Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Utajiri wao ni kua na cheo kikubwa, ili uwe na cheo lazima uue watu.
Yeah Wengine ili ufanikiwe kwenye mambo yako pesa n.k pia lazima uue ! utoe sadaka/ kafara!
Yani kuna tukio la kichawi liliomtokea ndugu yangu wa damu sina hamu nahawa viumbe na mpaka waleo naendelea kukiri Mungu anatupenda sana na anamakusudi nami! sijui ndio niseme mizimu ya kwetu ni mikali sana mi sijuiiii ilaa Asante yesu!🙏
mmash upoo ☺️??
 
Endeleea.....

Basi bhana baada ya kuchukua ile miwa kwa Mzee Masumbuko kama kawaida yangu nikawa naelekea senta,kufika pale nikaiweka ile miwa na kuanza kukata kata zile pingili za miwa..aisee hakika siku hiyo ndo niliamini kua Mungu sio Mwigulu Nvchemba niliuza sana ile miwa watu wakawa wanaulizia hadi bei ya lile panga nililoazima kwa yule mama nikawa nawaambia haliuzwi[emoji3064]

Basi bhana nakumbuka siku hiyo miwa yote iliisha ndani ya lisaa limoja na nikarudisha panga kwa yule mama ili nirudi nyumbani,nakumbuka ilikua mida ya saa tatu asubuhi[emoji1]..nikapita njia ile ile ninayokutanaga na Mzee Makono basi bhana kama kawaida yangu kua nikitembea naangalia chini kama ngiri huku nikiwa na mawazo ya kumkosa mwise,nikakumbuka pia kua sikuiona timu ya yangu ya Arsenal kwa kipindi kirefu ukijumlisha na mauza uza niliyokua nakutana nayo nikabaki nasonya tu..

lakini ghafla nikiwa karibu na lile eneo lenye miembe miwili karibu na njia ya kuelekea nyumbani nikakuta watu watano wakiwa wamelala chini wakiwa kama walivyozaliwa,basi bwana kutokana na uzoefu,ukomavu na ubobevu wa masuala yale ya kutisha sikuogopa hata kidogo,nikawasogelea wale watu na hapo nikawa nimewatambua alikua ni Mzee Makono,Mama Mkwe,Monica na wale Mama zake wadogo wawili.


Nikiwa katika bumbuwazi ghafla nikashtushwa na sauti ya mwanamke akicheka ambayo niliitambua kua ni ya maza mdogo,kupepesa macho huku na huko nikamuona juu ya muembe akiwa katika ungo unaoelea angani,kipindi cha nyuma nilikua siamini hizi stori za watu kupaa na ungo angani kama nilivyokua namuona mama mdogo[emoji2297]

Basi bhana nikamuona mama mdogo akirusha kitu mithili ya moto na kile kitu kilivyonikaribia tu kikadunda kwa kasi ya ajabu kumrudia maza mdogo ndipo nikakumbuka ile kauli monica kua nina mizimu mikali sana[emoji1],kilikua ni kitendo cha sekunde moja tu wale watu wote wakapotea nikabaki nikishangaa pale kwenye ile miembe....fasta nikaanza safari ya kurudi nyumbani na kushangazwa na umati wa watu uliojaa pale nyumbani..Aisee nilivyofika sikuamini nilimkuta maza mdogo akiwa pale amedondoka na ule ungo akiwa kama alivyozaliwa.Kumbe bhana mama mdogo ndo kiongozi wa wale wachawi wote pale kijijini na baada ya Headmaster kusema atawakomesha wale wachawi mama mdogo alienda kuwaelekeza wale wachawi waache michezo yao lakini walimkatalia kwa kua walitaka mashamba yao yamalizwe ndipo ugomvi mkubwa ukazuka mpaka kuwaua wale wachawi wenzake pamoja na mpenzi wangu Monica na washirika wake pale miembeni[emoji24].

Aisee nilikua nina hasira sana ila sikutaka kuionesha mbele ya watu wale waliojaa pale,nikaingia ndani moja kwa moja nikamkuta emma kitandani akiwa amekauka (kumbe na alikua mshirikina ndiyo maana hata mambo mengi yaliyokua yakimtokea au kututokea pamoja alikua anayaficha) basi bhana nikatoka na shuka na kumfunika Maza mdogo na kuingia nae ndani huku watu wakiendelea kupungua kadri muda ulivyozidi kwenda.

Mida ya saa 11 jioni Headmaster alirudi akiwa na mganga mwingine lakini akiwa amesikia stori nyingi huko vijiji vya jirani kwa kile kilichotokea pale shuleni na kijijini kwa ujumla hakika yalikua ni maafa walikufa wachawi wengi sana karibia watu 100 katika kile kijiji walikua ni wachawi

alivyofika nilimuelezea yote yaliyotokea mchana akiwa na yule mganga akasikitika sana na kuniomba msamaha kwa yote aliyonifanyia,nakumbuka yule mganga akautoa ule mwili wa Emma na katika mazingira ya kushangaza akapotea ghafla tukabaki mimi,Headmester na yule mganga....Bamdogo akaniuliza tumfanyie nini huyu maza mdogo?? hakika nilikua nina uchungu sana kwanza wa kudharauliwa na watu wengi,kumkosa mtoto Mwise ambaye aliuteka sana moyo wangu,lakini pia kuondokewa na mpenzi wangu Monica ambaye alikua ananipa ndipo nilipomwambia bamdogo tumpige collabo (mtungo) mama mdogo

Basi bhana shughuli ilianza mida ya saa moja hakika nilimchakata sana maza mdogo kwa hasira sana nikawa nabenua kiuno chake na kupiga lile ta-call alilonisingia kua nilimshika basi bhana nilienda goli kama tano bila kupumzika na nakumbuka mbili nilipiga kwenye mbunye na tatu nikapiga kule alipokua anajichezea lulu diva na kuzimwagiemo[emoji23] then nikampisha na mganga nae afanye yake..

ilikua ni aibu n uchafu mwingi sana kwa maza mdogo na wiki ile ile alikunywa ile lotion yote aliyonituma kipindi kile alimeza na mchanganyiko wa dawa flan za vidonge ambao sikuutambua ila vilikua na rangi tofauti tofauti na huo ndo ulikua mwisho wa maza mdogo gwiji la wachawi aliyeuficha ushirikina wake kwa mgongo wa ufundi cherehani[emoji1]

Basi maisha yakaendelea kama zamani pale kwa headmaster nikiwa mimi na bamdogo tu nikawa nakula ile mikuku n mimaziwa mpaka nikairudisha ile nuru yangu kama zamani,na furaha yangu ilizidi zaidi baada ya kumpata mtoto mwise tena nilimkuta akiwa sild kabisa[emoji23][emoji119]...

MWISHO[emoji120]
Unatuchoshaaa na wew
 
Endeleea.....

Basi bhana baada ya kuchukua ile miwa kwa Mzee Masumbuko kama kawaida yangu nikawa naelekea senta,kufika pale nikaiweka ile miwa na kuanza kukata kata zile pingili za miwa..aisee hakika siku hiyo ndo niliamini kua Mungu sio Mwigulu Nvchemba niliuza sana ile miwa watu wakawa wanaulizia hadi bei ya lile panga nililoazima kwa yule mama nikawa nawaambia haliuzwi[emoji3064]

Basi bhana nakumbuka siku hiyo miwa yote iliisha ndani ya lisaa limoja na nikarudisha panga kwa yule mama ili nirudi nyumbani,nakumbuka ilikua mida ya saa tatu asubuhi[emoji1]..nikapita njia ile ile ninayokutanaga na Mzee Makono basi bhana kama kawaida yangu kua nikitembea naangalia chini kama ngiri huku nikiwa na mawazo ya kumkosa mwise,nikakumbuka pia kua sikuiona timu ya yangu ya Arsenal kwa kipindi kirefu ukijumlisha na mauza uza niliyokua nakutana nayo nikabaki nasonya tu..

lakini ghafla nikiwa karibu na lile eneo lenye miembe miwili karibu na njia ya kuelekea nyumbani nikakuta watu watano wakiwa wamelala chini wakiwa kama walivyozaliwa,basi bwana kutokana na uzoefu,ukomavu na ubobevu wa masuala yale ya kutisha sikuogopa hata kidogo,nikawasogelea wale watu na hapo nikawa nimewatambua alikua ni Mzee Makono,Mama Mkwe,Monica na wale Mama zake wadogo wawili.


Nikiwa katika bumbuwazi ghafla nikashtushwa na sauti ya mwanamke akicheka ambayo niliitambua kua ni ya maza mdogo,kupepesa macho huku na huko nikamuona juu ya muembe akiwa katika ungo unaoelea angani,kipindi cha nyuma nilikua siamini hizi stori za watu kupaa na ungo angani kama nilivyokua namuona mama mdogo[emoji2297]

Basi bhana nikamuona mama mdogo akirusha kitu mithili ya moto na kile kitu kilivyonikaribia tu kikadunda kwa kasi ya ajabu kumrudia maza mdogo ndipo nikakumbuka ile kauli monica kua nina mizimu mikali sana[emoji1],kilikua ni kitendo cha sekunde moja tu wale watu wote wakapotea nikabaki nikishangaa pale kwenye ile miembe....fasta nikaanza safari ya kurudi nyumbani na kushangazwa na umati wa watu uliojaa pale nyumbani..Aisee nilivyofika sikuamini nilimkuta maza mdogo akiwa pale amedondoka na ule ungo akiwa kama alivyozaliwa.Kumbe bhana mama mdogo ndo kiongozi wa wale wachawi wote pale kijijini na baada ya Headmaster kusema atawakomesha wale wachawi mama mdogo alienda kuwaelekeza wale wachawi waache michezo yao lakini walimkatalia kwa kua walitaka mashamba yao yamalizwe ndipo ugomvi mkubwa ukazuka mpaka kuwaua wale wachawi wenzake pamoja na mpenzi wangu Monica na washirika wake pale miembeni[emoji24].

Aisee nilikua nina hasira sana ila sikutaka kuionesha mbele ya watu wale waliojaa pale,nikaingia ndani moja kwa moja nikamkuta emma kitandani akiwa amekauka (kumbe na alikua mshirikina ndiyo maana hata mambo mengi yaliyokua yakimtokea au kututokea pamoja alikua anayaficha) basi bhana nikatoka na shuka na kumfunika Maza mdogo na kuingia nae ndani huku watu wakiendelea kupungua kadri muda ulivyozidi kwenda.

Mida ya saa 11 jioni Headmaster alirudi akiwa na mganga mwingine lakini akiwa amesikia stori nyingi huko vijiji vya jirani kwa kile kilichotokea pale shuleni na kijijini kwa ujumla hakika yalikua ni maafa walikufa wachawi wengi sana karibia watu 100 katika kile kijiji walikua ni wachawi

alivyofika nilimuelezea yote yaliyotokea mchana akiwa na yule mganga akasikitika sana na kuniomba msamaha kwa yote aliyonifanyia,nakumbuka yule mganga akautoa ule mwili wa Emma na katika mazingira ya kushangaza akapotea ghafla tukabaki mimi,Headmester na yule mganga....Bamdogo akaniuliza tumfanyie nini huyu maza mdogo?? hakika nilikua nina uchungu sana kwanza wa kudharauliwa na watu wengi,kumkosa mtoto Mwise ambaye aliuteka sana moyo wangu,lakini pia kuondokewa na mpenzi wangu Monica ambaye alikua ananipa ndipo nilipomwambia bamdogo tumpige collabo (mtungo) mama mdogo

Basi bhana shughuli ilianza mida ya saa moja hakika nilimchakata sana maza mdogo kwa hasira sana nikawa nabenua kiuno chake na kupiga lile ta-call alilonisingia kua nilimshika basi bhana nilienda goli kama tano bila kupumzika na nakumbuka mbili nilipiga kwenye mbunye na tatu nikapiga kule alipokua anajichezea lulu diva na kuzimwagiemo[emoji23] then nikampisha na mganga nae afanye yake..

ilikua ni aibu n uchafu mwingi sana kwa maza mdogo na wiki ile ile alikunywa ile lotion yote aliyonituma kipindi kile alimeza na mchanganyiko wa dawa flan za vidonge ambao sikuutambua ila vilikua na rangi tofauti tofauti na huo ndo ulikua mwisho wa maza mdogo gwiji la wachawi aliyeuficha ushirikina wake kwa mgongo wa ufundi cherehani[emoji1]

Basi maisha yakaendelea kama zamani pale kwa headmaster nikiwa mimi na bamdogo tu nikawa nakula ile mikuku n mimaziwa mpaka nikairudisha ile nuru yangu kama zamani,na furaha yangu ilizidi zaidi baada ya kumpata mtoto mwise tena nilimkuta akiwa sild kabisa[emoji23][emoji119]...

MWISHO[emoji120]
We jamaa bwana
 
Hujaishi bush wewe alafu unaleta ujuaji bushi mkuu wa shule ni kama mkuu wa kituo cha polisi ndani ya school premises anatandika adi wazee wako na wanasema hewala baba
Nyie mazoba sana. Ndo maana mkija town mnauzia sidiria na blauzi. Sisi town mkuu wa shule unaweza hata usimjue yupo busy nasi tupo busy na masomo.shida ya vijijini ndo hiyo hata sungusungu au mgambo anawaendesha sana. Mjumbe wa mtaa naye anawaendesha basi mnajikuta tu kama mafala hamna mbele mna nyuma tu.
 
Burka eka dola laki na 20...we uutakua unakaa burq ipi
Hehe kwani viwanja vilivyopimwa Ni zote ziliuzwa Dola 120 laki ,hapan si Kweli hapo kwa askofu otai niko mitaa hyo ila sitakuambia nyumba namba ngapi Kama umetokeaa coffee unashuka kidg then unaingia mitaa yangu mm ,karibuni Sana burka coffee estate ,

Kipo kiwanja kinauzwa milion 50 jirani na kanisa la kkkt
 
Tulichomfanya Yule Mchawi hatokuja kusahau kamwe! - 20.





Basi wakati tukiwa tumekaa pale kwenye lile jiwe,ghafla wakawa wametokea wale kina mama wawili ambao juzi yake tu nilitoka kwao kupigwa chale!.Walifika pale kwa ghafla sana na wakanitaka nisimame!.Baada ya kusimama,mama mmoja wapo akaniambia nivue nguo ili nipakwe dawa,sikutaka kabisa kupoteza muda nikaanza kuvua nguo na wakaanza kunipaka dawa kwa haraka sana!.Walipomaliza wakawa wamekaa kimya kwa muda kidogo.

Mimi "Kwani kuna nini?"

Monica "Shiiiiiiiiiiii,nyamaza"

Monica alinifanyia ishara ya kidole mdomoni kwamba ninyamaze na aliniambia kwa sauti ndogo sana.Sasa baada ya muda kidogo kupita mama mmoja akamwambia Monica kwa kisukuma aniambie kila kitu!.

Monica "Mpenzi wangu umughaka,unaniamini?"

Mimi "Ndiyo,nakuamini"

Monica "Sasa hawa mama zangu wadogo siunawakumbuka?"

Mimi "Ndiyo,Hawa si ndiyo wale wa juzi?"

Monica "kumbe una kumbukumbu,sasa ni hivi!,mama yangu kawatuma kuja kukusaidia maana kuna kikao kilikuwa kinaendelea kwa yule mzee mshenzi(Makono)na washirika wenzie ya kwamba leo unapaswa ufe!"

Mimi "Kwanini nife Monica!?".

Kiukweli nikaanza kupaniki na amani ikaanza kunitoweka!.

Monica "Yule mzee nilikueleza alipewa adhabu ya kutoa kafara kwasababu alivunja mashariti ya kumtuma yule mwanaye pale nyumbani kwetu akifahamu kabisa mama yangu ni mmoja wapo,sasa hasira zake amehamishia kwangu na kwako,hivyo ndiyo maana nilikwambia nitakulinda usiku na mchana mpenzi wangu!"

Mimi "Kwahiyo tutakaa hapa mpaka asubuhi hawezi kutuona?"

Monica "Hapa tunamsubiri mama afike kwanza atupe maelekezo"

Mimi "Sawa"

Tulikaa pale kwenye yale mawe mimi na Monica wakati huo wale kina mama wakiwa wamesimama!.Haukupita muda ghafla mama yake Monica akawa amefika pale tulipokuwepo.Monica alisimama akamuinamia mama yake kwa heshima na unyenyekevu ikiwemo pia wale kina mama.

Mama Monica "Mwanangu hujambo?"

Mimi "Sijambo mama,shikamoo"

Mama Monica "Marhaba mkwe wangu"

Mama Monica "Sasa hebu shika hii"

Alinipatia kitu kama kibuyu kidogo sana ambacho sikuelewa ndani kulikuwa na kitu gani!.

Mama Monica "Nenda ndani utakiweka pembeni ya mlango chumbani unapolala,sawa?"

Mimi "Sawa mama"

Mama Monica "Ukishaweka hurudi hapa,fanya haraka".

Niliondoka kuelekea ndani ambako nilipofika sikumkuta mtu nje!,basi niliingia ndani nikakiweka kile kibuyu kisha nikatoka nje!,sasa nadhani baada ya kuurudishia ule mlango Headmaster alisikia.

Headmaster "Wewe leo huli?"

Mimi "Nakuja kula baba"

Maza mdogo "Njoo uchukue hili bakuli ukaongeze mboga umughaka"

Basi niliamua kwenda sebuleni na nikawakuta wakiwa wanakula!.Nilichukua lile bakuli nikaingia jikoni kupakua mboga kisha nikarudi sebuleni kula haraka ili niondoke niende kwa mama yake Monica aliyekuwa ameniambia niwahi kurudi!.

Maza mdogo "Uliondoka saa ngapi leo!,nimewahi kufunga ili tuongozane sikukuona"

Mimi "Mimi niliwahi mama baada ya kuona giza limeanza"

Headmaster "Kwani ulikuwa wapi?,mbona mwenzio anasema hukuwepo?"

Mimi "Nilikuwa hapo nje baba"

Headmaster "Mbona tumekuita na hukuitika?"

Mimi sikutaka kujibu kitu nikaamua kukaa kimya ili kuepeusha mambo mengi!.

Headmaster "Biashara inakwendaje?"

Mimi "Leo angalau kidogo nimeuza uza"

Kiukweli wakati huo nilikuwa naona kama wananichelewesha kuondoka kwenda nje,baada ya kupiga matonge kadhaa ya ugali nikaamka nikasema nimeshiba!.

Headmaster "Leo ulikula wapi bhana"

Mimi "Sijala sehemu baba nahisi kushiba".

Headmaster "Hivi mchana huwa unakula wapi?"

Mimi "Huwa nashindia miwa tu pale kijiweni".

Headmaster "Aya bhana"

Niliamka nikanawa kisha nikatoka nje kujifanya kama najikoholesha pale kisha nikafungua mlango na kutoka nje ya nyumba.Nilitembea kwa haraka kuelekea nilipokuwa nimewaacha kina Monica,nilipofika nilimkuta Monica akiwa peke yake,wale kina mama pamoja na mama yake Monica sikuwaona.

Monica "Ila wewe nae kuna muda unakera sana"

Mimi "Sasa nakera nini Moni!".

Monica "Mama alikwambia uende uwahi kurudi wewe umefika ukaamua kukaa!"

Mimi "Haikuwa rahisi Moni kama unavyodhani"

Monica "Hebu tuachane na hayo,shika hii hapa ulambe na hii uweke mfukoni."

Monica alinipatia kitu kama unga ulokuwa mweusi kama mkaa nikalamba kisha akanipatia kitu kilichokuwa kimefungwa kwa kitambaa kidogo cheusi akanitaka niweke mfukoni.

Mimi "Mama anarudi?"

Monica "Arudi huku kufanya nini?,wao ndiyo wameondoka hivyo!".

Monica "Naomba unisikilize kwa makini umughaka"

Aliendelea "Utakachokiona leo usipige kelele na ikawe siri yako,mimi nipo na wewe na nikizidiwa nitamuita mama atatusaidia"

Mimi "Sawa"

Monica "Twende"

Basi tuliondoka kuelekea ndani ya nyumba yetu nikiwa nimeongozana na Monica,sasa nilipofungua geti kuingia ndani ghafla sikumuona,nikabaki kushangaa tu na kujiuliza atakuwa ameleekea wapi kusiko julikana,sasa kwakuwa nilifahamu alikuwa na uwezo mkubwa niliamini ametoka mara moja na angerudi!.Nilipoingia hapo uwani nilimkuta Ema anafua soksi zake za shule na kufuta futa viatu vyake!,kwakuwa sikuwa na stori nae nikaingia zangu ndani!.

Nilipoingia tu chumbani Ghafla nikamuona Monica akiwa amesimama kwenye ile kona ambayo niliweka kile kibuyu!,alinifanyia ishara ya kunyamaza!.Sasa jamaa alipomaliza shughuli zake aliingia ndani akaanza kusoma,mimi niliamua kujilaza kitandani wakati huo namuona Monica huku Ema yeye akiwa haoni kitu chochote!.Sasa baada ya kupiga buku kwa dakika kama ishirini niliona anarudisha madaftari kwenye mfuko kisha akazima ile taa akapanda kitandani kuja kulala!.

Baada ya jamaa kulala,Monica alinisogelea kitandani akanishika mkono akanisogeza kwenye ile pembe aliyokuwepo yeye akanitaka nikae kimya!.

Tulisimama kwa muda mrefu kidogo ndipo nikasikia kuna vishindo hapo uani kama miguu ya watu!,na kwa vishindo vile yaelekea walikuwa watu zaidi ya wawili.Monica akaniambia nitulie tuli kwani hakuna ambaye angetufanya chochote.Kiukweli nilikuwa nina jiamini kupita maelezo kwa wakati huo!.

Haukupita muda nikaona mlango unasukumwa,waliingia watu wanaume wawili waliokuwa uchi ambao sikuwa nikiwafahamu,basi Monica akanitaka nitulie kabisa!,wale jamaa wakaenda mpaka pale kitandani wakawa kama wanashangaa!,basi mmoja akatoka nje,haukupita muda akawa ameingia na mzee mmoja ambae nilimfahamu alikuwa yule mzee makono!.

Yule mzee alisogea mpaka pale kitandani kisha nikaona anaangalia kwa kushangaa na yeye pia!.

Jamaa "Ndiye huyu?"

Makono " Siye huyu"

Makono "Mchukueni huyu tuondoke"

Basi nikaona wale jamaa wanamuamsha Ema akaamka,Ema aliamka akiwa kama mlevi aliyepoteza kumbukumbu kabisa!.Walimtoa nje Ema na ndipo Monica akaniambia tutoke nje na nihakikishe kile kibuyu kidogo alichonipatia mama yake nakibeba!,basi tulipotoka nje tukakutana na grupu la watu wengine kama watano akiwemo Headmaster ambao walikuwa kama wamewelewa pombe na hawakuelewa kitu chochote!.

Wale jamaa wawili mmoja alikaa mbele na mwingine nyuma huku wa mbele akitoa ishara kwamba waondoke,sasa yule wa nyuma alikuwa akiwapiga wale watu akiwemo Headmaster na walisimama wakatoka nje!.Sikumuona tena mzee makono hapo nje kwa wakati huo na sikufahamu alikuwa amekwenda wapi!.

Monica "Twende"

Mimi "Tunaenda wapi?"

Monica "wewe twende"

Basi tukaanza kuwafatilia wale watu wakiwa wanapelekwa kusiko julikana!.
Mhuu...wabeja sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom