Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Burka eka dola laki na 20...we uutakua unakaa burq ipi
Alfu kwani wew unadhani Ni lazm ninue kiwanja dola 120 laki ,hpn Kuna 40*30 = 45,000,000/= sas ukitaka nicheki pm nikuunganishe na gomba estate Kam burka upawezi mkuu ,nicheki nikutafutie gomba estate kaha au hamia maeneo yanye hadhi za diplomatic [emoji23]
 
Wachawi wangekua wanawachukua mawaziri kama Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Makamba, Dotto Biteko, Zungu, Mchengerwa, Kassim Majaliwa na mama yao Samia wanawalimisha heka 50 kila wiki. Hii nchi debe la mahindi lingekua elfu 8
Hahahaha
 
Huu Uzi nilisoma Episode ya kwanza tu niakaachana nao kwa sababu ni kama story ilikatishwa na hakutakua na muendelezo. Ndo maana watu waliponda sana.
Lakini nikawa nashangaa kila nikiingia jamii forum nakutana na kichwa cha hadithi yenyewe.
So nimesoma episode zote leoleo
 
very interesting.. usukumani ulikuwa sehem gani mtoa story
Sio simiyu iyo 😀😀aisee mungu kaniokoa sana nimekaa simiyu na nilivyokuwa mdogo nilikuwa mtundu sana na mdokozi, tumekula sana karanga, miwa na limbe( matango ya kisukuma) kwenye mashamba ya watu bila kurogwa, aisee usikute sa hivi ningekuwa mzukule maana simiyu sio poa
 
haiwezi tokea na haiji tokea kwamba mjini anzia shule ya msingi hadi A–level ushindwe mjua mwalimu mkuu.

ungesema vyuoni sawa ila kwa hatua za awali hadi kidato cha 6 lazima umfahamu mwalimu mkuu (sio ombi ni lazima kutokana na mazingira )
 

Dah we Jamaa umenichekesha sana leo 🙌🙌🙌
 
Coffee lounge ni kwa wazungu mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bei zao usipime
Mbna kawaida tu mkuu hata mdudu 13 unakula kill na bia Ni hz hz Bei 2000 labda kulala ndio garama ila 1a ndio gharama Sasa hyo Ni hotel mkuu
 
Mbna kawaida tu mkuu hata mdudu 13 unakula kill na bia Ni hz hz Bei 2000 labda kulala ndio garama ila 1a ndio gharama Sasa hyo Ni hotel mkuu
Mmmh mbona imeshuka hivyo?
Kuna kipindi nilikuwa nakujaga na watasha ilikuwa hot balas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…