hakuna kususa.akicheka sisi tutasema as long as ameweka public utunzi wake. Sisi ni Wahariri.
 
Bila shaka haka kajinga kapo dar,maan vimtu vya huko kwa kujifanya vinajua havijambo,kuna kamoja kama wewe kalikuwa kanataa kuwa sio kweli kakisikiliza story za watu kwenye redio njia panda clouds fm au rfa sitasahau
Nawavuruga vibaya.... Najua wasiwasi wenu inabidi mjikombe mughaka asije susa. Hapana hakuna kususa.akicheka sisi tutasema as long as ameweka public utunzi wake. Sisi ni Wahariri.
 
Bila shaka haka kajinga kapo dar,maan vimtu vya huko kwa kujifanya vinajua havijambo,kuna kamoja kama wewe kalikuwa kanataa kuwa sio kweli kakisikiliza story za watu kwenye redio njia panda clouds fm au rfa sitasahau
We ndo utakuwa Monica.... Upo Kumlinda Umughaka...🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…