Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

[emoji120]

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu Moisemusajiografii naona unapita kila wakati kuangalia stori ya uongo isiyokufurahisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Karibu mkuu kijijini kwetu Kekombyo tunywe togwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Loool! kuumbe ni maeno ya huko Bunda huko wachawi huko balaaa! niliwahi lala hapo shule ya Msingi kekombyo kwa mwalimi Masine!...Baba yake flora, Magesa, Stephen
 
Aise huyu jamaa aliyetoa visa vya mabomu ya gongo la mboto na yeye yupo vizuri sana mkuu.
Alikutana na visanga vya kutisha.
Ile story ni noma.

Usilogwe ukaondoka kwenu ukaenda mkoa usipopajua...

[emoji119][emoji119][emoji119]
Mkuu,naomba nitag kwenye hio story
 
Dah, mie sina pikipiki aisee, Mungu afungue milango ya baraka ukamiliki pikipiki yako mwenyewe, Amen[emoji120]
 
Naomba link zake kaka
Kaka macho nimesha kufungua nimekupa jina Al mwenye Uzi Cha kufanya Zama ktk post zake utakutana na kisa Chake yey na boss wake jaamaa alieleza vyema San yaliyompata
 
Naomba link zake kaka
 
Aise huyu jamaa aliyetoa visa vya mabomu ya gongo la mboto na yeye yupo vizuri sana mkuu.
Alikutana na visanga vya kutisha.
Ile story ni noma.

Usilogwe ukaondoka kwenu ukaenda mkoa usipopajua...

[emoji119][emoji119][emoji119]
Yaah umepatiaa heading Yake ilikuwa Kali sna hyo story bwan nanonya
 
au basi nitaleta muendelezo lakini vipande vipande[emoji23][emoji119]
Mkuu samahani sana ...Naomba, mie binafsi kujua namna ya kujiunga na kundi la wachawi!...masharti yakoje km hujawahi kuwa mchawi? haina shida hata hela nitatoa!
 
Nimeanza leo ndo naimalizia muda huu. Hongera sana mkuu story yako nzuri sana. Ila ungemuoa Monica jamani.
Ulitaka naye auliwe kama baba Monica? Hilo tukio la kuua waume itadai muendelezo kwenye uzao wa Monica
 
Vipi, wewe unaendeleaje? Simulizi yako ni moja kati ya simulizi maridadi nilizozifuatilia! Kongole kwako! Hamida anaendeleaje?
Baada ya wiki hii nitakuwa na offdays, nitaandika simulizi yaliyomoata mtoto wa rafiki yangu na jinsi alivyoyashinda.

Stay tuned.

Itakuwa na episode chache maana ni simulizi fupi na nitaandika kila siku hadi iishe.
 
Nmekuja tena nikipitapita kwa kudhani nitakuta part 2 ya hii story!
Kwakweli story zingine huko hata vichwa vya habari tu havinivutii....labda tuambiane ipi naweza kusoma huko ambayo walau itaikaribia hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…