Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Ngoma inogile
 
Umughaka napendekeza episode iliyobaki weka password tukuchangie hata buku buku upate hela ya mb
 
Nani mwingine aliyewahi kusoma kama Mimi,...nyosha kidole kimoja juu[emoji3516]
 
Headmaster "Ngoja licheze na dunia,sikuhizi badala ya kusoma limeanza kuhangaika na wanawake!"


Alitukabidhi watu wote kitu kikiwa kimeshonwa na kitamba kigumu mno,mimi sikupata shaka kuelewa kwamba ile ilikuwa ni irizi!.



Tayari UMUGHAKA ni mshirika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…